Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Naungana na mtoa mada inawezekana kabisa ni kweli, nakumbuka siku tunazindua mfugale bridge pale tazara rais alisema tena kwa hasira kabisa kuna watu wanajiita wasomi wamekuja na mapendekezo ya hovyo. I remember this statement
Mbona hujaweka ukweli mkuu, hiyo ripoti ulishaiona wewe au unasikiasikia tu kama hao wasiojua? Nimesoma bandiko lote, lakini hata wewe naona unasikiasikia tu kuhusu hiyo ripoti.

Sikubaliani na Magufuli kama kaamua tu yeye mwenyewe kama kawaida yake ya kutumia mabavu. Lakini hata kama hiyo ripoti ipo kweli na hao wataalam waliona madhara ya mradi huo, lingekuwa jambo zuri kuitoa hiyo ripoti watu waisome na kuijadili. Bado Magufuli angekuwa na uwezo wa kushawishi ripoti iwekwe pembeni kwa sababu anazoona ni za lazima mradi ufanyike kwa manufaa ya taifa. Na mimi ningekuwa mmojawapo wa kuunga mkono hatua hiyo, kwa sababu naamini mradi huo una manufaa makubwa kwa taifa, na hizo sababu za uharibifu wa mazingira athiri yake ingeweza kupunguzwa katika 'design' ya mrada wenyewe.

Kwa hiyo taarifa yako hapa bado ni 'hearsay', na hasa ukifikiria Magufuli kaingia 2015, hiyo 'study' ya wataalam hao iliteuliwa na nani, lini na ilifanya kazi kwa muda gani. Je hata magazeti hayakuweza kutoa habari yoyote juu ya utafiti huo ukatuwekea hapa tusome? Hata majina tu ya waliohusika katika utafiti huo.



Ni akina nani hawa maprofesa, una jina hata la mmoja wao? Ni nani aliyewateua na lini?


Kamati na ripoti unayoiandika hapa iliteuliwa na kufanya utafiti wake" baada ya Magufuli kutaka bwawa lijengwe" au kamati hiyo iliteuliwa kabla na kuandika ripoti yake kabla ya kutangazwa na Magufuli kuhitaji mradi huo ufanyike?
Mimi sioni kumbukumbu za uteuzi wa kamati wakati Magufuli alipotangaza nia ya ujenzi wa mradi huo. Kama wewe unazo kumbukumbu hizo tuwekee hapa tuzione.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niseme wazi kuwa katika hili namuunga mkono rais wetu ... Yaani hizo hasara wanazozisema hao watu wa mazingira sioni kama zinalingana na faida tutakazozipata kwa mradi huo kuendelea... Rai yangu ni kuwa mradi huu ukamilike haraka sana kabla hajaja rais mwingine ambae hatujui kuwa atakuwa na msimamo gani katika hili ...

Ni lini hujawahi kumuunga mkono? Iwapo hata uwizi wa mabox ya kura unaunga mkono itakuwa huo mradi wa umeme?
 
Hawa mabeberu wanatuoni sisi watanzania kama hatuna akili vile. Hivi madhara ya kutumia nguvu za nukilia kuzalisha umeme kwao unaweza kulinganisha na hili la ujenzi wa bwawa la maji? kwanza mabaki ya nukilia si sumu kali lakini wao wanaendelea kutumia na hawaoni madhara yake, pili Uranium iliyopo Seleou uchimbaji wake waliona hauna madhara kwa sababu makampuni yao ndiyo yanamiliki hiyo uranium baada ya kuigundua. Wao baada ya kuharibu mazingira kwao leo ndio wanataka kutuwekea sisi masharti eti miti mingi itakatwa wakati wa ujenzi wa bwawa hawajui ya kwamba watanzania wengi asilimia 99 wanatumia mkaa na kuni na miti mingi inatekea kila mwaka. Tukakapojenga bwawa la umeme watu wengi wataanza kutumia umeme wa bei nafuu na kuokoa ukataji wa miti hovyo hasa ukizingatia gharama ya uzalishaji wa umeme wa maji bei yake iko chini zaidi. Watanzania wengi hawajui nia hasa ya hawa mabeberu kuzuia ujenzi wa bwawa, sijajua ni sababu ya IQ ndogo au ni ushabiki wa kisiasa. Mabeberu wanapendekeza tutumie gesi kwa sababu gesi inamilikiwa na makampuni ya kwao kwa asilimia kubwa na wanaona tukianza kutumia umeme wa maji wa bei nafuuu hatutaweza tena kununua gesi kwao na hatutaweza tena kulipa capacity charge hivyo watakuwa wameingia hasara. Kwa sabau hiyo lazima walinde masilahi yao kwa visingizio vya kuharibu mazingira. Nchi zinazochangia kwa uchafuzi wa mazingira duniani ni nchi zenye viwanda vikubwa vya Ulaya,Marekani na Asia , kwa sisi Afrika uchafuzi wa mazingira bado sana hatujawafikia hao wazungu. Kinachoendelea kwa hawa mabeberu ni kupigania masilahi ya nchi yao waendelee kuvuna pesa kutoka kwenye gesi yetu kwa kuwa wao ndio walioigundua na kujimilikisha na kutuwekea masharti ya kutuuzia hadi watakaporudisha pesa zao na faida nono iliyopitiliza mbaya zaidi kuna watanzania wenzetu wachache wanatumika na mabeberu hawa kuhujumu huu mradi kwa ujira mdogo kwa kizingizio cha uharibifu wa mazingira.
 
Kupanga ni kuchagua. Kwa sasa tunahitaji umeme sana kutokana na sera za viwanda umeme wa maji ni cheap kuliko wa gas.
JE WANAOPINGA WANAONA NI SAWA KUWA NA UMEME WA GESI wa gharama mara mbili ya ule wa maji huku serikali ikitoa pesa zake kulipia kila unit ya umeme ili yeye aweze kupta umeme kwa bei tunayol.ipia? SERIKALI IKIACHA KUGHARAMIA HATA KUCHAJI SIMU HAWATAWEZA. Hao wajerumani kama wanajiweza waje watjujengee basi kinu cha gesi watuuzie kwa bei ya umeme wa kutumia maji. Mbona kwao hawatumii umeme wa gesi inayotoka russia badala yake wanakazania zaidi wa sola, upepo nk ? PIA SIO RAHISI KUHARIBU MAZINGIRA KIHIVYO. Marekkani, Ulaya, Asia zingeshakuwa jangwa.
 
5201.jpg



German energy secretary backs forest clearance to build coal mine

Thomas Bareiß says use of polluting fuel at RWE plant is needed to keep the lights on



Adam Vaughan
@adamvaughan_uk
Mon 1 Oct 2018 11.45 EDT Last modified on Tue 2 Oct 2018 07.01 EDT




This article is over 3 months old

Controversial plans to chop down a German forest to build a vast coal mine should proceed because Germany needs the polluting fuel to keep the lights on, according to the chief of the country’s state secretary for energy.
Dozens of treehouses built and occupied by campaigners for years have been recently cleared by police to make way for plans by energy firm RWE, which owns Hambach forest near Cologne, to expand its nearby opencast coal mine.
Environmental groups have rallied against the project, which they argue would lock the country into higher carbon emissions, just as a government-appointed commission simultaneously debates a timeline for Germany to phase out coal.
“It should go ahead,” said Thomas Bareiß when asked by the Guardian if the Hambach clearance should proceed when the “coal exit commission” is still deliberating.

Bareiß said RWE had “a right to do this”, noted that the regional government had already agreed the clearance and said Germany needed the mine to maintain its energy supplies in the short term. “We still need lignite [brown coal] for our reliable coal supply.”
He conceded the highly polluting form of coal was disliked by most of the German public but said extracting lignite had a long tradition in some regions. “In general lignite is unpopular. People think it is dirty.”
But Bareiß said Germany, which sources nearly 40% of power from coal, would still need its coal plants in the early 2020s. That is partly because Germany is also due to shut its last nuclear power station in 2022. “At end of the decade there is more possibility to shut coal [plants],” he said.
The coal exit commission, whose members range from energy companies to Greenpeace, has been tasked with agreeing dates for phasing out Germany’s reliance on coal power stations, ahead of a UN climate summit in Poland this December.

Observers think that a compromise cut-off date at some time in the 2030s will be the most likely outcome.
Bareiß told an industry audience in London that getting off coal would be a “very expensive transition” but it was necessary and would “work in the long run”.
He cautioned that Germany could not move too fast on renewable energy projects, because of multibillion-euro upgrades required to take power from windfarms in the country’s north to the south. Those upgrades are behind target, causing bottlenecks and “large costs”, Bareiß said at the BNEF Future of Energy summit.
Fabian Huebner of the Climate Alliance Germany, which is backing a demonstration this Saturday against Hambach’s clearance, said: “Scientists agree: the brown coal under the Hambach Forest will not be needed for the security of electricity supply in Germany.”
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P



Uzalendo ni pamoja na kusikiliza ushauri ulio "informed"!
 
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambeya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Tatizo haya mambo mengi yanafanyika gizani-ni wachache wanaojua kinacho endelea. Jinsi ulivyomalizia naona kuna ukakasi, fikiria maumivu kwa walio wengi zidi ya faida kubwa kitaifa huko baadae. Sijui unavipimaje hivi na katika mradi huu kipi kimefanyika. Unatenganisha vipi walio wengi na taifa?
Nina amini nchi hii ina watalaamu wa kutosha wenye ujuzi na weledi wa kutosha kushauri serikali hii, tatizo ni siasa zetu unaamua kitu halafu unashikiria kiwe utakavyo. Tumeshaona maprofessor (and the like) wakifanya kazi hizi kisha tuna ambiwa kuna wazalendo na wasaliti. Nakumbuka TBC waliwahoji wahadhiri wengi kuhusu mradi huu na karibu wote waliunga mkono (nisinge tegemea majibu tofauti, kwani ukisha sema hiki kitu kitafanyika ije mvua au ukame unategemea nini).
Sidhani kama tunafuata misingi ya "project appraisal" naona siasa tunazitanguliza sana hadi kupindua vitu vya msingi.
 
Kwanini msifikirie Solar? Wind Turbines? Gas? Hizo zote ni sustainable means to get electricity without the expense of environment.

Serikali ingeweza kuweka mradi huo mahali pengine au kuwa na miradi ya umeme wa solar au hata nuclear na upepo.
Hizo njia zina gharama kubwa sana kuliko maji ambapo mzigo wa bei utapelekwa kwa mtumiaji.
 
Mtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.

Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.

Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.

Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
Mpiga ramli katika ubora wake.
 
Hawa mabeberu wanatuoni sisi watanzania kama hatuna akili vile. Hivi madhara ya kutumia nguvu za nukilia kuzalisha umeme kwao unaweza kulinganisha na hili la ujenzi wa bwawa la maji? kwanza mabaki ya nukilia si sumu kali lakini wao wanaendelea kutumia na hawaoni madhara yake, pili Uranium iliyopo Seleou uchimbaji wake waliona hauna madhara kwa sababu makampuni yao ndiyo yanamiliki hiyo uranium baada ya kuigundua. Wao baada ya kuharibu mazingira kwao leo ndio wanataka kutuwekea sisi masharti eti miti mingi itakatwa wakati wa ujenzi wa bwawa hawajui ya kwamba watanzania wengi asilimia 99 wanatumia mkaa na kuni na miti mingi inatekea kila mwaka. Tukakapojenga bwawa la umeme watu wengi wataanza kutumia umeme wa bei nafuu na kuokoa ukataji wa miti hovyo hasa ukizingatia gharama ya uzalishaji wa umeme wa maji bei yake iko chini zaidi. Watanzania wengi hawajui nia hasa ya hawa mabeberu kuzuia ujenzi wa bwawa, sijajua ni sababu ya IQ ndogo au ni ushabiki wa kisiasa. Mabeberu wanapendekeza tutumie gesi kwa sababu gesi inamilikiwa na makampuni ya kwao kwa asilimia kubwa na wanaona tukianza kutumia umeme wa maji wa bei nafuuu hatutaweza tena kununua gesi kwao na hatutaweza tena kulipa capacity charge hivyo watakuwa wameingia hasara. Kwa sabau hiyo lazima walinde masilahi yao kwa visingizio vya kuharibu mazingira. Nchi zinazochangia kwa uchafuzi wa mazingira duniani ni nchi zenye viwanda vikubwa vya Ulaya,Marekani na Asia , kwa sisi Afrika uchafuzi wa mazingira bado sana hatujawafikia hao wazungu. Kinachoendelea kwa hawa mabeberu ni kupigania masilahi ya nchi yao waendelee kuvuna pesa kutoka kwenye gesi yetu kwa kuwa wao ndio walioigundua na kujimilikisha na kutuwekea masharti ya kutuuzia hadi watakaporudisha pesa zao na faida nono iliyopitiliza mbaya zaidi kuna watanzania wenzetu wachache wanatumika na mabeberu hawa kuhujumu huu mradi kwa ujira mdogo kwa kizingizio cha uharibifu wa mazingira.
wew ndio IQ ndogo nani kakwambia Gesi yetu ya Lindi na Mtwara inamilikiwa na makampuni ya wazungu. Gesi ni ya kwetu acha upumbavu wako
 
Mtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.

Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.

Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.

Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
Wewe jamaa unakaribia kuokota makopo, hivi huwa hujishtukii hata NYUMBU wenzako wakiona ishu ni ya maana kwa ustawi wa taifa wanapitaga kimya, hivi kwanini huwa haujaribu kutumia akili hata kidogo?, tumeshajua umezaliwa huna akili ila jaribu basi hata kufikiria kabla ya kupost kitu.Umewahi kupita sehemu yanapochimbwa madini almasi,gold etc ukaona mashimo yaliyobaki yalivyo makubwa na yame extend kwenda chini yamebaki kama mapango?, umewahi kusikia hizo kelele za mazingira kutoka kwa wazungu?,. Unapinga kila kitu hadi unaonekana MPUMBAVU, wakati mwingine kaa kimya tu kuficha UPUMBAVU wako. Huo umeme hawatumii wajerumani, tunatumia watanzania ndugu zako wakiwemo. Punguza ushabiki kwenye mambo ya msingi.
 
Mbona hujaweka ukweli mkuu, hiyo ripoti ulishaiona wewe au unasikiasikia tu kama hao wasiojua? Nimesoma bandiko lote, lakini hata wewe naona unasikiasikia tu kuhusu hiyo ripoti.

Sikubaliani na Magufuli kama kaamua tu yeye mwenyewe kama kawaida yake ya kutumia mabavu. Lakini hata kama hiyo ripoti ipo kweli na hao wataalam waliona madhara ya mradi huo, lingekuwa jambo zuri kuitoa hiyo ripoti watu waisome na kuijadili. Bado Magufuli angekuwa na uwezo wa kushawishi ripoti iwekwe pembeni kwa sababu anazoona ni za lazima mradi ufanyike kwa manufaa ya taifa. Na mimi ningekuwa mmojawapo wa kuunga mkono hatua hiyo, kwa sababu naamini mradi huo una manufaa makubwa kwa taifa, na hizo sababu za uharibifu wa mazingira athiri yake ingeweza kupunguzwa katika 'design' ya mrada wenyewe.

Kwa hiyo taarifa yako hapa bado ni 'hearsay', na hasa ukifikiria Magufuli kaingia 2015, hiyo 'study' ya wataalam hao iliteuliwa na nani, lini na ilifanya kazi kwa muda gani. Je hata magazeti hayakuweza kutoa habari yoyote juu ya utafiti huo ukatuwekea hapa tusome? Hata majina tu ya waliohusika katika utafiti huo.



Ni akina nani hawa maprofesa, una jina hata la mmoja wao? Ni nani aliyewateua na lini?


Kamati na ripoti unayoiandika hapa iliteuliwa na kufanya utafiti wake" baada ya Magufuli kutaka bwawa lijengwe" au kamati hiyo iliteuliwa kabla na kuandika ripoti yake kabla ya kutangazwa na Magufuli kuhitaji mradi huo ufanyike?
Mimi sioni kumbukumbu za uteuzi wa kamati wakati Magufuli alipotangaza nia ya ujenzi wa mradi huo. Kama wewe unazo kumbukumbu hizo tuwekee hapa tuzione.
La msingi hapa ni umuhimu wa EIA kabla na baada ya JPM. Kwa spidi ya JPM ya utekelezaji wa mradi huu sidhani kama hilo kwake lilikuwa muhimu. Kwahiyo kwakuwa NEMC ipo kwa madhumui ya PROJECT EIA na EIR na kwa misingi ya 'full disclosure' wataalamu wa mazingira ama walipuuzwa au walirukwa.
Ina maana kwamba ni lazima Bunge lipitie upya kuona kama sheria ya NEMC ina meno au lah!
 
China ndo ina miradi mingi zaid mikubwa ya ujenzi wa HEP inayoendelea kwa sasa duniani lakini hao jamaa zenu hawapeleki pua kule.WHY? Hakuna mradi wowote usiokuwa na athari kwenye mazingira hata ujenzi wa nyumba za kuishi tu
Nyumba????huko inakatwa miti milioni moja
 
Back
Top Bottom