UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Umeongea point kubwa sana
 
Ndio hawa hawa na wenzao kama CNN, DW ,Reuters , ABC ,NBC ,CNBC nk
Wako chini ya Illuminati ( khazaria Jews)
Hawa watu kwenye hizo media ni puppets Wanaotumika kupush narratives za agenda za Illuminati cabal .hivyo vyombo vya habari hasa nchi za magharibi viko compromised kitambo .
Watu wanatakiwa kuquestion vitu na kufuatilia taarifa kiundani , tatizo watu wanameza kila linalorushwa kutoka kwenye hivyo vyombo
 
Sawa mkuu ngoja niichimbue nipate kujua zaidi
 
Ndio hao hao juzi kati hapa waliandika kwamba Hamas wamechinja watoto 40
Kitu ambacho kilikuja kuthibitishwa kwamba uongo mtupu
Ndio hao hao waliandika kwamba Hamas wanajificha kwenye hospitali na kambi za wakimbizi na kutumia hiyo kama justification ya kushambulia makazi ya wakimbizi wa ndani yanayojulikana na UN na hospitali ,
Jana wameshambulia na kuingia kwenye hospitali ,cha ajabu wameshindwa kuonyesha hivyo vithibitisho vya kuwepo kwa maficho ya Hamas
Dunia hii ni zaidi ya watu wengi waijuavyo
 
Jinsi ulivyomjinga sasa nakuuliza swali dogo tu unazunguka zunguka
Nimekuuliza swali
Jibu kwanza swali then na wewe ndio uje na maswali nitakujibu
Usiponijibu hilo swali wewe ni mpotoshaji
 
Sawa mkuu ngoja niichimbue nipate kujua zaidi
Hao Anti defamation league viongozi kama akina Obama Tu walikipata cha moto , kiongozi yoyote au mtu yoyote anayecriticize jews au Israel , atachafuliwa kila angle na kuandamwa kiasi kwamba atajuta
Ndio hao hao wanaofanya media censorship
 
Sasa kwa poor level of understanding ya mtu kama huyu unafanya naye mjadala upi?

Mtu ambaye hajui vitu vidogo tu kwamba Peter na Petro ni jina moja hivi mtu kama huyu mnadiscuss naye kitu gani?

Siku ukiambiwa Bill Clinton jina lake ni William nadhani utabishana mpaka asubuhi, au ukiambiwa Bob ni Robert ndio hutaelewa kabisa.

JF imejaa watu wa hovyo sana.
 
Tatizo la mswahili daima hajui kukemea kitu chochote, kwenye mabaya mjifunze kukemea pia sio kutetea kila kitu hata kama inakuuma au unapotezea tu
Unakuta mkurugenzi kapiga billions halafu jitu linasema hata mimi nisingeziacha unakuta ana watoto wanauza chupa za maji hapo
 
Hakuna Shetani wala Mungu.

Dini zote ni siasa za watu tu.

Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyeweza ku prove uwepo wa Mungu.

Na kama kuna mtu anabisha, nampa nafasi a prove Mungu yupo.
najua dini ni siasa mkuu.

we unaamini katika nn mkuu?
 
Matola vita yake ipoje hapo maana siku za karibuni Papa kamtimua kiongozi mmoja wa kanisa kutokana na kutokubaliana na Sera za kanisa hapo Illuminati wanaingiaje na Papa nimemsikia akiongea yeye mwenyewe kuhusu hizo mambo ya Ushoga...
Kutofautiana na Sera za hakukuanza leo, ni tangu mwaka 500 na kitu na ndio chanzo cha Orthodox kuwa na Papa wao na kujitenga na Roman Catholic na moja ya sababu kubwa ya kanisa katoliki la Mashariki ( Orthodox) kujitenga na kanisa katoliki la Magharibi (Roman Catholic) lilikuwa ni matumizi ya sanamu pamoja na kupinga swala la Roma Locuta, Causa Finita Est.

Je mkuu ulimpomsikia Papa akiongelea ushoga ulimsikia akiongea kwa lugha gani? Kilatini? Kireno? Kitaliano? Kingereza, Kijerumani au kwa lugha gani?
 
Nilishaamua kuswali kanisa la moyoni kwangu muda mrefu, kanisa langu ni pale nilipo ninapoweza kuswali bila kubughudhiwa na sio ktk jengo au halaiki ya watu, kama nakosea nitajua siku ya mwisho na Mungu wangu.
 
Ina maana taarifa zilizotolewa ni za uongo? Na kama ni za uongo kwanini hao BBC wasishtakiwe na kuwajibishwa kwa kupotosha ulimwengu ukizingatia hatua ya kimaendeleo iliyopo huku dunia ya kwanza?
Huu ni mtazamo mzuri sana.
 
Ina maana hiyo askofu wa Tyre hajui kilatini? Nafkiri kuna usasa na ukale ndani ya kanisa. Na hii inshu ilianza muda ikapamba wakati wa papa aliyestaafu yule. Yakamshinda akaona akajifie mbele lakini ndani ya kanisa katoriki kama vile kuna vuguvugu kubwa kwa miaka sasa na linachagizwa na ukanda, usasa na ukale wa kimtazamo.
 
Ona jinga kama hili, hata ulielimishe vipi baadaye litahoji Ibrahim siyo Abraham.
 
Kuna hatua gani au mchakato gani ndani ya watu wanaomfata kristo ili waitwe wateule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…