Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Wasabato ni kikundi cha wajinga Fulani afadhali waislamu wana nafuu, refer Wasabato masalia kutoka kupanda ndege kwenda ulaya bila viza, passport wala ticket, hawa ndio vichaa kabisa.Kwaiyo wewe ndo unajua leo mbona sisi wasabato tunajua kabisa kuwa papa ndo mpinga Kristo na ndo Mungu atakaetakiwa kuabudiwa na ulimwengu kwa lazima.
Ukisikia uchizi ndio huu sasa, Injili ni kitabu cha nani?Sisi hatujaikariri Qur'an pekee, tunamini Katika vitabu vingine kuanzia TAURATI, ZABURI, NA INJILI.
b
Biblia ni mpango shetani Katika kuupotosha ulimwengu
That's a big f*cking liewala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa
ilikuwa muhimu sana kujiuliza ni kwanini Paulo alisisitiza watu wanene kwa lugha, na akataka wawepo watafasiri. sheteni amewawekea upofu hapo tu, kawapiga chenga muamini kwamba kama mtafasiri hatakuwepo, hakuna kunena kwa lugha, na mmesahau kuwa kunena tunakosema sio kule mbele za watu tu, hata ukiwa chumbani kwako ukiwa unaomba unatakiwa kunena na kuomba kwa akili pia, kwasababu unapoomba unaongea na Mungu moja kwa moja, unapotumia akili yako mara nyingi unaomba kwa tamaa za mwili wako tu na mahitaji ya kidunia, ila Roho Mtakatifu akiwa anakusaidia kuomba yeye ni Mungu anajua yaliyopita na ya baadaye, anajua yepi ni mapenzi ya Mungu kwako unatakiwa kuomba. Paulo aliongea hivyo kwa waongofu wapya, kwasababu ilifika mahali kila mtu akawa ananena tu hawahubiri. watu wanaingia kanisani, wananena hadi mwisho wanaondoka wakiamini kuwa wameshaongea na Mungu inatosha, ndio sababu aliwaagiza sasa pamoja na kunena, wawe wanahutubu pia kwa faida ya wale wasionena. LAKINI HAKUKATAZA KWAMBA WATU WASINENE.Paulo alionya kuhusu kuwapo wanaonena kwa roho bila kutafsiri.
Mtu akinena kwa roho na atafsiri au awepo mtafsiri.
Ukiangalia walokole wengi wanaonena kwa roho hawajui hata wanasema nini.
hata kwenye kundi la wanaonena kwa roho hukuti hata mmoja anaetafsiri.
Angalieni msije mkawa mnapagawa na pepo na kunena maneno ya kufuru kwa mwenyezi Mungu.
Shetani ni mjanja sana
Tell me how ..Ukisikia uchizi ndio huu sasa, Injili ni kitabu cha nani?
Prove kwamba Mungu hayupo angalau kwa kuumba tu sisimizi.Hakuna Shetani wala Mungu.
Dini zote ni siasa za watu tu.
Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyeweza ku prove uwepo wa Mungu.
Na kama kuna mtu anabisha, nampa nafasi a prove Mungu yupo.
Jibu swali ili nikujibu swali lako. Maana swali lako jibu lake lipo kwenye injili.Tell me how ..
" Wine become blood of christ"
Na huu pia ni uchizi wa kiwango cha PHd
Brother hujui kitu.Wajinga wengi akiwemo wewe wanadhani mpinga Kristo atakuja hakuna kitu kama hicho, nyinyi na wala Jews hamna tofauti mnaomsubili Masiah kwamba hajazaliwa wakiamini Masiah ni mfalme wa Wayahudi atakuja na Jeshi kubwa kutawala. Jews nao ni wajinga tu kama Wasabato na ndio maana wote mmeishika Sabato wakati Yesu ndio Sabato yenyewe.
Kwa kifupi Wasabato siyo Wakristo.
Waulize wakristo wenzio dhehebu la wasabato watakuambia INJILI ni kitabu cha naniUkisikia uchizi ndio huu sasa, Injili ni kitabu cha nani?
Huyu mwanamke Hellen G White si founder wa kanisa la Sabato?Brother hujui kitu.
Ni watu kama nyie ndo mnaosambaza false news, hamna kitu ulichiandika hapo ambacho ni cha kweli.
Cha kukushauri tuu brother, ukitaka kujua kuhusu dini flani, nenda kweny mwongozo wa hio dini, usiwe unatumia maneno unayosikia kwa watu or maybe umekutana na msabato asiyejitambua akashindwa kujielezea vizur ndo ukafanya kuwa ndo msingi wa imani yako kuhusu dhehebu la kisabato.
ukitaka kufahamu kuhusu ukatoliki nenda kweny muongozo wa kanisa, ukitaka kujua kuhusu Lutheran nenda kweny muongozo wa kanisa na ukitaka kujua kuhusu kanisa la SDA nenda kweny muongozo wa kanisa.
usiwe kama huna akili ndugu yangu.
Unarukaruka tu kama Bata bukini, wewe si unaamini Taurati, zaburi na injili? Jibu sasa Injili ni kitabu cha nani?Waulize wakristo wenzio dhehebu la wasabato watakuambia INJILI ni kitabu cha nani
Itakuwa ni ngumu saba,kwa sababu papa ni sehemu ya mwili kanisa.Hilo ndilo Jambo muhimu na thabiti hatuishi kwa ajili ya papa Bali kwa KRISTU mfufuka aliye hai
Helen G White sio founder wa SDA, umeona hizi false news unazosambaza.Huyu mwanamke Hellen G White si founder wa kanisa la Sabato?
Kuna jambo lipi lisiloeleweka? Labda wewe ndio hujui, umezaliwa msabato umerithi imani kaa Kitako kwa kutulia siyo kosa lako.
Wewe hujui kinachotokea ktk kanisa letu?Hii ni vita kati ya Illuminati na Jesuits na haikuanza leo.
BBC ni kama media tu inayotumika kupigana vita hii kueneza propaganda za Illuminati na kupotosha kauli za Papa.
Wajinga wengi mtaingizwa mkenge sana na BBC wakati kanisa lao church of England (Anglican) limehalalisha ndoa za jinsia moja hawana ugomvi nalo, sasa mgomvi wao ni Vatican ambayo IPO against na Illuminati.
Ingekuwa unaijuwa historia ya kanisa basi sasa hivi kanisa ndio limepoa.Ina maana hiyo askofu wa Tyre hajui kilatini? Nafkiri kuna usasa na ukale ndani ya kanisa. Na hii inshu ilianza muda ikapamba wakati wa papa aliyestaafu yule. Yakamshinda akaona akajifie mbele lakini ndani ya kanisa katoriki kama vile kuna vuguvugu kubwa kwa miaka sasa na linachagizwa na ukanda, usasa na ukale wa kimtazamo.
MBona wewe ndio unaonekana una matatizo makubwa sana. Kufuatilia imani ya watu huku ukikariri kiarabu unaona ndio ujanja😀Hii Dini ni ya kishetani, waabudu masanamu ya yesu kristo wanamdhalilisha na misaraba yao uchwara. Dini imejaa uzinzi kwa waumini na viongozi wote wa kanisa kuanzia mapadri hadi masister.
Hii Dini ni watumishi wa shetani ( rejea kwenye movie ya THE NUN). Dini inahamasisha ushoga , kumuabudu Mungu mtu anayeitwa PAPA francis. Ibada zao hazina tofauti na ma illuminati.
Nashangaa bado zinaendelea Kuwa na waumini wanamatatizo GANI au ndio Madhara ya kukaririshwa mistari uchwara ya biblia
Kanuni ya kumsahihisha mtu, unamwambia mtu anasema kitu ambacho si kweli, ni wajibu wako kusema ukweli ni upi, siyo kuhororoja tu.Brother hujui kitu.
Ni watu kama nyie ndo mnaosambaza false news, hamna kitu ulichiandika hapo ambacho ni cha kweli.
Cha kukushauri tuu brother, ukitaka kujua kuhusu dini flani, nenda kweny mwongozo wa hio dini, usiwe unatumia maneno unayosikia kwa watu or maybe umekutana na msabato asiyejitambua akashindwa kujielezea vizur ndo ukafanya kuwa ndo msingi wa imani yako kuhusu dhehebu la kisabato.
ukitaka kufahamu kuhusu ukatoliki nenda kweny muongozo wa kanisa la katoliki, ukitaka kujua kuhusu Lutheran nenda kweny muongozo wa kanisa la lutheran na ukitaka kujua kuhusu kanisa la SDA nenda kweny muongozo wa kanisa la SDA.
usiwe kama huna akili ndugu yangu.