Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.P
Kwahiyo Pascal unaamini kabisa ecomical impact ya mradi wa umeme kupitia Stiegler's Gorge ni kubwa zaidi kuliko mradi wa umeme kupitia gas ambayo tayari taifa limeshaingia gharama ya karibu shilingi tyrilioni moja kujenga bomba ambalo completely lipo underutilized?

Na hapa napenda nirudie tena hapa kama nilivyosema jana na kuku-tag! Kuwa Sovereign State hakumaanishi kuwa na mamlaka ya kufanya hata irrational decision!! KWA MAKUSUDI!! Huwezi kufanya jambo ambalo kitaalamu linaonesha lina madhara halafu ukajificha kwenye hoja ya kwamba, you're soverign state!!

Halafu unapenda sana kutolea mfano wa mradi wa kamba wa Delta ya Mto Rufiji! Hivi ni kweli Pasco hufahamu madhara ya kuivuruga delta?! Hivi ni kweli hufahamu umuhimu wa mikoko kwa mtu kama wewe uliyekulia Dar es salaam?! Halafu hivi una habari ule mradi ulikuwa within Reserved Marine Parks?!

Serious?! Yaani unaamini ilikuwa sawa tu kufyeka mikoko kwa ajili ya mashamba ya kuzalisha kamba; mradi ambao ungefanyika kwenye 19,000 hectares, na kui-expose nchi kavu na bahari?

Hebu soma hii taarifa:
Around half of 279,000 ha of Philippine mangroves lost from 1951-1988 were developed into aquaculture ponds, with 95% of Philippine brackish water ponds in 1952-1987 being derived from mangroves (Primavera 1995).
Baada ya kuharibu sana mikoko kwa muda wote huo na kuanza kutandikwa na vimbunga vya baharini visivyoisha, soma tena hapa:
The Philippines said Sunday it will plant more mangrove areas to prevent a repeat of the deadly storm surges that claimed hundreds of lives during Super Typhoon Haiyan earlier this month.
Mikoko ambayo waliiharibu wenyewe, baadae wanakuja kusumbua Umoja wa Mataifa,
Aid agencies, led by the UN, are helping to diversify incomes, as well as highlighting how sustainability can help alleviate natural disaster. Progress has been made, for example, on the restoration of coastal mangroves that will, come the next big typhoon, act as a crucial buffer.
Kuna mahali hapo juu unadai mikoko ambayo ingefyekwa pale Rufiji ingekuwa ni nothing compared na mihela ambayo tungeipata kwenye mradi ule... SERIOUS?! Hivi pesa ambazo Ufilipino imeingiza kwenye hiyo miradi zinafika hata robo ya madhara wanayopata almost kila mwaka?!

Nchi za Asia na South East Asia ziliharibu sana mikoko, na moja ya sababu zilizochangia uharibifu wa mikoko ni kilimo cha kamba! Matokeo yake, leo hii ndo wanashituka na ukanda mzima wa South East Asia wameanzisha the so called Mangrove For Future (MFF)! What's MFF?! Background yao wanasema:
The devastation caused by the Indian Ocean tsunami of December 2004 laid bare the vital link between coastal ecosystems and human livelihoods. It was United States President Bill Clinton’s vision that rebuilding in tsunami-hit areas should improve natural infrastructure and strengthen resilience against future natural disasters. In response to this vision, IUCN (International Union for Conservation of Nature) and the United Nations Development Programme (UNDP) developed Mangroves for the Future in 2006. Since then, MFF has grown to include eight institutional partners, plus a growing number of countries. At the launch of the Tsunami Legacy report* at the United Nations in New York in April 2009, Bill Clinton acclaimed MFF as one of the most positive and forward-looking developments of the post-tsunami period.
Hiyo ndiyo mikoko ambayo wewe unaona "mabeberu" waliingilia sovereignty yetu na kutuzuia tusifanye mchezo na mikoko!

Tena basi Bonde la Mto Rufiji linatumika sana kwa kilimo! Fanya assignment mwenyewe uone ni namna gani mashamba ya uzalishaji wa kamba yanavyotumia antibiotics na ma-chemical!

Sasa umeshawahi kujiuliza udongo kwenye Bonde la Mto Rufiji ungekuwa na hali gani na wakulima wangekuwa na hali gani?!

Anyway, wawekezaji wa ule mradi wa Rufiji Delta walituambia mradi ungezalisha USD 500 Million in terms of export!!! Je, leo hii watetezi wao wanaweza kutuambia mradi kama huo kule Jimbo, Mafia ulio chini ya Alphakrust unazalisha mabilioni mangapi?!
 
Hata Jiwe alisema hadharani habari ya hiyo environmental assessment report.
Yap ipo kabisa sio ile ya Prof Mwailyosi ya zamani .
Ila kaikataa
This is how politics affect public administration in tanzania.
Yaani wataalamu kabisa wanaumiza vichwa vyao wanatoa ripoti ya kitaalamu, ila mwanasiasa kwa sababu tu katiba zetu mbovu wanakuwa mabos
Wanatoa tu maamuzi ya hovyo.
Tuliambiwa umeme wa gas unaweza kuzalisha umme wa mg 10,000 na zaidi na hawahawa wanasiasa wa ccm kwanini tusiendelee na huo umeme wa gas tunakimbilia kitu kilichokataliwa tokea miaka ya 1980 huko.
Stiglers gorge ni mradi wa mda.mrefu sana ila kuhusiana na kuzalisha umeme kulishakataliwa muda mrefu kutokana na athari za kimazingira kuwa kubwa sana
 
Stieglers Gorge haijaanza na JPM, yeye kaja kuendeleza tu. Mengi yalifanyika miaka ya 1970's pengine jf members wengi hawajazaliwa. Kutokana na mabadiliko tabia nchi ilibidi tu ipitiwe upya.
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Mkuu nakuunga Mkono,
Ila Nashangaa sijui Serikali ya Rais John pombe Magufuli imekwama?
Siusikii tena huu mradi baada ya wa Misri kupewa Tenda ile,Ucheleweshaji unaweza mradi ukakwama,loopholes zinaweza kujitokeza kwa wasioitakia Nchi yetu kiukweli hatusikii pilikapilika kama za SGR na updates, jamani waanze Fasta tupo Tunaunga Mkono 100% hili jambo muhimu sana sana kwa Taifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni JF dogo hapa hakuna taarifa ya kizushi, IPO siku utaujua ukweli

BWANA mdogo sikiliza.
commercial closure iandikwe United Republic of Tanzania halafu itumike kwenye financial closure na bank ya ku finance mradi wa Republic of Mali.
Duuu
 
Repoti hii ni mpya mzee na sio ya pro mwalyosi.
Elewa kwamba kuna time frame ya EIA ikishapita muda flani inakuwa sio valid
Aha!
Anyway, binafsi siwashobokei wakoloni wakoloni na wala sijaisoma hiyo report. Ninachojua toka moyoni ni kwamba, kama objective Environmental Impact Assessment ilifanyika na taarifa yake ikapendekeza mradi usianzishwe na sababu za msingi zikatolewa, taarifa hiyo ilipaswa kuheshimiwa.

Serikali ingeweza kuweka mradi huo mahali pengine au kuwa na miradi ya umeme wa solar au hata nuclear na upepo.

Anyway, kwa uelewa wangu wa wastani kuhusu mazingira, najua kuwa tutapata umeme toka stiegler gorge lakini uharibifu wa mazingira unaweza kuwa mkubwa na madhara yake yanaweza kuonekana vizazi vijavyo na historia itahukumu kizazi hiki kwa haki!

Madhara ya uha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kitu kitampa sifa ya kisiasa ya muda mfupi, Jiwe hajali hata kama ekolojia nzima ya Selous itakufa baada ya miaka 50
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangfaidaalia za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Kuhusu Kihansi...labda kama sijakuelewa Mkuu Pasikali, ila kama ndicho unachomaanisha umenikatisha tamaa sana kwa maoni yako.

Hivi kweli kuna mbadala ya uumbaji wa Mungu? huo umeme ni kazi za binaaamu...na nani alituambia kuwa tunahitaji sana umeme ili maisha yawepo? ni sisi wenyewe Binaadamu tumeaminishana hivyo na sio Mungu.

kuna maneno yanayopatikana kwenye vitabu vitakatifu "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"...hivi maarifa pekee yaliyobaki ni kufua tu umeme? umeme ambao umeletwa na hao hao 'Mabeberu' tusiowaamini wakishauri tofauti na tunachoamini sisi?

Hivi sisi Waswahili hatuna nafasi ya kufikiria na kupata umeme kwa njia nyingingine tukaachana na huo uvumbuzi wa Mabeberu? sasa je maisha ya Vyura wale yamerudi kama awali au tumefaulu kuwaharaibia maisha yao?

Vipi kama baada ya kuangamiza hao Vyura (ambao kwa vyovyote walitengenezewa makazi yao yale na Mungu huyohuyo tunayemuamini sisi) ikaja teknolojia ya kupata umeme bila kuhitaji kufua kwa kutumia maji yanayotiririka, tutawaumba upya Vyura waliokwisha potea, na kurudisha makazi yao kama alivyoumba Mwenyezi Mungu?

Tumekuwa so defensive kwa kila kitu, tukiashauriwa jambo tunatafsiri kama nia mbaya ya Mabeberu, na vipi kama watatuambia tusitumie teknolojia hiyo ya Hydroelectric waliyovumbua wao? tumekuwa kama Mwanaume wa bara aliyefika Mombasa, muda wote kugeuka kuona nani yupo nyuma yake, akiguswa tu kalio hata kama mgusaji ana nia nzuri ya kumfuta vumbi anaruka juu na kupiga kelele.
 
[QUOTE="Kalamu1, post: 30103903, member: 494040"


Kamati na ripoti unayoiandika hapa iliteuliwa na kufanya utafiti wake" baada ya Magufuli kutaka bwawa lijengwe" au kamati hiyo iliteuliwa kabla na kuandika ripoti yake kabla ya kutangazwa na Magufuli kuhitaji mradi huo ufanyike?
Mimi sioni kumbukumbu za uteuzi wa kamati wakati Magufuli alipotangaza nia ya ujenzi wa mradi huo. Kama wewe unazo kumbukumbu hizo tuwekee hapa tuzione.[/QUOTE]
Hakika umenena vyema sana
 
Yani mimi hata sielewi watanzania. Eti environment impact. Hao wazungu huko ulaya wanyama wao wamewamaliza wote sababu ya kutoheshinu mazingira. Wao ndo waharibifu mazingira wakubwa.
Sisi kama watanzania kwanza kuhifadhi mazingira ni asili yetu. Wengi watu asili yetu ni wakulima na wafugaji kwahiyo umuhimu wa mazingira kiasili sisi tunajua umuhimu wake.
Pale ni kweli kutakuwa ma uharibifu kidogo ila kwa ajili ya manufaa ya taifa ule mradi lazima ufanyike. Na isitoshe eneo litakalotumika ni dogo sana. Hiyo impact yake tutaangali baaade. Umeme kwanza!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply....
iv Tanzania ni nvhi ya kwanza kuanzisha mradi hu wa stiegler george hydroelectric power???/na kama kuna nchi nyingine zimefanikisha huu mradi kwannTanzania tuzuiwe ??na wote tunajua ili tuweze kuwa na effective economy ,we need power ...ambayo itatumika kuendesha mitambo mbalimbali ,ambayo itaiwezesha nchi kukua kiuchumi ....m naona mradi upitishwe tuu nchi yetu imejaa misitu kila kona hakuna sababu ya kuacha kufanya kitu chenye kuleta tija kwetu tuache kujipinga sisi wenyewe ...umeme wa gas unaweza kukidh mahitaj ya nchi nzima !yunahitaj umeme wenye nguvu
 
kuna MAJITU yanalishwa maneno na mabeberu ili wao waendelee kufanya biashara zao, watanzania hao hao umeme ukipungua bei wanashangilia na kuruka kama MAZUZU. NIKIPATA URAIS NITALETA UMEME WA NUCLEAR KABISA NDANI YA WIKI TU

Gharama za mradi wa maji ni ndogo kulinganisha na vyanzo vingine:

  • Umeme wa nguvu za Maji - Tsh. 36 kwa unit
  • Upepo - Tsh 103 kwa unit
  • Umeme wa gesi - Tsh. 147 kwa unit
  • Umeme wa mafuta -Tsh. 426 kwa unit.
 
Hujui thamani ya mazingira mpaka siku uwe na jangwa kama sudani au mali.

Tanzania ina options nyingi za kutengeneza umeme. Kwanini msifikirie Solar? Wind Turbines? Gas? Hizo zote ni sustainable means to get electricity without the expense of environment.

Fanya yote ila usichezee mazingira. Kizazi kinachokuja kitajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said!👍🏽
 
Sikio la kufa siku zote alisikii dawa...tena kasharuhusu watu walime ndani ya mita sitini kwenya ardhi oevu na wajenge na kuchunga kwenye hifadhi za wanyama pori wetu...tanzania ijiandae kuwa jangwa kama darful
Ujue kwa ruhusa hizi tumekwisha mazingira yatachakazwa sana
 
Back
Top Bottom