Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ila wakristo wengi waliojaribu kuujua uislamu wameishiwa kuvutiwa nao embu cheki story ya huyu muigizaji wa nigeria amehamia jirani na msikiti hadi anataka kupeleka sadaka msikitini kwakuwa umebadilisha maisha yake
Uongo,

Mkristo Alie na uhusiano na Kristo hajawahi kurudi gizani, kujaribiwa atajaribiwa lakini si kurudi Kwa shetani.

Niambie kifungu Cha Quran mungu wako amekuambia anakupenda, au Aya inalipa wewe matumaini ya kuishi na mungu baada ya kufa. Aya ya kukuambia kua mungu anakujua wewe na anazungumza na wewe alafu ndio utaamini kua huyo ni mungu unamwabudu I mungu asie sikia na hayupo
 
Dini ni Duniani, lakini wewe hata ukijiuliza Leo haujui kama utaenda Mbinguni. Yesu asema, Mimi ndimi njia, uzima na uhai. Na Quran inakiri kua anauwezo wa kumpa ndege uhai. Imani yenu imekuja miaka 500 baada ya Kristo, Bado mnajiaminisha kua nyie ndio "dini" ya kweli. Ukristo ni uhusiano na Mungu hapa Duniani, nyie mnaishi Kwa Imani ya matendo kama wapagani/Bhudhism Kwa Imani kua Mungu atawapokea. Mnajidanganya,

Uislam ni giza, mtafute Yesu mapema
As I said before, fuata huo huo Ukristo wako, vaa kama Yesu, swali kama Yesu, ishi kama Yesu utajikuta Automatic unakua muisilamu bila hata kusoma quran.

Tatizo la wakristo wengi wa sasa hamfuati Biblia na inachosema badala yake munaishi tu kimazoea.
 
Ndio maana nilijua akili yako ni ndogo tu , hakuna ushahidi kwamba dini zilienezwa tambua mila nyingi za kiafrica watu waliacha baada ya kuja wazungu , miaka ya 1900 bado .

Pia tambua mwaka 1884 Africa ndio ilitawaliwa rasmi , ilikuwa sio rahisi kwa waarabu kusambaza dini kama unavyosoma inadaiwa walikuwa wanafanyabiashaa ya watumwa , sasa iweje waeneze dini wakati watu walikuwa wanawakimbia .

Dini ni mpango wa Mungu ndio maana ilifika Africa ...Hakuna hata mzungu anayeweza kukuambia dini ilifikaje Africa ..

kwa nn wewe ni mjinga , Wzungu wanajua dini chimbuko lake ni Misri , sasa niambie Misri ipo bara gani ?

Licha ya manabii kutokea Mashariki ya kati ila chimbuko la maarifa yote ya dini wazungu wanajua ni misri .

Kwa mara ya kwanza ukristo uliingia maneo ya ethiopia karne ya 4 tena baada ya mfalme wao kuamua kuwa mkristo…
Baada ya hapo ulianza kusambaa taratibu hadi kufikia karne ya 18 . . Na kanisa la kwanza kusimikwa afrika mashariki ni 1840.. na liliwekwa na wamishenari wa kijerumani ambapo baadae ndio walikuja kuwa wakoloni wa eneo letu … sasa unakataa nini kama hakuleta mkoloni!?

Naona wewe unaamini sana dini kuliko Mungu..

Amini Mungu aliehai.. acha kuamini dini za kidunia hazina maana yoyote zaidi ya kuwa biashara za watu …
So amka …
SALI sana ila usiamini kuwa dini flani ndio ipo sahihi!!
 
Uongo,

Mkristo Alie na uhusiano na Kristo hajawahi kurudi gizani, kujaribiwa atajaribiwa lakini si kurudi Kwa shetani.

Niambie kifungu Cha Quran mungu wako amekuambia anakupenda, au Aya inalipa wewe matumaini ya kuishi na mungu baada ya kufa. Aya ya kukuambia kua mungu anakujua wewe na anazungumza na wewe alafu ndio utaamini kua huyo ni mungu unamwabudu I mungu asie sikia na hayupo
Hii comment yako inaonesha huna lolote unalojua kuhusu Quran, kuna Aya sio moja wala 10 bali zaidi ya 100 zinazoelezea hicho unachosema hakipo baadhi ya mifano

Indeed, those who have said, "Our Lord is Allah " and then remained on a right course - the angels will descend upon them, [saying], "Do not fear and do not grieve but receive good tidings of Paradise, which you were promised.

We [angels] were your allies in worldly life and [are so] in the Hereafter. And you will have therein whatever your souls desire, and you will have therein whatever you request [or wish],

As accommodation from a [Lord who is] Forgiving and Merciful.


“[Some] faces, that Day, will be radiant,

Looking at their Lord”

[al-Qiyaamah 75:22-23].


And we have certainly honored the children of Adam and carried them on the land and sea and provided for them of the good things and preferred them over much of what we have created, with [definite] preference. -(Qur’an 17:70)

Spend in the way of Allah and do not put yourselves into destruction, and do good. Of course, Allah loves those who do good.
 
Kwa mara ya kwanza ukristo uliingia maneo ya ethiopia karne ya 4 tena baada ya mfalme wao kuamua kuwa mkristo…
Baada ya hapo ulianza kusambaa taratibu hadi kufikia karne ya 18 . . Na kanisa la kwanza kusimikwa afrika mashariki ni 1840.. na liliwekwa na wamishenari wa kijerumani ambapo baadae ndio walikuja kuwa wakoloni wa eneo letu … sasa unakataa nini kama hakuleta mkoloni!?

Naona wewe unaamini sana dini kuliko Mungu..

Amini Mungu aliehai.. acha kuamini dini za kidunia hazina maana yoyote zaidi ya kuwa biashara za watu …
So amka …
SALI sana ila usiamini kuwa dini flani ndio ipo sahihi!!
Ndio maana nikakwambia porojo Soma vizuri maeneo aliyotembelea paulo kwanza ndio utajua
 
Version kwa maana ya dialect, sio mara ya kwanza kudiscuss hili jambo ila kila mkielimishwa mnalirudia. Quran ni ile ile haijabadilika, dialect hai badili maana bali hubadili tu namna ya kutamka maneno.

Leo mmakonde akisema "ukisimama Nchale, ukikaa Nchale" haja badili maana ya neno Mshale bali dialect yake ya kiswahili anatamka Mshale kama Nchale.

View: https://youtu.be/40DclW84HkM?si=QWEwu2sTcMnexYTF


View: https://youtu.be/E3f8f0Lj23A?si=AEuT43mI5OzzMmPY
 
Hii ni opinion yako badala ya Fact. Ungeelezea kwa mifano zaidi

Sisi waisilamu historia yetu ni safi na imenyooka wala haina shaka, si tu according na waisilamu hata wasio waisilamu, msahafu wa kwanza toka kipindi cha mtume upo Museum ya Birmingham upo Exactly sawa na msahafu unaotumika leo nothing changed nothing added, je unaweza uka sema hili kwa dini nyengine? Biblia ya leo Yesu anaijua? Tora ya leo Musa anaijua?

Mpaka Mtume Muhammad anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran.
Muhammad mwenyewe hajui Qur'an ípoje na unasura ngapi Kwa sababu hakuiandika na Wakati inaandikwa hakuwepo
Pia sisi Tunakuwa Encouraged kuwa na elimu kwa kila tunachofanya, hatutakiwi kufuata mambo kwa mkumbo, dini yetu ipo practical zaidi na tunaiishi dini na sio kama dini nyengine unakuta waumini ni chawa tu wanatukuza wakubwa wao ila wao si wafuasi wa mafundisho ya dini zao.

Hakuna dini isiyo na chawa.
Wakristo NI Chawa wa Yesu.
Waislam NI Chawa wa Muhammad

Angalau kidôgo Wayahudi
 
Uongo,

Mkristo Alie na uhusiano na Kristo hajawahi kurudi gizani, kujaribiwa atajaribiwa lakini si kurudi Kwa shetani.

Niambie kifungu Cha Quran mungu wako amekuambia anakupenda, au Aya inalipa wewe matumaini ya kuishi na mungu baada ya kufa. Aya ya kukuambia kua mungu anakujua wewe na anazungumza na wewe alafu ndio utaamini kua huyo ni mungu unamwabudu I mungu

Uongo,

Mkristo Alie na uhusiano na Kristo hajawahi kurudi gizani, kujaribiwa atajaribiwa lakini si kurudi Kwa shetani.

Niambie kifungu Cha Quran mungu wako amekuambia anakupenda, au Aya inalipa wewe matumaini ya kuishi na mungu baada ya kufa. Aya ya kukuambia kua mungu anakujua wewe na anazungumza na wewe alafu ndio utaamini kua huyo ni mungu unamwabudu I mungu asie sikia na hayupo
usinichoshe pambana kwanza na mzee wa upako ndio uje kwangu
 

Attachments

  • Screenshot_20240530-084924_Instagram.jpg
    Screenshot_20240530-084924_Instagram.jpg
    230.2 KB · Views: 1
Mpaka Mtume Muhammad anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran.
Muhammad mwenyewe hajui Qur'an ípoje na unasura ngapi Kwa sababu hakuiandika na Wakati inaandikwa hakuwepo


Hakuna dini isiyo na chawa.
Wakristo NI Chawa wa Yesu.
Waislam NI Chawa wa Muhammad

Angalau kidôgo Wayahudi
Hapa umeonesha namna ulivyo hujui kitu nini maana ya Qur an?. Yani bora hata unge kaa kimya
 
Watu wako bize Yesu sio Mungu, Yesu sio Mwana wa Mungu.
Wako bize kusoma na kuipinga biblia
Yale ya kwao, wala hawana haja ya kuyajua!
 
Ngoja waamke kutoka kwenye bibaraza vya masjid al itikad
 
Upofu sio wa macho, bali ni nyoyo zilizopo kwenye vifua.
 
wakiristo
Kuna wanaoswali Jumamosi - wasabato
Jumapili - Wakatoliki
Juma tatu - Kanisa la Yohova.
waislam wao siku 1 ni ijumaa.
sasa nani kachanganyakiwa?
Dogo,
Usimthibitishe mtoa uzi kama wewe nawe ni miongoni mwa wenye ufahamu finyu.
Baada ya mfungo kuna wale wanao wahi kufungua na kuna wanao chelewa hapa Unataka kusema, mmechanganyikiwa pia?
 
Mi Naona kuna tatizo la lugha ya Kiarabu.
Wengi wanakaririshwa maneno tu lakini hawajui maana yake.

Ndio maana kukisomwa Aya flani wenyewe kwa wenyewe wanabishana hadi kila mtu anatoka na maana yake.

Hili ndilo tatizo kubwa kwao.
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada,
Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao,
Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa,
Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!
Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
Naam, umeniita?

Tatizo nini?

Kwanza nakushauri fanya editing, kuna makosa mengi ya Kingereza.

Ukimaliza "editing" nambie tatizo lako nini?
 
Back
Top Bottom