Ukweli mchungu: M/kiti CCM taifa wanachama wengi hawakupendi

Unajilinganisha na Muingereza wewe MAGAZIJUTO…

Tupe uhusiano wa kukua kwa uchumi na inflantion kwa nchi yako yenye viwanda viwili vyakutengeneza juisi
Nakwambia huna akili,hapo umeona nchi za Ulaya tuu? Hata kama ni za Ulaya inflation ni ile ile tena Bora huku ambako sehemu kubwa ya uchumi ni informal..

Hiyo ni topic ,Rudi darasani kusoma economics ndio utaelewa,huenda neno inflation linakuchanganya..

Narudia tena kukueleza inflation sio tatizo kuubwa kwenye uchumi na in fact ni kitu kizuri isipokuwa tuu ina erode welfare ya watu maskini but kama unafanya Kazi pesa Unapata wala sio shida..

Uchumi wa Uturuki unakua kwa 9% lakini inflation ni 40% 😝😝.
 
Unajilinganisha na Muingereza wewe MAGAZIJUTO…

Tupe uhusiano wa kukua kwa uchumi na inflantion kwa nchi yako yenye viwanda viwili vyakutengeneza juisi
Nakwambia huna akili,hapo umeona nchi za Ulaya tuu? Hata kama ni za Ulaya inflation ni ile ile tena Bora huku ambako sehemu kubwa ya uchumi ni informal..

Hiyo ni topic ,Rudi darasani kusoma economics ndio utaelewa,huenda neno inflation linakuchanganya..

Narudia tena kukueleza inflation sio tatizo kuubwa kwenye uchumi na in fact ni kitu kizuri isipokuwa tuu ina erode welfare ya watu maskini but kama unafanya Kazi pesa Unapata wala sio shida..

Uchumi wa Uturuki unakua kwa 9% lakini inflation ni 40% 😝😝.
 

umeanza vizuri nikawa nakusoma nilipofika namba 2 shauriana na dpp kuondoa kesi ya mbowe nikajua kumbe kumbe huyu chaggadema. nimekudharau
 
Wanachama wa wapi hao? Leo wamepitisha jina la Spika pendekezo la Mwenyekiti na atachaguliwa sijui wewe unawazungumzia wanachama wa nyumba yako labda

 
umeanza vizuri nikawa nakusoma nilipofika namba 2 shauriana na dpp kuondoa kesi ya mbowe nikajua kumbe kumbe huyu chaggadema. nimekudharau
We Baki na itikadi zako wenzako wanakula keki ya taifa... Sis tunakupigania wewe na uzao wako
 
Hays mausomi yenu ndo yanatuharibia nchi fanyeni yoote mwishoe wananchi tunataka matokeo
 
Mie nimemuona mbowe ndo lilikuwa lengo lako.
Kwani ni wangapi wanaozushiwa kesi yaani wewe mahabusu ama magereza zote watu wamesingiziwa wamebaka ama wamewekewa bangi mfukoni,marisasi wamekamatishwa umemuona mbowe tu mkuu.
Na hao wengine kumbukaa wanaoza Kama mbowe atakavyooza aama Kama sie Mana hatuwezi jua idadi za hair yetu
So Kama unapenda haki usiwe biased
 
Ni meseji makini kwa rais wetu., Alianza vizuri lkn sasa imekuwa shida nami naamini huo sio moyo wa rais wetu ila kuna watu wako bize kumpotisha kiongozi wetu kwa maslahi yao.. Mama tafadhari rudi nyuma ulikoanzia zile siku mia moja., pale uliupiga mwingi..muda bado upo sana..
 
Hao wengine taja wewe!!

Narudia ten soma vizurivuelewe
 
Alishauriwa eti Ili ashinde kilaini 2025 kwanza amfunge mbowe. Na chadema ife,
Alafu eti Wawanunue ACT ambao ni yesman ndo washiriki kuhalalisha uchaguzi 2025 mama Apite kwa ulaini. Waendelee kuitafuna nchi

ACT ni Ccm B wakinunuliwa ni mchongo ni hela za zito na washkaji zake wakina Makamba, watu wana mbinu za kutoboa kimaisha Huku mbowe anadidimia kama kweli mbowe anaonewa ni dhambi kubwa sana sijui kesho wanaenda kujibu nini kwa Mwenyezi Mungu sijui wana sali kitu gani
 
Saikologisti 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…