Ukweli mchungu: Mwanaume anayejitegemea na mwenye vijihela vya kubadilisha mboga hawezi kuachwa na mwanamke

Ukweli mchungu: Mwanaume anayejitegemea na mwenye vijihela vya kubadilisha mboga hawezi kuachwa na mwanamke

Sa mwanaume uliekamilika unaogopa kuachwa what a fc.k bruh!!,ogopa kugongewa maana ni zaidi ya kudharaulika,anyway kama unaogopa kuachwa tafuta pesa
Ndio alichomaanisha mtoa mada. Ukitaka usiachwe tafuta pesa. Kugongewa hakuna formula, mwanamke hata umgonge vizuri anavotaka yeye anaweza akagongwa na MTU mwingine kisa star mtaani, kazini au popote pale. Anaweza akagongwa kisa tuu amesikia rafiki zake wanamuongelea vzr mwanaume mwingine. Huwezi control kugongewa ila unaweza control kutoachwa.
 
Wanawake wapo wengi tu,

Shida ni kumpata unae mtaka.
Hivi mleta mada unaelewa ugumu wake ?

Umewahi kupenda mwanamke ambae yupo kwenye mahusiano, ukatamani umpate wewe kwani wewe ndie sahihi kwake ??
Mpaka apitie iyo hali ndio ataelewa.
 
Mkuu umenena kabisa wanaokuja kukupinga wakupinge , kuna dem namtafuna mwaka na nusu sasa sababu ya uzembe wa jamaa yake kibrazamen wavaa soksi wale kazi yao ni kut...mb tu kuhudumia hawajui

Dem alikuwa anampenda jamaa hadi whatsapp anakuweka dip, ukiambiwa hamna mwanamke anayekaa sehem ya kupauka kubali aisee, yule dem skumoja nilitoka nae out tu nikamlambisha kuku , nikamleta hom kwangu akakuta kupo full, ndio mazima nikaanza kumla na kugaramia nagaramia hadi leo mwaka wa pili natafuna na heshima anayo ya kutosha na kile kibrazameni chake kinalialia hadi kesho

Jamani tafuteni hela
Sasa mkuu wewe huoni huyo manzi ni masikini wa kutupwa? Kisa kuku ndo umekua ukimla kwa miaka yote hio? Masikini wa dizaini hiyo atakuja kukuacha sababi kuna mtu ana vitu vya kukuzidi wewe
 
Wanaume wenzangu tafuteni pesa tengenezeni maisha yenu hakikisha kwa umri wako

Una gheto lako liko fresh Lina kila kitu

Lakini pia hela ya kubadilisha mboga haikupigi chenga

Nakuhakikishia hakuna mwanamke atayekuacha ukiona umeachwa ujue una tatizo
Kwahiyo unataka kusema nini kuhusu wanawake na hela..??
 
Hao vijana msingi kiuno,wanategemea vumbi kongo,alkasusu,panado+koka,na dawa zingine nyingi za kuongeza nguvu.baada ya miaka kadhaa watakua hawajiwezi kwa lolote
 
Back
Top Bottom