ngoja ngoja
JF-Expert Member
- Jun 20, 2024
- 673
- 1,526
Huyo mkorinto ni kichaa asiliaSi ulete huo ushahidi hapa
Mfano andika Quran ya kwanza inatumika wapi na Quran ya pili inatumika wapi na utofauti ni upi.
Kusema tu kuna Quran mbili ni hoja ya kitoto kabisa.
Na sio issue ya bundle si kila mtu humu ni mpuuzi angalie video dk 20 ama 30 ya mtu ambaye hana elimu yoyote.
Mkuu kwanza uache ubishi usio na msingi,watu siku hizi wanatafiti vitu,unless useme kwamba kwa faida ya mtume wako na imani yako umeamua kuubeba upuuzi hivyo hivyo.Si ulete huo ushahidi hapa
Mfano andika Quran ya kwanza inatumika wapi na Quran ya pili inatumika wapi na utofauti ni upi.
Kusema tu kuna Quran mbili ni hoja ya kitoto kabisa.
Na sio issue ya bundle si kila mtu humu ni mpuuzi angalie video dk 20 ama 30 ya mtu ambaye hana elimu yoyote.
Warsh na Hafs ni nini? Kwanini Hafs version ya Quran ambayo inatumika Misri, Saudia na sehemu nyingi duniani imepigwa marufuku Morocco na Tunisia? Morroco wanatumia warsh version ya Quran, Tunisia wanatumia qaloon version ya Quran. Warsh, Hafs na Qaloon versions za Quran zinatofautiana maeneo kadhaa, hiyo Quran moja y kweli ni ipi?Hamna version ya Qur an ni moja tu , pia upangliaji wake una mahesabu ukibadili nukta basi inajulikana hii ndio calculation simple .
Ilikatazwa kupelekwa lugha tofauti hapo awali haswa kweny makabila ya kiarabu , israel ili isipoteze maana . leo ukisoma basi unaweza kutafsir kweny lugha yake ila OG ni ya kiarabu
Hawayajui haya mkuu maana hata masheikh hawajui historia ya kweli ya dini yao .
Watafundishwa na Mitandao.Hawayajui haya mkuu maana hata masheikh hawajui historia ya kweli ya dini yao .
Unajua 2024 anapotokea muislam anakwambua Quran haijawahi kuguswa na iko vile vile toka iteremshwe sio tu inasikitisha bali inaogopesha,mtu huyu ni mjinga kiasi gani bado???Warsh na Hafs ni nini? Kwanini Hafs version ya Quran ambayo inatumika Misri, Saudia na sehemu nyingi duniani imepigwa marufuku Morocco na Tunisia? Morroco wanatumia warsh version ya Quran, Tunisia wanatumia qaloon version ya Quran. Warsh, Hafs na Qaloon versions za Quran zinatofautiana maeneo kadhaa, hiyo Quran moja y kweli ni ipi?
Maalik or Malik?Mkuu kwanza uache ubishi usio na msingi,watu siku hizi wanatafiti vitu,unless useme kwamba kwa faida ya mtume wako na imani yako umeamua kuubeba upuuzi hivyo hivyo.
Video hiyo ni kwa ajili ya elimu yako,kama umegoma kuitizama nimekusaidia jambo hapa chini,hii ni misaafu 2,mmoja wa harfs na warsh eneo moja,maneno 2 yenye maana tofauti.
Sijui kama unaweza kufafanua nini kimefanyika hapi zaidi ya kuendelea kukomaa na upuuzi.View attachment 3039391
Internet itawafungua macho 😄🤓.Unajua 2024 anapotokea muislam anakwambua Quran haijawahi kuguswa na iko vile vile toka iteremshwe sio tu inasikitisha bali inaogopesha,mtu huyu ni mjinga kiasi gani bado???
Ndio hawa wapuuzi bado wanaamini kila maneno yapo kimpangilio ktk Quran kwa namba zinazofanana,kumbe kuna fala mmoja karne ya 17 hapo alikuja na huu uvumi na wakaubeba mzima mzima😁😁😁.
Wewe mpumbavu mke wa papa ndio umeona uneweka tofauti.hapoUnajua 2024 anapotokea muislam anakwambua Quran haijawahi kuguswa na iko vile vile toka iteremshwe sio tu inasikitisha bali inaogopesha,mtu huyu ni mjinga kiasi gani bado???
Ndio hawa wapuuzi bado wanaamini kila maneno yapo kimpangilio ktk Quran kwa namba zinazofanana,kumbe kuna fala mmoja karne ya 17 hapo alikuja na huu uvumi na wakaubeba mzima mzima😁😁😁.
Hakuna.cha intanet.bado kazi mnayoInternet itawafungua macho 😄🤓.
Acha ujinga kaka nakuheshimu kama kiumbe anayepumua na ana haki ya kuishi.Maalik or Malik?
Reciting it as Maalik or Malik have both been authentically reported and preserved.
Reciting it as MALIK
MALIK means King. Kingship (sovereignty, authority, control,rule and Judge) belong to Allah alone and not to any of His creation. Here in the dunya His slaves fight to be kings on earth, competing with each other for power and dominion. But Allah says
لِلَّهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ
To Allah belongs the MULK of the heavens and the earth [Shūraá:49]
.kweli wewe nini.kichaa hapo
Wacha iwapike haswaa.Internet itawafungua macho 😄🤓.
Tatizo unajifanya unajua wakati hujui maelezo hayo una kungineAcha ujinga kaka nakuheshimu kama kiumbe anayepumua na ana haki ya kuishi.
Kazi anayo Allah na mtume wake,sisi kazi yetu ni kuwauliza tu nyie watetezi wao.Hakuna.cha intanet.bado kazi mnayo
Sio neno moja tu,kuna verse zina utofauti wa maneno . Surahh bakarah (Hafs) ina verse 286, (Warsh) ina verse 285.Maalik or Malik?
Reciting it as Maalik or Malik have both been authentically reported and preserved.
Reciting it as MALIK
MALIK means King. Kingship (sovereignty, authority, control,rule and Judge) belong to Allah alone and not to any of His creation. Here in the dunya His slaves fight to be kings on earth, competing with each other for power and dominion. But Allah says
لِلَّهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ
To Allah belongs the MULK of the heavens and the earth [Shūraá:49]
.kweli wewe nini.kichaa hapo
Kila vess itajibiwa kama nilivyo ijibu hiyoSio neno moja tu,kuna verse zina utofauti wa maneno . Surahh bakarah (Hafs) ina verse 286, (Warsh) ina verse 285.
Labda chapisho sio contents ndani ? Unaelewa kuhusu Qur an lakini ?Warsh na Hafs ni nini? Kwanini Hafs version ya Quran ambayo inatumika Misri, Saudia na sehemu nyingi duniani imepigwa marufuku Morocco na Tunisia? Morroco wanatumia warsh version ya Quran, Tunisia wanatumia qaloon version ya Quran. Warsh, Hafs na Qaloon versions za Quran zinatofautiana maeneo kadhaa, hiyo Quran moja y kweli ni ipi?
mimi najua kuliko Allah,ndio maana nilikataa toka nilipoambiwa Quran iko hivyo hivyo toka miaka 1400 iliyopita.Tatizo unajifanya unajua wakati hujui maelezo hayo una kungine