Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Leo umekosa hoja hata moja umeamua kuandika utoto sasa,lini utatoa ushauri ambao utawanufaisha watanzania na kujenga jamii thabiti.
 
Kinana ni mwanajeshi amelitumikia jeshi kwa kipindi kirefu kwa cheo cha kanali...si mtu wa kupuuzwa

Ni kweli mkuu bungeni hapaswi kupuuzwa, na hata anavomaliza tembo wetu katu asipuuzwe! Make akipuuzwa huyu kwa jinsi inavo onekana alivo makini kusimamia kazi anayo ifanya tembo wetu watabaki historia.
 
Mkuu naloliga hurita hivi kuna Kinana mwingine tofauti na ajenti wa meli zinazo safirisha meno ya Tembo kutoka A. Mashariki?.

Huu sio ukweli mchungu kuhusu Kinana.
 
Last edited by a moderator:


Sawa umeongea vizuri, jaribu kupitia archives za miaka ya tisini kuhusu swala la uraia wake utagundua kwamba huyu mwanasiasa ana maficho mengi na hivyo lolote lawezekana
 
Uwezo wake mkubwa wa kisiasa, umakini wake na upeo mkubwa alionao katika kuona na kuchambua masuala ya siasa, uchumi na jamii ndivyo vitu ambavyo kwanza kwa nyakati tofauti vimepata kumfanya Kinana awe Mbunge wa Jimbo la Arusha kwa miaka 10, Mbunge wa Afrika Mashariki na Spika wa Bunge hilo.

Pole sana, You have been too long on words BUT too short on substance!!

Reason: You are still too green (*Rookie) to understand the depth and girth of such issues.

Advise: No research; no right to open you mouth; fanya home work yako vizuri urudi.
 
CV yake nzuri haijamsaidia kuwa mzalendo kwa nchi yake ametumia uzoefu wake,nafasi yake na ukaribu wake na Kikwete kuendeleza mtandao wa ujangiri nchini na biashara haramu za kusafirisha binadamu
 
I will never believe that Kikwete has any brain to simply outsmart anyone let alone his own appointees.
 
Endeleeni kuota tuu...hata list of shame mlisema maneno hayo hayo...then damage mliokuja kuipata inawagharimu mpaka leo..kwa hio endeleeni kujifariji lakini damage mtakayoipata itakuwa kubwa kuliko ile ya list of shame.
 
Alistaafu 1972? Au aliacha?

Mkuu hajastaafu 1972, historia yake hii hapa:

Born in the Arusha region in October 1951, Kinana did his primary and secondary studies in that city, before attending the Old Moshi Secondary School.

He was one of those responsible for the TANU party youth organization in the Korogwe district between 1971 and 1972, before following the teachings of the Kivukoni Ideological College in 1973.

From 1974 to 1985, he undertook a long career as a political commissar in several military schools, and from 1984 to 1985, at the 20th division of the Tanzania Peoples Defence Force (TPDF).

In the meantime, in 1984, he had graduated from the university of Ljubljana in Yugoslavia.
 
ziara yake moja tu ya mkoa wa Morogoro imezua tafrani nchi nzima

Acha ushabiki wa kijinga changia hoja, unadhani hii ndiyo ziara yake ya kwanza? umesahau kuwa ziara yake ya kwanza alianzia Lindi na Mtwara, sasa nini kinachoendelea kwa sasa huko Lindi na Mtwara kuhusu CCM?
Kwa ujumla Kinana ni mzuri kutokana na hiyo historia, lakini kwa hapa tuliopfika hakuna mwenye shida na historia hiyo tuliyoandikiwa hapa kwenye huu uzi, leo hii hata kama Baba wa taifa angefufuka akawa ndiyo katibu mkuu wa CCM (kwanza sidhani kama angekubali) mambo yasingekuwa mteremko kama mnavyodhani. Kwa leo si habari ya CHADEMA, CCM au Kinana watu wanhitaji kuona raslimali zao zinawanufaisha vipi, sasa kama Kinana mwenyewe kampuni yake ni agent wa kuiba raslimali za nchi, atawaambia nini watanzania?
Je hiyo ziara aliyoifanya Morogoro, kama si kualika wanamziki pale moro kama Diamond, unadhani ule mkutano ingekuwaje?
Ndugu zangu, kazi nzuri iliyofanywa na CHADEMA ni kuwajengea uwezo watu namna ya kuhoji na kudai haki zao, haijali ni nani atakuwa madarakani hata kama ni CHADEMA wenyewe bado watabanwa, kwahiyo kwangui mimi Kinana si issue sana kihivyo, suala je ataweza kufumua mifumo ya hovyo ambayo iko ndani ya CCM ambayo yeyey mwenyewe ni mshirika wake?
 
Amefanya nini,kukishauri chama chake,kudeliver? Au ni mzuri kwa kuunda jisi ya kushinda chguzi tu.
 
DEBE tupu haliwachi makelele. Kinana, Nchimbi, megji, Mohd Seif Khatib, Nape na wengine wengi ni madebe matupu yanayopiga makelele. Mafisadi matupu na 2015 wawekwe pembeni maana wamechoka sana
 
it's easy to teach a blind person and understand but extremely tiring job to get a stupid eyed person understand!
 
Sina haja ya kupoteza muda kusoma majisifu ya jangili kinana,non sense!!!mleta mada ukome kutupotezea muda kuleta pumba za lumumba hapa..
 
Samahani sijaona ukweli wowote mchungu wa kubadili ccm Au jangiri na mafisadi kubadili tabia zaidi ya kuendelea kulindana na kuongeza shida kwa wanyama na maisha ya watu.
 
mtaangaika sana lakini huwezi mfananisha Comrade Kinana na hao MaDJ
 
Weka mbali na TEMBO wetu huyu mtu. Ila leo ni weekend nitapata KINANA moja ya baridi hapo baadaye ili kuwakumbuka tembo wetu waliouwawa na JANGILI kinana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…