Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Naunga mkono msimamo wa Serikali. Moja, gesi itaisha baada ya muda. Maji hupungua tu kutokana na ukame. Lakini baada ya muda hurudi kwenye kiwango chake.
Mbili, kuwepo kwa bwawa hilo kutasababisha ajira nyingi tu. Samaki watakaokuwepo humo watavuliwa na watu watauza na kujiingizia kipato kama ilivyo kwa bwawa la Mtera.
Wanaowaunga mkono wazungu wakumbuke kuwa akina Trump wamekataa kusaini mkataba wa kutunza mazingira ili kupunguza hewa ya ukaa kwa sababu tu ya kulinda viwanda vyao. Mbona hao wazungu hawawaazimii watu kama akina Trump.
 
Kumbuka msukuma hana kitu kinachoitwa kutunza mazingira. Miti na uoto asili sio issue kwake.
Labda kutunza ng'ombe.

Mimi ndukiiiiii....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wazungu wachelewi kusema.waafrica wa wasizaliane tena wanaharibu mzngr na baba kashawawahi amekataa u,azi wa mpangl safari hii lawashika.kila kona
 
Mtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.

Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.

Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.

Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
Unaambiwa wale partners wa arab-contractors baada ya kusaini mkataba wachukua wameweka mkataba ( guarantee) bank wamekopa hela kwa ajili ya miradi mingine ya pembeni
 
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.

BWANA mdogo ebu sikia. siku nyingine unavyokuja na scientific based thread come with both theoretical and empirical evidence. sisi wengine hatupendi kuongelea vitu toka hewani.

kwa UELEWA wako kati ya umeme wa gesi (CEP) na maji (HEP) ipi ina madhara makubwa kwa mazingira ya eneo husika na dunia kwa ujumla??

kajipange uje tena.
 
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Nyie na hao mabeberu wa WWF tuacheni tujenge bwawa letu tuzalishe umeme nafuu. Hakuna miradi wowote uliokuwa na madhara kwa mazingira. Kwenye kuchimba dhahabu hawapigi kelele kwa sababu makampuni yao ndiyo yananufaika. Kwenye kuchimba uranium hawapigi kelele kwa sababu nchi zao ndo zinanufaika. Sisi tukitaka kuzalisha umeme, kelele kila kukicha. Kwanza sehemu inayoathirika ni 2% tu ya mbuga yote ya selous game reserve!
Nawao wapunguze viwanda vyao kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui thamani ya mazingira mpaka siku uwe na jangwa kama sudani au mali.

Tanzania ina options nyingi za kutengeneza umeme. Kwanini msifikirie Solar? Wind Turbines? Gas? Hizo zote ni sustainable means to get electricity without the expense of environment.

Fanya yote ila usichezee mazingira. Kizazi kinachokuja kitajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribuni kuwashauri nawao wafunge viwanda pia wapunguze kutengeneza magari kwakuwa vinachafua mazingira pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaambiwa wale partners wa arab-contractors baada ya kusaini mkataba wachukua wameweka mkataba ( guarantee) bank wamekopa hela kwa ajili ya miradi mingine ya pembeni

hizo sasa ni stori za vijiwe vya gahawa. wewe unajua what's a project finance?
yaani utumie contract (commercial closure) ya project hii kuingia contract (financial closure) ya ku finance project nyingine?

acheni kuzusha UJINGA. kuna benki or financier kweli atakubali negligence hiyo yenye very high potential financial risk.
 
hizo sasa ni stori za vijiwe vya gahawa. wewe unajua what's a project finance?
yaani utumie contract (commercial closure) ya project hii kuingia contract (financial closure) ya ku finance project nyingine?

acheni kuzusha UJINGA. kuna benki or financier kweli atakubali negligence hiyo yenye very high potential financial risk.
Hii ni JF dogo hapa hakuna taarifa ya kizushi, IPO siku utaujua ukweli
 
Kupanga ni kuchagua. Kwa sasa tunahitaji umeme sana kutokana na sera za viwanda umeme wa maji ni cheap kuliko wa gas.

..anayetegemea umeme wa maji wakati mwingine hana tofauti na mkulima anayetegemea mvua.

..kwa miaka mingi Tz tumekuwa tukitegemea umeme wa maji na nadhani unajua madhara ya utegemezi huo.

..mito yetu ina changamoto nyingi. Kuna uharibifu ktk vyanzo vya mito. Kuna changamoto ya mabonde ya mito kuelemewa na shughuli za kilimo na ufugaji.

..hoja kwamba umeme wa maji ni wa bei rahisi kuliko wa gesi wakati mwingine haizingatii uhalisia wa eneo husika.

..tusikilize hoja za pande zote bila kuitana majina, halafu ndiyo tufanye maamuzi.
 
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Mkuu naona unatwaga maji kwenye kinu,Hilo bwawa la umeme litajengwa hakuna wa kulizuia.
Hivi mkuu kama kweli uliiona shule ya ukweli yenye mashiko,nakuuliza umeme utokanao na Stigler Gorge ni faida ya nani?Kwanini tunapenda kudhohofisha juhudi za kupata umeme rahisi?

Miaka ya mwanzoni ya 80, nchi rafiki za Scandinavia Sweden na Norway baada ya kufanya utafiti wa kina kwa muda mrefu iliojulikana kama RUBADA walitoa financial plan namna ya kuzalisha umeme kutoka Stiglers Gorge.Wakimtaka Mwl.Nyerere ajenge bwawa la kufua umeme mara mmoja kwenye mto Rufiji.
Mwalimu Nyerere ilibidi kuhalisha mradi huo kwa sababu za ukwasi.Tanzania ilikuwa imetoka kupigana na Uganda katika vita vya Kagera.Wakati huo Mwalimu alikuwa amaishafanikiwa kujenga mabwawa ya kufua umeme ya Kidatu, na baadae Mtera, na Kihansi.

Je tafiti zilizofanywa na hao Scandinavia wenye uzoefu na utaalamu Hydro electric power plants hazina maana tena?
Mkuu hakuna mradi utakuwa 100% kulinda enviroment.Hata hiyo gesi asilia ni mbaya zaidi kwa mazingira kuliko umeme wa hydro
Katika kuchimba hiyo gesi zipo sintafahamu nyingi zinazoharibu mazingira.
Mkuu umesahau majanga makubwa (oil spill)yaliotokea huko gulf of Mexico Apri 2010 Macondo field, katika Deep Water Horizon rig mradi wa BP na kusababisha kuvuja kwa mafuta ghafi zaidi ya miezi 4 baharini kabla ya kufauru kuziba kisima?Yalivuja mapipa 4.9 milioni baharini,kusabisha vifo vya watu 17,na zaidi viumbe 8000.uharibifu mkubwa wa beach.

Labda una apetite ya kuona tunatumia gesi asilia katika kufua umeme,lakini kwa mtaji gani,wakati hao watawala wameishauzia vitalo vya gesi kwa wageni?Hatuna chetu,ni gharama kubwa kwetu kununua hiyo gesi.
Open your eyes mkuu,wanaotaka tutumie gesi katika mazingira haya,ni hatari kama IPTL,na Songas.
 
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
kwani ile.mradi wa gesi, kinyerezi phase I, Phase II na Phase III, tuliambiwa ni mwarobaini wa tatizo la umeme umefia wapi??

tuliambiwa utazalisha megawati zaidi ya 10,000 na umeme wa ziada tutauzia Rwanda na Uganda.

ccm wapuuzi sana.
 
Mbona hujaweka ukweli mkuu, hiyo ripoti ulishaiona wewe au unasikiasikia tu kama hao wasiojua? Nimesoma bandiko lote, lakini hata wewe naona unasikiasikia tu kuhusu hiyo ripoti.

Sikubaliani na Magufuli kama kaamua tu yeye mwenyewe kama kawaida yake ya kutumia mabavu. Lakini hata kama hiyo ripoti ipo kweli na hao wataalam waliona madhara ya mradi huo, lingekuwa jambo zuri kuitoa hiyo ripoti watu waisome na kuijadili. Bado Magufuli angekuwa na uwezo wa kushawishi ripoti iwekwe pembeni kwa sababu anazoona ni za lazima mradi ufanyike kwa manufaa ya taifa. Na mimi ningekuwa mmojawapo wa kuunga mkono hatua hiyo, kwa sababu naamini mradi huo una manufaa makubwa kwa taifa, na hizo sababu za uharibifu wa mazingira athiri yake ingeweza kupunguzwa katika 'design' ya mrada wenyewe.

Kwa hiyo taarifa yako hapa bado ni 'hearsay', na hasa ukifikiria Magufuli kaingia 2015, hiyo 'study' ya wataalam hao iliteuliwa na nani, lini na ilifanya kazi kwa muda gani. Je hata magazeti hayakuweza kutoa habari yoyote juu ya utafiti huo ukatuwekea hapa tusome? Hata majina tu ya waliohusika katika utafiti huo.



Ni akina nani hawa maprofesa, una jina hata la mmoja wao? Ni nani aliyewateua na lini?


Kamati na ripoti unayoiandika hapa iliteuliwa na kufanya utafiti wake" baada ya Magufuli kutaka bwawa lijengwe" au kamati hiyo iliteuliwa kabla na kuandika ripoti yake kabla ya kutangazwa na Magufuli kuhitaji mradi huo ufanyike?
Mimi sioni kumbukumbu za uteuzi wa kamati wakati Magufuli alipotangaza nia ya ujenzi wa mradi huo. Kama wewe unazo kumbukumbu hizo tuwekee hapa tuzione.
Report ipo na serikali imegoma kuiweka public. Alichosema jamaa ni kweli kabisa. Hoja ya kwamba Magu kaingia 2015, unahisi EIA inafanyika miaka mingapi?? Inventory za hifadhi zilishafanyika miaka mingi tu, kwa hiyo EIA haiwezi chukua muda mrefu, mwaka mmoja unatosha kabisa kwasababu hayo maeneo sio mapya, taarifa za maeneo hayo zipo nyingi mno. Kinachofanyika ni kulinganisha kinachofanywa na impact yake kwa vilivyopo. Chakubishana hapa ni nini faida na hasara za mradi? Kama faida ni kubwa it's well and good.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Report ipo na serikali imegoma kuiweka public. Alichosema jamaa ni kweli kabisa. Hoja ya kwamba Magu kaingia 2015, unahisi EIA inafanyika miaka mingapi?? Inventory za hifadhi zilishafanyika miaka mingi tu, kwa hiyo EIA haiwezi chukua muda mrefu, mwaka mmoja unatosha kabisa kwasababu hayo maeneo sio mapya, taarifa za maeneo hayo zipo nyingi mno. Kinachofanyika ni kulinganisha kinachofanywa na impact yake kwa vilivyopo. Chakubishana hapa ni nini faida na hasara za mradi? Kama faida ni kubwa it's well and good.

Sent using Jamii Forums mobile app
Faida ingekuwa ni kubwa, ninahakika hiyo report ingewekwa wazi na serikali.
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Well said...
 
Sasa faida ipo wapi kuunda timu ya kufanya tafiti na kulipwa pesa pia lakini bado utafiti wao hauchukiliwi maanani, serikali mnatuma timu kumbe kichwani mnamajibu yenu, hili taifa haliwapi wasomi fursa hakuna ushauri unaotumika wapo maprofesa wenye elimu ya juu na utalamu mwingi sana lakini hawatumiki vilivyo, pamoja na elimu tunayoipata huwa tunaipata katika mazingara magumu bado inakua ni sawa sawa na bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.

Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.

Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.

Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
Hudhani kama yatakosekana, si uyaweke wazi? acheni kushangilia ujinga wa wazungu, msidhani wanawapenda sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.



Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

P
Mkuu,
Aisee umenikumbusha Mali sana kwenye ule mradi was Shrimp farming na kapteni wetu...
 
Back
Top Bottom