Ukweli mchungu: Mwanaume anayejitegemea na mwenye vijihela vya kubadilisha mboga hawezi kuachwa na mwanamke

Ukweli mchungu: Mwanaume anayejitegemea na mwenye vijihela vya kubadilisha mboga hawezi kuachwa na mwanamke

Wanawake wasio na vipato ndiyo hun'gan'gania wanaume wenye pesa.
depends. fact yako inaonekana unaenda kwa mwanaume because of pesa. hiyo ndio attaxment yako.. ukiwa nayo huendi.

wapo wanawake wana magari, lakin wamenasa kwa washkaji mbaya mbovu.
love ni game of sets, lazima uwe na more than one set inayo waunganisha.

otherwise tarajia failure
 
Wanawake wapo wengi tu,

Shida ni kumpata unae mtaka.
Hivi mleta mada unaelewa ugumu wake ?

Umewahi kupenda mwanamke ambae yupo kwenye mahusiano, ukatamani umpate wewe kwani wewe ndie sahihi kwake ??
Hahahah wewe unajuwaje kuwa ni sahihi kwake mzee au msukumo wa tamaa zako tu ndio unakuwa unakusumbua?
 
Tusidanganyane ukweli ukishindwa kumfikisha vyema hakika utagongewa hadi na waosha magari nakuapia kwa jina la kristo, mpe kitom heavy nakuakikishia atokuacha pesa wapo wenye pesa zao tena kumzid mwanaume so jitahid mambo ya chumbani ujue mwili wa mwanamke utendee haki
Hahaha usichokielewa ni kuwa kila mwanamke ana motive behind ya kuwa na mtu flani! The lucky guys ni wale ambao wamekamata nyoyo za warembo hao!

Huyu hata awe hajui kutia vizuri haachwi😅😅😅 hata amzingue vipi manz ataishia kulia lia na kuomba ushauri ila jioni yupo geto kwa mchizi anakula kipande
 
Mkuu umenena kabisa wanaokuja kukupinga wakupinge , kuna dem namtafuna mwaka na nusu sasa sababu ya uzembe wa jamaa yake kibrazamen wavaa soksi wale kazi yao ni kut...mb tu kuhudumia hawajui

Dem alikuwa anampenda jamaa hadi whatsapp anakuweka dip, ukiambiwa hamna mwanamke anayekaa sehem ya kupauka kubali aisee, yule dem skumoja nilitoka nae out tu nikamlambisha kuku , nikamleta hom kwangu akakuta kupo full, ndio mazima nikaanza kumla na kugaramia nagaramia hadi leo mwaka wa pili natafuna na heshima anayo ya kutosha na kile kibrazameni chake kinalialia hadi kesho

Jamani tafuteni hela
Utahudumia na mavuzi?😅😅😅 hela hawana ndio maana wanakula free
 
Hahaha usichokielewa ni kuwa kila mwanamke ana motive behind ya kuwa na mtu flani! The lucky guys ni wale ambao wamekamata nyoyo za warembo hao!

Huyu hata awe hajui kutia vizuri haachwi[emoji28][emoji28][emoji28] hata amzingue vipi manz ataishia kulia lia na kuomba ushauri ila jioni yupo geto kwa mchizi anakula kipande
Mimi mmoja wao
 
Ebu jifunzeni kuandika maneno yote kwenye sentensi. Mwanaume mwenye ela awezi kuachwa na mwanamke masikini na asiye jitambua.
 
Hela za mboga ndani ya chumba cha kupanga ndio usiachwe?????


Haupo serious Mkuu!!!!
 
Mkuu umenena kabisa wanaokuja kukupinga wakupinge , kuna dem namtafuna mwaka na nusu sasa sababu ya uzembe wa jamaa yake kibrazamen wavaa soksi wale kazi yao ni kut...mb tu kuhudumia hawajui

Dem alikuwa anampenda jamaa hadi whatsapp anakuweka dip, ukiambiwa hamna mwanamke anayekaa sehem ya kupauka kubali aisee, yule dem skumoja nilitoka nae out tu nikamlambisha kuku , nikamleta hom kwangu akakuta kupo full, ndio mazima nikaanza kumla na kugaramia nagaramia hadi leo mwaka wa pili natafuna na heshima anayo ya kutosha na kile kibrazameni chake kinalialia hadi kesho

Jamani tafuteni hela
Huyo ni Malaya....huwa na sababu nyingi.
 
Back
Top Bottom