Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukweli mchungu kwa wafuasiLisu hakujiandaa Uraisi he is reckless hajali kukubalika na makundi yote ya wapiga kura vikiwemo vyombo vya dola Yeye huviponda anasahau kuwa vyombo vya dola Ni wadau muhimu moja Kama wapiga kura na familia zao na pili Kama Vetters!!
Nyalandu Yuko careful anapenda Watu wote wawe serikalini au vyombo vya dola sababu kura zao na familia zao anazitaka
Lisu ana makundi muhimu ambayo hataki kura zao wakati ndio washikao hatima yake ndani ya Chadema na nje ya chadema!!!
Unao huo ushahidi wa ccm kutaka kumnunua Lissu?Unaweza kuwa na hoja lakini hujatuwekea wazi udhaifu wa Lissu uko wapi? Mbona ni mzalendo tuu?
CCM wametaka kumnunua mara nyingi ili kumnyamzisha lakini alibaki kuwa mpinzani kwa maslahi mapana ya Taifa hili ili aliondolee ndwele ya maumivu ya CCM
Hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea,Wakuu nawasalimu,
Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua. Hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Hakuna anayefaa kuwa rais wa tzkama yuko nje ya ccm kama unabisha mtaje
Mi kwenye hizi siasa huwa sina chama lakini mara nyingi nasimama na anyeonewa.Lisu hajawahi kupanda ndege kwenda kuomba msaada kwa wazungu, bali alienda ulaya kwa ajili ya matibabu baada ya shambulio la kinyama. Lakini kwakuwa unaendeshwa na siasa za kipuuzi, ndio ukiona maneno humu jukwaani unaishia kuja kuyatapika, ili uonekane unaenda na fashion. Shubamiit.
Lisu mroho anawaomba wazungu pesa halafu akija Tanzania anataka Watu wamrushie tigo rusha kibaka mkubwaLisu hajawahi kupanda ndege kwenda kuomba msaada kwa wazungu, bali alienda ulaya kwa ajili ya matibabu baada ya shambulio la kinyama. Lakini kwakuwa unaendeshwa na siasa za kipuuzi, ndio ukiona maneno humu jukwaani unaishia kuja kuyatapika, ili uonekane unaenda na fashion. Shubamiit.
Lisu mroho anawaomba wazungu pesa halafu akija Tanzania anataka Watu wamrushie tigo rusha kibaka mkubwa
Hatakiwi kuomba pesa achangiwe anatakiwa asubiri uteuzi akiteuliwa Ndio Chama kiombe tigo rusha account ya chadema sio Simu binafsi ya Lisu au vibaka washirika wake
Lisu protocol Yuko zero kuomba tu ugombea akaomba Watu warushe pesa kwa wakala wake
Watia Nia Wenzie wanajielewa na wanaelewa taratibu za Chadema kasoro yeye
Baraza kuu chadema kuchuja majina angalieni pia obedience ya mgombea kwenye party protocols ni muhimu sababu Kuna methali isemayo anayekumulika na tochi mchana jua linawaka usiku atakuchoma
Lisu kwenye Chadema protocol yuko sifuri Yuko Kama mgombea binafsi ndani ya Chadema akiongea Mimi Mimi Mimi ziko nyingi mno as if yeye Ni self made kuwa chadema sio iliyomjenga!!!! Nyalandu Yuko different ana appreciate mchango wa Mbowe na Chadema kumfikisha alipo walau anaonyesha kuwa I am where I am today because of Mbowe and Chadema
Ushasema mwenye akili timamu mtu akidhapata ulemavu wa kiungo hupelekea kuwa na ulemavu wa akili kama alivo Lissu lijamaa ni psycho akwende tu kuwa rais wa wagonjwa kiroho Safi na tunampa baraka zote ila rais wa JMT Hapana kwa kweli mutafute vya kuchezea.Mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuwa rais ya nchi hii.
Ushasema mwenye akili timamu mtu akidhapata ulemavu wa kiungo hupelekea kuwa na ulemavu wa akili kama alivo Lissu lijamaa ni psycho akwende tu kuwa rais wa wagonjwa kiroho Safi na tunampa baraka zote ila rais wa JMT Hapana kwa kweli mutafute vya kuchezea.
Lisu hata wangekuja mabwana zenu kusimamia, angepigwa chini na magu.Ni hivi, Magufuli hawezi ushindani wa kisiasa na hatakaa aweze. Hizi nyimbo zenu ni baada ya kujua Magufuli hataweza kushindana na Lissu kwa hoja, hivyo mnaanza kutengeneza mazingira ya Lisu kutokugombea. Kama nchi hii ingekuwa na hizo sifa za uhakiki, basi JK au Magufuli mwenyewe wasingekuwa marais wa nchi hii.
Tunasema hivi, tunataka tume huru ya uchaguzi kwa amani, ili mshindi halali ndio atangazwe, tumechoka kuongozwa kwa shuruti na ccm.
Lisu hata wangekuja mabwana zenu kusimamia, angepigwa chini na magu.
Na nyinyi mlivyo, mtapewa tume mnayotaka, mtapigwa kwenye kura, mtatoa kisingizio, haijawai tokea since multipartism ianze bongo, upinzani kukubali kushindwa, so sababu zitatungwa tu to feed your egos
Wakuu nawasalimu,
Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua. Hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Wewe jamaa una akili sana kuliko binadamu wengiWakuu nawasalimu,
Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua. Hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Umekuwa mwalimu sasa si ndio acha izo nenda kwenye jukwaa la wahariri linakufaa sana hapa ukileta umama wako unapa za uso saaafi.Huu upuuzi kawapelekee wapuuzi wenzio wasiojua kuandika kwa ufasaha, ambao wanaweza kuelewa sentesi zisizo na koma, wala nukta.
Kwa maslahi mapana ya nchi BOX la kura is not essential, hata Marekani hawajawahi kulitegemea box la kura, huu ndiyo ukweli mchungu. Urais ni zaidi ya kushinda uchaguzi, hili nalo chunguUkweli ni kwamba ccm haina tena uwezo wa kushindana kwa njia ya box la kura. Hivyo vyombo vya dola vinavyoendesha vetting inaonekana ni wanaccm watupu, ndio maana vetting yao majibu ni lazima uwe mwanaccm. Hiyo ya kukimbia na mabox ya Kutana kunajisi chaguzi za nchi hii zimekuwa wazi sana chini ya awamu hii, kwahiyo inaonekana hayo ni maagizo ya hivyo vyombo vya dola. Ni hivi, mgombea wetu upinzani ni huyo huyo Lissu, hivyo vyombo vya dola vitake, visitake lakini habari ndio hiyo.
Msumari kwenye mfupa mkuu!Kwa maslahi mapana ya nchi BOX la kura is not essential, hata Marekani hawajawahi kulitegemea box la kura, huu ndiyo ukweli mchungu. Urais ni zaidi ya kushinda uchaguzi, hili nalo chungu