Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ni mazoezi ya kuchinja watu kwa jina la Allah.
Alaf utawasikia huu sio Uislamu.
Salman Rushdie alishaweka ushahidi wote na umeshindwa kujibiwa Hadi hii leo.
Majibu yake ni kumkamata na kumchinja tu.
 
Chai
 
Mimi tena nitafute? We si ndio unapinga hoja ulete ushahidi? Mimi nimeweka ushahidi wangu
1. Quran ya zamani kabisa ipo Birmingham hata sio museum ya waisilamu na inafanana 100% na Quran ya sasa, ni Quran ya karne ya 7

2. Waisilamu tu nasoma Quran kwa kuihifadhi, mambo ya tech za mawasiliano yameanza karibuni ila waisilamu wa Indonesia, Africa, Middle East etc hawakuwa wakionana mara kwa mara kungekua na version tofauti basi walichohifadhi waisilamu duniani kingetofautiana, leo mtafute mtu kijijini Indonesia mtafute mwengine kijijini TANZANIa waambie wa some sura moja watasoma Sura ile ile.

Wewe unaesema kuna version tofauti za Quran zilete hapa tuambie Aya gani ama sura Gani zinatofautiana so far unaimba tu taarabu na kukwepa kuleta huo ushahidi.
 
Dini zote zimeletwa Ili utawalike , maana dini zote Zina vifungo tu kama Mila na desturi
 
Kwa maneno yako kumbe sura ya Fatiha ni sala ya Mtume Muhammadi.
Au sio
 
Dini zililetwa na watu ila Wokovu ni kwa mmoja tu Yesu Kristo wa Nazareth!
Sura yako halisi sasa imeonekana. Mara ya kwanza ulikuja kama Atheist. Lakini kwa sasa umeshindwa kujificha.

Mbali na hilo swali langu hujalijibu kiongozi.

Umesema unaujua uislam. Nikakuuliza nini maana ya Kashfi?

Hujajibu mpaka sasa! Tatizo ni nini?
 
Naunga mkono hii mada,maislamu Yana upeo mdogo sana kwenye kuelewa mambo ya kiroho
Kweli mkuu nawashangaa utakuta wanafanya ibada kwa siku mara 5 lakini wakipata changamoto ya kiafya au tatizo lolote lile utakuta wanaenda kwa waganga. Tofauti na waumini wa wakristo.
 
Swali langu hujalijibu kiongozi.

Umesema unaujua uislam. Nikakuuliza nini maana ya Kashfi?

Hujajibu mpaka sasa! Tatizo ni nini?
Nilishajibu hukuona au
Kashfi ni Safi yaani too clear!
Una lingine?
😁😁
 
Hua sisomeki mkuu nikiwa vitani hua nachagua upande wenye manufaa jichanganye
Uliwe kichwa!
I choose the right position to stand during battle ukinikalili utaumia!
😁
 
Kwani ni nini maana ya wahyi (ufunuo)?
Mtume wako anapofunuliwa huwa panasemwa
"Sema"
Au
"imefunuliwa kwangu"
Hapo tunajua hayo ni maneno ya Mtume.

Sasa mnatofautishaje maneno ya Allah na Muhamadi kwenye Qurani yenu ?

قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ

[ AL - AH'QAAF - 9 ]
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِّنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا

(AL - JINN - 1)
Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!
 
Nilishajibu hukuona au
Kashfi ni Safi yaani too clear!
Una lingine?
😁😁
Tatizo lako una Google! Na hilo ndiyo tatizo. Halafu unakuja hapa unasema unaujua uislam?

Hahahah!

Usiniletee tafsiri ya kilugha ya kiarabu, niletee tafsiri ya kiistilahi ya Kiislam.

Maadamu unaujua uislam hili halito kushinda. Nini maana ya Kashfi kwa tafsiri ya kiistilahi ya kiislam?
 
Kama unaona wapo wataje!
Hawapo, ni Muhammad Pekee ndiye anasema Mungu hana mwana.
Akina Yahaya, Musa, suleiman, isaya Daniel etc wanasema Mungu ana Mwana. Na mungu mwenyewe anasema ana Mwana na Yesu mwenyewe anasema Mungu ni baba yake.. Sasa why Muhammad nabii asiyekuwana na bloodline ya wayahudi adai kinyume?.
Muhammad anadai hivyo ni kwasababu hakutumwa na Mungu na Quran ni shahidi kuwa Muhammad hakutumwa na Mungu bali kuna watu ama viumbe walimtuma Muhammad na mungu akaangali tu.
Soma:-
مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. NASI TUMEKUTUMA kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
MUNGU YEYE ALIANGALIA TU MUHAMMAD AKITUMWA KUWA MTUME.. SO ITOSHE KUSEMA MUHAMMAD SI MTUME WA UTUMWA NA MUNGU BALI WATU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…