Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Sifa nzuri sio za kuwaridhisha hao wenye mandate wasiofahamika. Labda ungesema wazi hao wenye mandate ni kina nani, na wanachaguliwaje. Sisi tunajua mtu anapigiwa kura na wananchi, anayeongoza kwa kura ndio mshindi. Na hivyo ndio inavyopaswa kuwa, na sio kwa maamuzi ya kikundi kisichofahamika uwepo wake. Kama tatizo la hicho kikundi ni Tundu Lisu. 2010 alikuwa Slaa, mbona hicho kikundi hakikumtangaza? Ni kwanini hicho kikundi kiipendelee tu CCM, na Sio kinyume chake?
silaha hakushinda.
af sio kikundi kama unavyosema ila ni officers walosomea kile ambacho sio kila mtu anasoma
Kazi yao ni kufanya mema kwa maslahi ya taifa hili kwa kiapo
technically hawapo chini ya yeyote yule
 
Lumumba project kazini. Na mtaanzisha thread nyingi sana mwaka huu, ila ndo ivyo Tundu Antipas Lisse ni chaguo la wananchi na kama Mungu alivyomuepusha na kifo kwenye hila zenu mbaya ndivyo hivyo anaenda kumpa uraisi mwaka huu wa Tanzania.

Eti system haiwezi kukubali!! Hao vijana wenu mnaowatoa uvccm na kuwaingiza usalama wa Taifa ndo mnasema system.

Eti kuna misimamo ya Taifa,Magufuli mwenyewe kaenda tofauti na msimamo wa CCM na Sera zake kaiunga mkono Morroco ambao walipingwa na CCM na Baba wa Taifa miaka yote.

Sikiliza nikwambie mtu yeyote anaweza kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano kikubwa akidhi matakwa tu ya watanzania na katika hili TUNDU ANTIPAS LISSU amekidhi vigezo vyote.
Haina maana kujificha kwa staili ya mbuni
 
Lumumba project kazini. Na mtaanzisha thread nyingi sana mwaka huu, ila ndo ivyo Tundu Antipas Lisse ni chaguo la wananchi na kama Mungu alivyomuepusha na kifo kwenye hila zenu mbaya ndivyo hivyo anaenda kumpa uraisi mwaka huu wa Tanzania.

Eti system haiwezi kukubali!! Hao vijana wenu mnaowatoa uvccm na kuwaingiza usalama wa Taifa ndo mnasema system.

Eti kuna misimamo ya Taifa,Magufuli mwenyewe kaenda tofauti na msimamo wa CCM na Sera zake kaiunga mkono Morroco ambao walipingwa na CCM na Baba wa Taifa miaka yote.

Sikiliza nikwambie mtu yeyote anaweza kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano kikubwa akidhi matakwa tu ya watanzania na katika hili TUNDU ANTIPAS LISSU amekidhi vigezo vyote.
Unaijua vizur N A M?
nikwamba huu uzi umewazidi akili au?
 
silaha hakushinda.
af sio kikundi kama unavyosema ila ni officers walosomea kile ambacho sio kila mtu anasoma
Kazi yao ni kufanya mema kwa maslahi ya taifa hili kwa kiapo
technically hawapo chini ya yeyote yule

Kwani officers sio kikundi? Ni kwanini wasiwe wazi tuwajue na mienendo yao, kama kweli wako kwa maslahi ya taifa hili? Hicho kikundi ni kikundi cha wahuni wachache, waliopo kwa maslahi ya ccm. Slaa hakushinda, tunaamini vipi wakati unasema baraka zinatoka kwa hicho kikundi? Na kwa haraka haraka hicho kikundi ni cha wanaccm. Iko siku mtaiingiza hii nchi kwenye machafuko, kwa kuwa na kikundi kinachoagiza chaguzi za nchi zinajisiwe kwa maslahi ya ccm.
 
Angalizo zuri na sahihi. Jibu lake hafai hata sekunde moja. Hakubariki, system zote zinamshangaa zina muona vile anajiundia kitu haramu.

Automatically amejifuta na zimemfuta. Hapiti hata round one.
 
Mfumo wowote una wafaidika huyu ni mmojawapo kwakua yeye anashiba mpaka anavimbiwa hawezi kuwaza vingnevo. Mi Africa ni mijitu mibinafsi sana tu..
Mtu ataandika weeee kumbe sio yeye ni tumbo linaandika!! Maweee ee!!!
 
Uongozi ni katiba, yeyeto tu mwenye akili timamu anaweza kuwa kiongozi,Kama wameweza wengine kwann wengine wasiweze.

Sio kazi ngumu Kama nia yako ni kutumikia watu ni mgumu Kama nia yako ni kuumiza na kupambana na watu.
 
Ni hivi, Magufuli hawezi ushindani wa kisiasa na hatakaa aweze. Hizi nyimbo zenu ni baada ya kujua Magufuli hataweza kushindana na Lissu kwa hoja, hivyo mnaanza kutengeneza mazingira ya Lisu kutokugombea. Kama nchi hii ingekuwa na hizo sifa za uhakiki, basi JK au Magufuli mwenyewe wasingekuwa marais wa nchi hii. Tunasema hivi, tunataka tume huru ya uchaguzi kwa amani, ili mshindi halali ndio atangazwe, tumechoka kuongozwa kwa shuruti na ccm.

Sasa hivi tunaomba waweke Tume Huru,hawana hoja wamebaki kudai Tume ni Huru huku wakifahamu fika wamejaza makada na wakereketwa wa chama au ni wananchama wao.Halafu unawaambia Watanzania kuwa wanaapishwa kutenda haki,hivi mechi ya Simba na Yanga unaweza kumweka Jerry Murro kuwa refa au Kaburu?

Kuna masuala nchi hii yanafanyika sifahamu ni kwa maslahi ya nani hasa?Polisi wanazuia wapinzani kufanya siasa wakati jukumu lao ni kutoa ulinzi halafu bado tunapongezana kwa sheria kukiukwa?Mambo ni mengi muda mfupi,ila watawala wasidhani kuwa Watanzania wataendelea kuwa wapole kama mwana kondoo wa sadaka/matambiko hadi milele?

Tuna nafasi nzuri ya kurekebisha nchi yetu kwa manufaa ya wote,tukaendelea na ujenzi wa Taifa kwa UMOJA wetu kwa kuruhusu michakato huru ya kupata viongozi,bila kujali ni kutoka chama gani,bora ni Mtanzania mwenye sifa aidha za Urais,Ubunge,Udiwani,Wenyeviti wa Vijiji/Vitongoji bila mizengwe.

Tanzania bila hujuma za kura inawezekana, serikali, vyama vya siasa na wadau wa uchaguzi wakae pamoja,waunde Tume ya Uchaguzi ya maridhiano ituvushe uchaguzi wa 2020, baada ya hapo turejelee mchakato wa Katiba Mpya ya Watanzania,tusonge mbele tukiwa na mshikamano aliotuasa Baba wa Taifa Mwl.J.K.Nyerere.Usanii wa kushinda chaguzi kwa kishindo huku tukifahamu kuwa tunaongopa ni DHAMBI ya mauti ambayo watawala wengi huwageuza mioyo yao kuwa migumu.

Hatutalipa kisasi,msiogope kushindwa kihalali,tutawaenzi kwa mazuri mliyotenda ila tuacheni wananchi wawe waamuzi wa viongozi wanaowapenda ili AMANI idumu,AMANI ni zao la HAKI na HAKI ni kama MAFUTA,ukiyatia kwenye maji yatazama lakini baadaye HUELEA na kujitenga na maji.Tenda wema uende zako,usilazimishe SHUKRANI,tutakukumbuka kwa.

Watanzania wenzangu,Maamuzi ni yetu.Tuchague kwa HEKIMA na tulinde kura zetu matokeo halali yapatikane kwenye ngazi zote za uongozi.Haki Huliinua Taifa,dhuluma Huangamiza.
 
Wakuu nawasalimu,
naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa raisi wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua.
hatuwezi kuongozwa na Raisi mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Hao ambao unawasema "hatuwezi kuongozwa na Raisi mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi" ni nani hasa, maana umeshasema "Lisu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku back down" sasa wanaobaki na kuunda system baada ya CCM kukubali ushindi wa Lisu ambao atakuwa amepewa na wananchi wengi waliomkubali, hao wanaobaki watakuwa nani, tuambie.

Au wewe binafsi na wajinga wenzako wachache mnajiona kama "system" katika nchi hii?

Unaona usivyo na uwezo wa kufikiri kabla ya kuandika?
 
kwa maslah hayohayo ya taifa lisu hawezi kua raisi hata kwa siku1
ndio ccm ilishindwa kumnunua ila mabeberu waliweza tena kwa kujipeleka mwenyewe sokoni..
ni vile tuu taasisi ya uraisi imeshuka heshma miongoni mwetu lakini trust me haijashuka heshma kwe mfumo hata chembe
Shida ya mada za wasio jielewa unapoteza hata appetite ya lunch kwani ni kama umeona kitu kichafu cha kinyaa. Hii thread yahusika
 
Unaijua vizur N A M?
nikwamba huu uzi umewazidi akili au?
Kwanza Nyerere hakujua kwamba kuna N. A. M???

Aliyeanzisha huo msimamo wa Non Alignment Movement ni nani kama sio Nyerere? Na aliyesitisha mahusiano na Morroco ni nani kama sio Nyerere???

Lumumba mtataga mwaka huu na propaganda zenu uchwara
 
Kwani officers sio kikundi? Ni kwanini wasiwe wazi tuwajue na mienendo yao, kama kweli wako kwa maslahi ya taifa hili? Hicho kikundi ni kikundi cha wahuni wachache, waliopo kwa maslahi ya ccm. Slaa hakushinda, tunaamini vipi wakati unasema baraka zinatoka kwa hicho kikundi? Na kwa haraka haraka hicho kikundi ni cha wanaccm. Iko siku mtaiingiza hii nchi kwenye machafuko, kwa kuwa na kikundi kinachoagiza chaguzi za nchi zinajisiwe kwa maslahi ya ccm.
embu kasome sheria(na marekebisho yake) ilokianzisha hicho kikundi kama unavokiita

tusichoshane
 
Acha vitisho vya kijinga boss.
Kitisho kikowapi apo?
Kwani huijui nani alaiment muvumenti?
okee sasa ukiisoma isome na sera mpya ya diplomasia ya uchumi
 
Back
Top Bottom