UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Nimekwambia Maria ni Mary,
Mbona Biblia za Kiswahili zote zinataja kwa jina la Mariamu ?

Maria ameandikwa katika Biblia ipi ?

Mathayo (Mat) 1:16
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.

Au jina Mariamu na Maria ni moja.
Kama ndivyo kwanini asitajwe Mariamu Kama Biblia inavyo tamka?
 
Huyo Mary ni Maria au Mariam.

Biblia ya Kiswahili inamtaja Mariam Wakatoriki wanamtaja Maria.

Hivi Maria ni Lugha gani ?
Maria ni Mary na Mary ni Maria
Maria na Mariam hazina utofauti ni ubongo wako tu unashindwa kuelewa au ulimaanisha "Surat 'Mary'-am"
 
Ushawahi kupakwa Mafuta?
 
Kale kazee inabidi kapimwe kwanza kwa kile kipimo cha vidole viwili nina wasi wasi na yeye ni wale wale akina "delicious" kwa sababu anawatetea Sana yawezekana ni mmoja wao, alafu eti wanamuita "baba mtakatifu" hovyo kabisa katoliki
 
Kale kazee inabidi kapimwe kwanza kwa kile kipimo cha vidole viwili nina wasi wasi na yeye ni wale wale akina "delicious" kwa sababu anawatetea Sana yawezekana ni mmoja wao, alafu eti wanamuita "baba mtakatifu" hovyo kabisa katoliki
Unamaanisha anashikishwa ukuta?
 
Maria ni Mary na Mary ni Maria
Maria na Mariam hazina utofauti ni ubongo wako tu unashindwa kuelewa au ulimaanisha "Surat 'Mary'-am"
No no no.
Mariamu na Maria ni majina mawili tofauti kabisa.

Hakuna Aya katika Injiri ya Kiswahili inavyo taja jina la Maria.

Qurani inamtaja Kama Maryamu kwakuwa Ina lafudhi ya Kiarabu labda. na inasound kama Mariamu na sio Maria.

Biblia hasa Injiri haina jina la Maria kabisa.
Kama lipo niwekee hiyo Aya.

Dada wa Musa aliitwa Miriamu je na yeye ni Maria pia?

Who is Maria ?

Mathayo (Mat) 1:18
Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. [emoji117]Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
 
Unachosema ni kweli kuhusu propaganda za bbc na washirika wake lakini haiondoi ukweli kuwa Kuna mapungufu mengi juu ya viongozi ndani ya kanisa
Sidhani kama hakuna sehemu pasipokuwa na mapungufu kwa sababu kote kuna binadamu siku nyingine uje utueleze mapungufu yaliyopo sabato,lutherani ,pentenkoste,anglikana nknk
 
Umeandika ushuzi baridi. Lengo lako tuache ukristo !!?
uelewa wako ni finyu sana
 
"Aliyezaa na bibi yake kahaba mwenye miaka 15. " Logically kuna uongo hapa.
Hili ni tatizo litokanalo na lateral translation ya toka lugha ya muandishi makala kuja kwenye kiswahili.
Mara nyingi hujitokeza unapotumia software kama Google translator kufanya tafsiri.
 
Usiseme uongo, ni dhambi. Hakuna hata mara moja RC wakamuabudu mtu. Kuhusu Roho Mtakatifu, RC inaamini kuwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume lilianza siku ya Pentekoste. Kwa hiyo usilazimishe kuaminika kwa uongo ili uhalalishe uasi wako kwa maslahi yako. Ili kuikiri imani ya Kanisa Katoliki, ni lazima kutamka "Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Bwana na mleta uzima: atokaye kwa Baba na Mwana. Anayeabudiwa na kutukuzwa, pamoja na Baba na Mwana: aliyenena kwa vinywa vya manabii."
 
Safi kabisa ,na ndio founder na conspirator mkubwa aliyefandhili na kumastermind uanzishwaji wa taifa feki la Satanists (Israel)
Ndio uzao wa wale reptilians ambao David Icke alikuwa anawaongelea ,(khazarian mafioso)
 
Huyo Rothchild na genge lake la khazar ndio mbegu halisi ya ibilisi ,
Utasikia choko limoja maamuma linaropoka " Israel Taifa teule "
Hamna kitu kibaya kama kuwa brainwashed halafu husomi vitu na kuchimbua kiundani historia halisi ya huu ulimwengu
 
Maria anaabudiwa, na mnaomba kupitia Maria.

Yn 14:13-14​

Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.

Yesu alipoongea hayo, Maria pia alikuwepo, ila hakusema ombeni kwa jina la huyo mama, akasema ombeni kwa Jina langu ndio mtapata. kanisa lilianza siku ya pentecost baada ya mitume na wale waliokuwa upper room kujazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha. baada ya hapo, kila walikotawanyika wakihubiri, walikuwa wanaweka mikono juu ya walioukubali ukristo nao wanajazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha. umuhimu wa kunena kwa Lugha ni kwamba, ni udhihirisho kuwa Roho Mtakatifu yupo ndani yako, na awaye yote asipokuwa na huyo Roho wa Kristo huyo sio wake.hata Yesu akija, akikukuta unasali ila hauna Roho Mtakatifu utaachwa kwasababu connection yake itakuwa Roho Mtakatifu, sio hizo rosali.

Matendo 1:4 Wakati alipokuwa amekutana nao aliwaagiza wasitoke Yerusalemu, bali waingoje ahadi ya Baba, ambayo mlisikia habari zake kutoka kwangu; 5 ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi chache.

Rum 8:15-16​

Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba. Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu. (ninyi mnaliaje abba bila kunena?)

Rum 8:26-30​

Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa. Na yeye aichunguzaye mioyo aijua nia ya Roho ilivyo, kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo Mungu. (ninyi mnasaidiwa na nani ili muombe kwa mapenzi ya Mungu?)

Yn 14:16​

Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele

Yesu alisema hatuwezi kufanya lolote bila Roho Mtakatifu, Roho Mtakatifu ni msaidizi, ninyi kama hamjazwi, mnasaidiwa na nani? kama sio mapepo?

Rum 8:9​

Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
 
Ina maana taarifa zilizotolewa ni za uongo? Na kama ni za uongo kwanini hao BBC wasishtakiwe na kuwajibishwa kwa kupotosha ulimwengu ukizingatia hatua ya kimaendeleo iliyopo huku dunia ya kwanza?
Hujui ni nani anayeongoza mifumo ya sheria hizo nchi za magharibi ?
Unaijua ADL wewe (Anti defamation league ) na nguvu waliyonayo ulimwengu huu
Hebu ifuatilie kiundani hiyo ADL na uwajue walioianzisha na jinsi inavyofanya kazi na uovu na mbinu za kufunika uovu / mass disinformation , propaganda na brainwashing campaign wanayoifanya dunia nzima .
 
Kabisa
Toka juzi BBC hawana habari nyingine zaidi ya hii ya Papa na watu wa jinsia moja na Illuminati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…