UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Nani wa kuwashitaki?
Hakuna sheria inayosimamia upotoshaji wa habari wakachukuliwa hatua?
 
Matola vita yake ipoje hapo maana siku za karibuni Papa kamtimua kiongozi mmoja wa kanisa kutokana na kutokubaliana na Sera za kanisa hapo Illuminati wanaingiaje na Papa nimemsikia akiongea yeye mwenyewe kuhusu hizo mambo ya Ushoga...
 
Watu mmeamua kufirana kupindukia akaona aruhusu tu sasa atafanyaje kama kila mtu ni mfiraji? Labda wenzangu Waislamu mnihakikishie hakuna hata mmoja wenu firauni
 
M
Msimamo rasmi wa kanisa ni ule uliosainiwa na papa mwenyewe baada ya ile kamati kuandaa; kuwa ushoga ni dhambi.

Yale aliyosema papa baadae wakati akihojiwa ni maoni yake sio msimamo wa kanisa ila sema katika baadhi ya majimbo ya ulaya kuna baadhi ya maaskofu na mapadri wanaweza kuanza kubariki watu wa jinsia moja wakijua kwamba hawatakemewa na Vatican. Lakini majimbo mengi tu duniani hayatakaribisha upuuzi huo wa ushoga. Na pia hakuwezi kutolewa waraka rasmi kutoka Vatican kuelezea au kulainisha kuhusu ushoga.
 
Makala yako ni ya C&P then ukafanya translation tu. Soma tena uone kama unaweza kuelewa
 
Ungejua tu Mchakato unaotumika kumpata PAPA ungeshangaaa.

Hilo Jina tu mpka lipenye uitwe PAPA kiruuuuu... We kausha tu mwanangu hayo unayoandika gongea tu mihuri.
 
Nieleweshe basi badala ya kunitukana. Maria ni nani ?

Mimi ni mjinga ndio maana nauliza ili nipate kueleweshwa.

Matusi yako nimeyapokea.
Wewe ni muungwana maana umechuntama umegundua umevuliwa nguo, sasa Maria ni Mary,

Uliza swali lingine
 
Baadhi ya wasabato wanashupalia sana ukatoliki na mambo yake.
 
Hapana, si kweli.
Baba Mt.anafanya yake kwa wakati wake na ndio wito wake kwa wahitaji na waliotengwa na dunia..
 
Wewe ni muungwana maana umechuntama umegundua umevuliwa nguo, sasa Maria ni Mary,

Uliza swali lingine
Huyo Mary ni Maria au Mariam.

Biblia ya Kiswahili inamtaja Mariam Wakatoriki wanamtaja Maria.

Hivi Maria ni Lugha gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…