Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

sawa uliingia afrika kabla ya ukoloni kwasababu ya wale waislam waliokimbia macca wasiuwawe na kuja afrika kujificha …

Je uislam umeletwa na nani East africa? Kama sio mkoloni..?

Ukifatilia hata ukristo pia ulikuja afrika kabla ya ukoloni…
But East africa ulitwa na ukoloni kama ilivyo uislam..
Mkuu Waarabu waliokuja East Africa ni wa Oman, uisilamu wao unaitwa Ibadhi, kwa Tanzania waisilamu ambao ni Ibadhi haifiki hata 0.1%.

Waisilamu ambao wapo Tanzania asilimia kubwa ni Sunni, uisilamu ambao upo practiced worldwide.

Ukisoma Historia ya Tanzania wakati wa vita na wareno kabla ya Oman kuja kuwa piga wareno,waisilamu wa East Africa waliomba msaada Kwenye khilafa akatumwa kamanda kuwasaidia wakapigwa, huu ni ushahidi kwamba uisilamu ulikuwepo kabla ya Waarabu/wazungu kuja Pwani hii.

Hii Ramani ya Africa ikionesha connection ya East Africa na Mecca/Madina.
images (26).jpeg

Mfalme Najash ambae alipokea waisilamu wakati wanauliwa Empire yake ya Aksum ilikuwa Eritrea/Ethiopia ya Leo,

Hii picha ya Msikiti wa Somalia ambao unaelekea Jerusalem, Kibla kilibadilishwa toka Jerusalem kwenda Mecca wakati bado mtume yupo hadi, Ushahidi kwamba kulikua na waisilamu ukanda wetu wakati mtume bado yupo Hai

images (27).jpeg
 
sawa uliingia afrika kabla ya ukoloni kwasababu ya wale waislam waliokimbia macca wasiuwawe na kuja afrika kujificha …

Je uislam umeletwa na nani East africa? Kama sio mkoloni..?

Ukifatilia hata ukristo pia ulikuja afrika kabla ya ukoloni…
But East africa ulitwa na ukoloni kama ilivyo uislam..
Uislamu haukuletwa na waarabu wala mkloni nina hoja kama unabisha andaa uzi , waite hao wenzio wote
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada,
Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao,
Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa,
Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!
Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
wakiristo
Kuna wanaoswali Jumamosi - wasabato
Jumapili - Wakatoliki
Juma tatu - Kanisa la Yohova.
waislam wao siku 1 ni ijumaa.
sasa nani kachanganyakiwa?
 
Uzuri wa uisilamu ni kuwa na misimamo tu hapo napenda sana, yaani muumini akiambiwa na kiongozi wake chinja ajiulizi wala kujioji.
Hizi ni propoganda za kimangaribi … zimeshakuingia …
Hakuna muislam anaemriwa kufanya hivyo..
Hizo video na matukio yanayofadhiliwa na mataifa ya magharibi yasikuchanganye ukajua ni uislamu..
Acha kuangalia mbaali angalia waislamu waliokuzunguka hapo je wanachinjana!?

Usiamini kila unachokiona kwenye mtandao mengine ni unalishwa na kuwa brain washed … ili uwe upande walioukusudia…
 
Wakoloni wametuachia tamaduni zao nasisi tunaziabudu na kubishana …
Wakati wao wakiendelea kututawala kiakili… na kupora rasimali zetu…

Fikiria babu zako walikua wakiabudu nini before ukoloni!?

Je tungetawaliwa na wachina au wahindi leo hii ungekua ni mkristo au muislamu!?
😎😎
Usijidanganye, Mungu anaeishi na yeyote mwenye akili timamu analijua Hilo. Haukujiumba na wajua mwisho wa hekima Yako ndio mwanzo wa kumtafuta Mungu. Kheri ufungue akili walau hata utafakari mwezi huo nani kauweka hao ulipo
 
Hii ni opinion yako badala ya Fact. Ungeelezea kwa mifano zaidi

Sisi waisilamu historia yetu ni safi na imenyooka wala haina shaka, si tu according na waisilamu hata wasio waisilamu, msahafu wa kwanza toka kipindi cha mtume upo Museum ya Birmingham upo Exactly sawa na msahafu unaotumika leo nothing changed nothing added, je unaweza uka sema hili kwa dini nyengine? Biblia ya leo Yesu anaijua? Tora ya leo Musa anaijua?

Pia sisi Tunakuwa Encouraged kuwa na elimu kwa kila tunachofanya, hatutakiwi kufuata mambo kwa mkumbo, dini yetu ipo practical zaidi na tunaiishi dini na sio kama dini nyengine unakuta waumini ni chawa tu wanatukuza wakubwa wao ila wao si wafuasi wa mafundisho ya dini zao.
Vipi kuhusiana na sura zilizopotea, je zile ziko wapi??

Maana Aisha anasema zililiwa na Mbuzi sasa kwa hiyo ina maana kitabu hakijakamilika????
 
Hizi ni propoganda za kimangaribi … zimeshakuingia …
Hakuna muislam anaemriwa kufanya hivyo..
Hizo video na matukio yanayofadhiliwa na mataifa ya magharibi yasikuchanganye ukajua ni uislamu..
Acha kuangalia mbaali angalia waislamu waliokuzunguka hapo je wanachinjana!?

Usiamini kila unachokiona kwenye mtandao mengine ni unalishwa na kuwa brain washed … ili uwe upande walioukusudia…
wakiristo wakiambia na PAPA wote wanafata- Muislam anafata Quran na Hadithi
 
Hii ni opinion yako badala ya Fact. Ungeelezea kwa mifano zaidi

Sisi waisilamu historia yetu ni safi na imenyooka wala haina shaka, si tu according na waisilamu hata wasio waisilamu, msahafu wa kwanza toka kipindi cha mtume upo Museum ya Birmingham upo Exactly sawa na msahafu unaotumika leo nothing changed nothing added, je unaweza uka sema hili kwa dini nyengine? Biblia ya leo Yesu anaijua? Tora ya leo Musa anaijua?

Pia sisi Tunakuwa Encouraged kuwa na elimu kwa kila tunachofanya, hatutakiwi kufuata mambo kwa mkumbo, dini yetu ipo practical zaidi na tunaiishi dini na sio kama dini nyengine unakuta waumini ni chawa tu wanatukuza wakubwa wao ila wao si wafuasi wa mafundisho ya dini zao.
Dini ni Duniani, lakini wewe hata ukijiuliza Leo haujui kama utaenda Mbinguni. Yesu asema, Mimi ndimi njia, uzima na uhai. Na Quran inakiri kua anauwezo wa kumpa ndege uhai. Imani yenu imekuja miaka 500 baada ya Kristo, Bado mnajiaminisha kua nyie ndio "dini" ya kweli. Ukristo ni uhusiano na Mungu hapa Duniani, nyie mnaishi Kwa Imani ya matendo kama wapagani/Bhudhism Kwa Imani kua Mungu atawapokea. Mnajidanganya,

Uislam ni giza, mtafute Yesu mapema
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada,
Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao,
Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa,
Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!
Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
Kumbe utafiti wako ni mdogo unaonaje ukachimba, we hangaika tu ila ukweli utabaki pale pale
 
Ukiletwa na nani East africa!?
Kumbe wewe hujui ? Waaabu hakuleta dini ...Pia weka hili kweny akili watu wa zamani walikuwa wabishi kuliko kiazazi hichi sio rahisi kueneza tamaduni mpya ...Ukiachana na waliosoma elimu ya mzungu .

Kalete picha za watemi wote wa zamani then nikuonyeshe kitu ...Utajua hapo mwanzo Africa walikuwa wanafuata dini gani .
 
Hii ni opinion yako badala ya Fact. Ungeelezea kwa mifano zaidi

Sisi waisilamu historia yetu ni safi na imenyooka wala haina shaka, si tu according na waisilamu hata wasio waisilamu, msahafu wa kwanza toka kipindi cha mtume upo Museum ya Birmingham upo Exactly sawa na msahafu unaotumika leo nothing changed nothing added, je unaweza uka sema hili kwa dini nyengine? Biblia ya leo Yesu anaijua? Tora ya leo Musa anaijua?

Pia sisi Tunakuwa Encouraged kuwa na elimu kwa kila tunachofanya, hatutakiwi kufuata mambo kwa mkumbo, dini yetu ipo practical zaidi na tunaiishi dini na sio kama dini nyengine unakuta waumini ni chawa tu wanatukuza wakubwa wao ila wao si wafuasi wa mafundisho ya dini zao.

Islam ina historia ya ugaidi gaidi tangu muarabu abuni hiyo dini miaka 500 baada Kristo.
Mpaka leo ni ugaidi kwa kwenda mbele.
 
Usijidanganye, Mungu anaeishi na yeyote mwenye akili timamu analijua Hilo. Haukujiumba na wajua mwisho wa hekima Yako ndio mwanzo wa kumtafuta Mungu. Kheri ufungue akili walau hata utafakari mwezi huo nani kauweka hao ulipo
🤣🤣.. unawaza mbalamwezi ..
Huko mbali sana waza tu vitu vilivyokuzunguka …
Mfano we mwenyewe unawezaje kuwa hivyo ulivyo bila Uwepo wa. Mungu!!?

Na usije ukachanganya …

Dini .. ni tamaduni ya watu flani wanaotumia kuabudu ..

Mungu .. ni nguvu kubwa iliyoyafanya yote tuyaonayo na tusio yaona..
 
Sanaa Palimpsest mbona ina tofauti.
Hata wewe unaweza uka andika quran ikawa tofauti, haimaanishi OG haipo, Sanaa one carbon dating yake sio ya mwanzo kama ya Birmingham, so kama Quran ya mwanzo kabisa kuwa carbondated inafanana na ya leo huo ni ushahidi mzito zaidi kuliko Quran ya baadae yenye utofauti.
 
Hizi ni propoganda za kimangaribi … zimeshakuingia …
Hakuna muislam anaemriwa kufanya hivyo..
Hizo video na matukio yanayofadhiliwa na mataifa ya magharibi yasikuchanganye ukajua ni uislamu..
Acha kuangalia mbaali angalia waislamu waliokuzunguka hapo je wanachinjana!?

Usiamini kila unachokiona kwenye mtandao mengine ni unalishwa na kuwa brain washed … ili uwe upande walioukusudia…
Asante.
Huo ni mfano mmoja mdogo sana sheikh, vipi unakumbuka yale maandamano kule Pemba yalianzia wapi na yalikuwaje?.
 
Nipo upande wa watunzi maana ni magreat thinker,
Hizo mbinu zao walizopanga ni bab kubwa kuwatawala vilaza!
😁😁
Kilaza ni wewe ambae haujawahi kuexperience Mungu. Sisi tunaenjoy sana kua watoto wa Mungu 😄, Mungu anasema nasi Kila siku
 
Back
Top Bottom