LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Kwa sababu most of the time inakuwaga ni Mungu mwenyewe ndio anataka kumtoa mhusika kwenye maisha yenu.
Hata yule mtu wa kwenye biblia ambae siku zake za kufa zilikuwa zimefika ila akamuomba Mungu amuongezee miaka ya kuishi Mungu akamuongezea miaka 15 alifanya mambo mengi maovu ndani ya hiyo miaka 15 ya ziada kuliko miaka yake aliyo ishi.
Ishu hii haiwahusu ndugu tu bali pia jamaa, wenza( spouses) na watu wa karibu( ikiwemo viongozi)
Haihusu vifo tu bali na mambo mengine pia kama vile mahusiano n.k(kama kuna mtu yoyote yule anataka kuondoka kwenye maisha yako usijaribu kumshawishi au kumlazimisha abaki...muache aende. Haijalishi ni nani kwakk awe mpenzi,mwanandoa,rafiki, mtoto etc).
Case study:
Ina muhusu rafiki yangu wa utotoni.
Kwao wamezaliwa wanane. Wanaume watatu. Wanawake wa5. Wa kwanza kuzaliwa ni mwanamke wa pili mwanaume then wanafuatana wanawake halafu mwisho kabisa wanakuja wavulana wawili, rafiki yangu akiwa kitinda mimba.
Mwaka 1997
Kaka wa kwanza kwenye familia ambae ni mtoto wa pili kwenye familia akiwa anasoma udsm mwaka wa mwisho ( jina la kozi kapuni) aliugua nusu ya kufa.
Ilifikia hatua madaktari wakasema huyu arudishwe kwao tu akatibiwe kiswahili.
Personally nilikuwa darasa la Sita mwaka huo nakumbuka jinsi familia ya rafiki yangu ilivyo kuwa imetawaliwa na giza jeusi.
Majirani walikuwa wanasema huyu ni wa leo au wa kesho.
Itaendelea
Hata yule mtu wa kwenye biblia ambae siku zake za kufa zilikuwa zimefika ila akamuomba Mungu amuongezee miaka ya kuishi Mungu akamuongezea miaka 15 alifanya mambo mengi maovu ndani ya hiyo miaka 15 ya ziada kuliko miaka yake aliyo ishi.
Ishu hii haiwahusu ndugu tu bali pia jamaa, wenza( spouses) na watu wa karibu( ikiwemo viongozi)
Haihusu vifo tu bali na mambo mengine pia kama vile mahusiano n.k(kama kuna mtu yoyote yule anataka kuondoka kwenye maisha yako usijaribu kumshawishi au kumlazimisha abaki...muache aende. Haijalishi ni nani kwakk awe mpenzi,mwanandoa,rafiki, mtoto etc).
Case study:
Ina muhusu rafiki yangu wa utotoni.
Kwao wamezaliwa wanane. Wanaume watatu. Wanawake wa5. Wa kwanza kuzaliwa ni mwanamke wa pili mwanaume then wanafuatana wanawake halafu mwisho kabisa wanakuja wavulana wawili, rafiki yangu akiwa kitinda mimba.
Mwaka 1997
Kaka wa kwanza kwenye familia ambae ni mtoto wa pili kwenye familia akiwa anasoma udsm mwaka wa mwisho ( jina la kozi kapuni) aliugua nusu ya kufa.
Ilifikia hatua madaktari wakasema huyu arudishwe kwao tu akatibiwe kiswahili.
Personally nilikuwa darasa la Sita mwaka huo nakumbuka jinsi familia ya rafiki yangu ilivyo kuwa imetawaliwa na giza jeusi.
Majirani walikuwa wanasema huyu ni wa leo au wa kesho.
Itaendelea