to be honest sioni ukabila tanzania hata udicteta piaWw kama ww utauonaje wakati unakupa maisha? Kwa taarifa yako hata Iddy Amin pamoja na mauaji yote aliyoyafanya, alikuwa na wapambe kama ww ambao waliona kuwa alikuwa sawa, na walikuwa wanasema kabisa kuwa ananyoosha nchi.
Uraisii mtu lazima afanyiwe vetting ya nguvu awe CCM au Upinzani .Sababu kugombea Ni kutaka vyombo vya dola viwe chini yake .Haviwezi kukubali kuwa chini ya mtu ambaye vetting ripoti yake mbaya .Vitaiba au kukimbia hata na masanduku ya kura au kumtangaza wanayemuona anafaa hata Kama hakushinda
Lisu vetting report yake ya vyombo vya dola bila Shaka hahitaji kuambiwa anaijua vizuri
Ilikuwa sawa, na matokeo yanayo shikika (tangible) tumeyaona.Kwa hiyo ripoti ya makinikia wewe umeona ilikuwa sawa? Pole sana
Sema umechoka wewe siyo tumechoka!! Acha kutusemea wewe bwana mdogo!
Wewe ni mnufaika wa udikiteta uchwarazito anamajibu
usipo ridhika nae mtafute C A G
Unamsemea mkeo?? Acha unyanyasaji wa kijinsia wewe!!Tumechoka mimi na mke wangu, ndio maana nimetumia wingi. Au ulitakaje labda?
Walio mshambulia Lisu ndo wazalendoWakuu nawasalimu,
naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa raisi wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua.
hatuwezi kuongozwa na Raisi mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Raisi huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Najua topiki uliyoleta hapa itakutana na warusha kokoto wengi sana. Sijasoma huko nyuma kama umeshapata kokoto ngapi, labda kama manati yao yamelegea kwa sasa, lakini watarudi tu.hii posti yako imenilenga mimi?
Bila shaka unajua hakuna shujaa alie hai
shkamoo mzee wangu
CCM hakuna msafi wote wana madhambi yao na ndicho kilimpelekea mtukufu kuipiga marufuku mikutano ya siasa akihofia madhaifu yao kuaniwa hadharani kweupeKatika watu ambao CCM hawataki kabisa itokee kuwa ndiye mtu atakayeaminiwa kuwa mpeperusha bendera wa CDM ktk kinyang'anyiro cha nafasi ya uraisi, basi mtu huyu ni Tundu Lissu. Wanajaribu kufanya kila lile wawezalo ili jambo hilo lisitokee.
Hofu kubwa yao juu yake inaotokana na ujengaji mkubwa wa hoja, uadilifu na weledi wake, uelewa wake mpana wa mambo wa kitaifa na kimataifa, kuaminika na kuuzika kirahisi mbele ya umma wa Watanzania, uzalendo wa kweli usiokuwa na shaka yoyote ile, kutokuwa na kashfa yoyote ile ya wizi wa mali za umma ama ufisadi. Huyu ni "charismatic leader". Vitu ambavyo anampita kwa mbali sana mgombea wao.
Rubbish, Magufuli anafanya nini ambacho Kingwendu hawezi kukifanya?Wakuu nawasalimu,
naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa raisi wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua.
hatuwezi kuongozwa na Raisi mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Raisi huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
ujinga na maradhi yako hayajaletwa na serkaliUjinga wa namna hii ndio chanzo kikuu cha umasikini na maradhi yetu!! Huoni kuna haja ya hivyo vyombo kuweka hadharani maoni yao huu ya Lissu ili aondolewe???
Kwa kuwa haujui hili, ngoja nikufahamishe. Katiba ndio inaweza kueleza nani asigombee cheo gani kwa sababu zipi. Kama unasema vyombo vya usalama havimtaki na vinaweza kuasi, hilo ni jambo lingine. Ndio maana wakuu wa vyombo hivo au huondolewa au kuendelea baada ya kiongozi mpya kuingia. Anayekuwa madarakani ndio anatoa mwelekeo wa namna gani vyombo hivo vitafanya kazi. Mawaziri na wakuu wengine huondoshwa au kubadilishwa.
Unachothibitisha hapa bila kufahamu, ni kuwa vyombo vya usalama vinahusika na kutaka kumwondoa Lissu kwa kuwa havimkubali??? Viliamrishwa??
Una haki ya kumchukia Lissu na hata kutomchagua. Hauna haki ya kumnyang’anya haki zake za kiraia isipokuwa kama atakuwa amehukumiwa na mahakama au hakidhi vigezo vya nafasi anazoziomba.
Haki hujenga taifa!!
sawa subirini uchaguziAkichaguliwa na watanzania ujue kuwa anafaa kuwa Rais, nchi yenye zaidi ya wananchi milioni 50 hawezi wakamchagua Lissu halafu kichwa kimoja tu, ndicho kikajiona kuwa kina akili kwa kumuona Lissu hafai kuwa Rais kuzidi mamilioni ya watanzania waliomchagua Lissu.
usipate shida mzee wangu nnawamudu hawaNajua topiki uliyoleta hapa itakutana na warusha kokoto wengi sana. Sijasoma huko nyuma kama umeshapata kokoto ngapi, labda kama manati yao yamelegea kwa sasa, lakini watarudi tu.
Raisi wa taifa huandaliwa na nani? Systeme ipi haiwezi kumkubali? Kama hayo ulosema yapo kwa nini msiwaandae mapema na systeme imkubali mapema kuliko kuwaacha watu wakapoteza gharama zao mwisho wa siku akishinda hamumpi madaraka?Wakuu nawasalimu,
naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa raisi wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua.
hatuwezi kuongozwa na Raisi mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Raisi huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Fafanua taasisi ya urais imeshuka aje?na ni nani kaishusha?Kwa maslahi hayohayo ya taifa, Lissu hawezi kuwa rais hata kwa siku1
Ndio CCM ilishindwa kumnunua ila mabeberu waliweza tena kwa kujipeleka mwenyewe sokoni..
Ni vile tuu taasisi ya urais imeshuka heshma miongoni mwetu lakini trust me haijashuka heshma kwe mfumo hata chembe.