Ukweli mchungu: M/kiti CCM taifa wanachama wengi hawakupendi

Hapendwi tena??
Si tulikubaliana tunampenda,,eti Pep
Naomba hizi taarifa zipuuzwe.

Zimetoka kwa watu wenye nia ovu.

Tunampenda mwenyekiti wetu, anaupiga mwingi huku akiifungua nchi.

Vitu vinazidi kushuka bei kwa kasi. Pesa zimetujaa mifukoni.

Umeme unawaka hadi kwenye mbuga za wanyama.

Hatimaye Tanzania inaheshimika sasa nchi za nje huko.

Na magaidi wote tumewafunga, japo yanazungumzika haya.

Kusameheana kupo, hata kama watu wamefanya ugaidi
 
Mitano tena kwake
 

Unajilinganisha na Muingereza wewe MAGAZIJUTO…

Tupe uhusiano wa kukua kwa uchumi na inflantion kwa nchi yako yenye viwanda viwili vyakutengeneza juisi
 
Umetumwa umuombee msahaha Mbowe kwa stahili hii. Tutaona na kusikia mengi mwaka huu. Mara ohhh aachiwe, mara ohhh ana mawakili wazuri tu kesi iendelee. Kelele kibao na total confusion ndani ya Chadema. Komaa tu Mama yetu hadi gaidi ajulikane kwa hukumu halali ya mahakama.
 
Njaa iyo
 
Huu utafiti wako ni mzuri sana nimeupenda, ila badilisha ni mwenyekiti wa ccm wa kijiji chenu na sio taifa,huna uwezo huo.
 
Ulitaka kusema kuhusu mbowe tuu hakuna lingine
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Naheshimu mawazo yako ingawa sikubaliani nayo
 
Unajilinganisha na Muingereza wewe MAGAZIJUTO…

Tupe uhusiano wa kukua kwa uchumi na inflantion kwa nchi yako yenye viwanda viwili vyakutengeneza juisi
Nakwambia huna akili,hapo umeona nchi za Ulaya tuu? Hata kama ni za Ulaya inflation ni ile ile tena Bora huku ambako sehemu kubwa ya uchumi ni informal..

Hiyo ni topic ,Rudi darasani kusoma economics ndio utaelewa,huenda neno inflation linakuchanganya..

Narudia tena kukueleza inflation sio tatizo kuubwa kwenye uchumi na in fact ni kitu kizuri isipokuwa tuu ina erode welfare ya watu maskini but kama unafanya Kazi pesa Unapata wala sio shida..

Uchumi wa Uturuki unakua kwa 9% lakini inflation ni 40% 😝😝.
 
Unajilinganisha na Muingereza wewe MAGAZIJUTO…

Tupe uhusiano wa kukua kwa uchumi na inflantion kwa nchi yako yenye viwanda viwili vyakutengeneza juisi
Nakwambia huna akili,hapo umeona nchi za Ulaya tuu? Hata kama ni za Ulaya inflation ni ile ile tena Bora huku ambako sehemu kubwa ya uchumi ni informal..

Hiyo ni topic ,Rudi darasani kusoma economics ndio utaelewa,huenda neno inflation linakuchanganya..

Narudia tena kukueleza inflation sio tatizo kuubwa kwenye uchumi na in fact ni kitu kizuri isipokuwa tuu ina erode welfare ya watu maskini but kama unafanya Kazi pesa Unapata wala sio shida..

Uchumi wa Uturuki unakua kwa 9% lakini inflation ni 40% 😝😝.
 
Unajilinganisha na Muingereza wewe MAGAZIJUTO…

Tupe uhusiano wa kukua kwa uchumi na inflantion kwa nchi yako yenye viwanda viwili vyakutengeneza juisi
Nakwambia huna akili,hapo umeona nchi za Ulaya tuu? Hata kama ni za Ulaya inflation ni ile ile tena Bora huku ambako sehemu kubwa ya uchumi ni informal..

Hiyo ni topic ,Rudi darasani kusoma economics ndio utaelewa,huenda neno inflation linakuchanganya..

Narudia tena kukueleza inflation sio tatizo kuubwa kwenye uchumi na in fact ni kitu kizuri isipokuwa tuu ina erode welfare ya watu maskini but kama unafanya Kazi pesa Unapata wala sio shida..

Uchumi wa Uturuki unakua kwa 9% lakini inflation ni 40% 😝😝.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…