Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Hahaha kwamba Nianzieshe uzi wa kuwadhihaki Waislam Ili nigundue nini?
Tatizo lenu nyie wengi wenu ni weak kiakili na kiroho hampendi challenge na ukianzishwa mjadala wowote mnaona kama mnadhihakiwa wakati hapa ni nafasi adhimu ya kujimwaga na ndio inawapa chance ya kueleza kwa kina makusudi ya dini yenu,
Na vile vile mnaweza mkajifunza vitu vingine pia ambavyo hamvijui ila ajabu ni waoga waoga na mna dhihaka na matusi na wengi wenu hapa ni ngumbaru tu ilitakiwa nafasi kama hizi ndio mnajimwaga watu wengi wenu wajifunze Halafu nikupe siri Moja,
Ukianzisha Uzi wowote humu unahusu dini Yako na ukaanza kwa point na point hutapata watu ila akitokea mtu kama mimi au wewe ukaja na uzi korofi kama huu utajaza nyomi ndio wakati sahihi watu kufunguka kwa uwazi Maana watu wanapenda kujadili mambo hasi ya kitu fulani badala ya chanya
Ukiwa na D mbili utanielewa
Please Muslims don't afraid me take chance hit em!
😁😁
Yaani hapa iwe chansi ya kuelezea kwa kina dini yetu,tumuelezee nani!?..hujajibu hoja ya dhumuni la roman empire ya kipagani kuanzisha dini mbili zinazopingana na zinazopinga upagani
 
Ule ni uongo kama ilivyouongo mwingine. Quran imecopy baadhi ya vitu kwenye Bible, vingine wakabadili details zake wakachanganya na taratibu za Kiarabu, tayari Quran ikakamilika.
Hamna kitabu cha Mungu kinaitwa Biblia , Qur an imenyooka hamna ilichocopy ila imeshuka kama ilivyo
 
Yaani hapa iwe chansi ya kuelezea kwa kina dini yetu,tumuelezee nani!?..hujajibu hoja ya dhumuni la roman empire ya kipagani kuanzisha dini mbili zinazopingana na zinazopinga upagani
Hiyo ilikua Arab conquest walitumia dini kuwaaminisha Waarabu kwamba Mungu kamtuma Mtume Mohammad Bin Abdula Mutalib kwao ili iwe rahisi kuwatawala kumbuka hizo Jamii za hapo ziliabudu miungu Mingi na ziligawanyika likiwemo kabila la Quraish la mod mwenyewe na master Mind alikua Mwamba Nestorian Monk Bahira wa Bosra huyu ndiye aliye mpa Mod plan za kufanya Ili kufanikisha agenda maana
One Religion, one morals and dogmas, one society ....
you conquer all of em!
 
Aisha ni mtoto wa Abu bakri siddiq,abu bakri na mtume kiumri wametifautiana miaka miwili,huyo anko padre wa Aisha ni mjomba au baba mdogo?!
Aahaa siyo Ayesha ni Bi Khadija,
Causin wa Bi Khadija ndie aliyekua priest Yaani Waraqah ibn Nawfal
The Roman agent akiwa kwenye plan na mwenzake Nestorian Monk Bahira wa Bosra!
 
Hiyo ilikua Arab conquest walitumia dini kuwaaminisha Waarabu kwamba Mungu kamtuma Mtume Mohammad Bin Abdula Mutalib kwao ili iwe rahisi kuwatawala kumbuka hizo Jamii za hapo ziliabudu miungu Mingi na ziligawanyika likiwemo kabila la Quraish la mod mwenyewe na master Mind alikua Mwamba Nestorian Monk Bahira wa Bosra huyu ndiye aliye mpa Mod plan za kufanya Ili kufanikisha agenda maana
One Religion, one morals and dogmas, one society ....
you conquer all of em!
This strategy led to the creation of the Christian version of the legend of Bahira during the reign of Caliph al-Ma'mun (813–33). Based on it, two recensions, East Syrian and West Syrian, later developed.[24] Since "Bahira" in Syriac was not a proper name but a way of addressing or describing a monk, "Sergius" was added to the character's name.[25] Later, a reworked recension in Arabic with more references to the Qur'an emerged, followed by a hybrid recension consisting of the Arabic translation of the Syriac legend and the concluding part of the previous Arabic one.[26] Generally, the stories describe the Qur'an as not a book of divine revelation but merely a compilation of Bahira's teachings to Muhammad.[27][28
 
This strategy led to the creation of the Christian version of the legend of Bahira during the reign of Caliph al-Ma'mun (813–33). Based on it, two recensions, East Syrian and West Syrian, later developed.[24] Since "Bahira" in Syriac was not a proper name but a way of addressing or describing a monk, "Sergius" was added to the character's name.[25] Later, a reworked recension in Arabic with more references to the Qur'an emerged, followed by a hybrid recension consisting of the Arabic translation of the Syriac legend and the concluding part of the previous Arabic one.[26] Generally, the stories describe the Qur'an as not a book of divine revelation but merely a compilation of Bahira's teachings to Muhammad.[27][28
Hii hawalijui kabisa tena asante kwa kuwapa ilmu maridhawa!
😁
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada.

Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao.

Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa.

Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!

Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
Kuna "Nabii" Buza kwa Lulenge yupo Times FM usiku kucha anafufua maiti kwa kutumia simu, ingawa sijaona matukio haya yakiripotiwa na chombo kingine chochote zaidi ya vipindi vyake😁.
Hiyo ndio chant za spiritual awakening yako,acha bangi ya cha Arusha.
 
Paulo ndio alianzisha ukristo kasome matendo ya mitume 11:26 😀 😀 😀 .


Paulo yeye anasema ni mtume wa Yesu , halafu mnasema yesu aliwaonya kuhusu mitume wa uongo ...Ni wapi Yesu alitabiri atakuja paulo?

Mungu alikamatwa na watu wake wakamtesa
Huna akili, halafu mnajifanya mnajua sana habari za Ukristo huku hamyajui maandiko yenu ya Kiarabu.
Marko (Mar) 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.
Sisi ni watu wa Kristo kwakifupi ni Wakristo.
Watu wa Afrika wanaitwa Waafrika.
Kichwani ni Zero brain.
 
Tushaongea huko nyuma narudia tena.

Uisilamu wakati bado mtume yupo hai ulikuwa na phase mbili,

Phase ya kwanza mtume alisambaza uisilamu kwa siri akiwa Mecca na phase ya pili kwa dhahiri akiwa Medina.

Wakati wa phase ya kwanza bado uisilamu haujasambaa na mtume yupo Mecca, waisilamu hao wachache walikuwa wakiteswa na Kuuliwa, ukashuka wahai kwamba kuna mfalme yupo Africa ni mwema atawasaidia waisilamu, ndio migration ya kwanza ikafanyika kuja Ethiopia/Eritrea ya Leo na mfalme wake wakati huo Najash akawapokea.

Wakati huo waisilamu walikuwa wakifanya ibada kuelekea Jerusalem, kuwepo kwa magofu ya misikiti iliolekea Jerusalem ni ushahidi wa kihistoria kwamba uisilamu ulikuwepo ukanda wetu kabla haujasambaa nchi za kiarabu.

Ukanda wetu huu waarabu ambao tulikuwa na contact nao ni wa Oman, version yao ya uisilamu ni Ibadhi, sisi hatufuati Ibadhi huu ni ushahidi mwengine kwamba sio wao waliotuletea uisilamu bali walikuja na kukuta tayari watu humu ni waisilamu.
Yaani waislam wajenge misikiti kuelekea Yerusaleem hivi we jamaa hii historia umeipata wapi? Wakati tangu Zamani Ethiopia inajukllikana ni kama vile Ina dini inayoshahabiana na Uyahudi. Tangu malkia zao wa anciety Ethiopian. Labda ungesema hayo yalikuwa mahekaki ya dini za kiyahudu lakini siyo uislam. Ktk historia Wareno walitamani kwenda Ethiopia kwa ajili ya kuunganisha nguvu na mfalme wa Ethiopia kupigana na usioama wewe unasema Ethiopia ilikuwa na waislam na walijenga mahekalu kuelekea Jerusalem mji wa Daudi!
Hivi hii historia yako iko sawa kweli?
 
Unawafahamu hawa: Abdur-Rahman ibn ‘Auf, Zubayr ibn al-‘Awaam, Mu’aath ibn Jabal, ‘Ubay ibn Ka’b, Zayd ibn Thaabit, Abu Zayd, ‘Abdullah ibn ‘Amr n.k

Hao ni maswahaba wa Mtume Muhammad s.a.w ambao walihifadhi Qur'an kipindi cha Mtume Muhammad s.a.w. mwenyewe akiwa hai.

Hawakuwa hao tu! Bali hata Aboubakr Siddiq, Umar Ibn Khattwab, Uthman Dhun nurayn, Ally Ibn Abi Twaalib nao pia walihifadhi.

Maswahaba waliyohifadhi Qur'an yote kipindi cha Mtume Muhammad s.a.w ni wengi. Tukiwaacha wa hapo juu wengineo ni: Talhah, Saad, Ibn Mas-ood, Hudhayfah, Salem wa Abu Hudhayfah, Abu Hurayrah, Ibn Umar, Ibn Abbas, Amr ibn al-Aas na mwanaye Abdullah, Muaawiyyah, Ibn az-Zubayr, Abdullah ibn as-Saa-ib n.k Hao wote walihifadhi Qur'an yote kipindi cha Mtume Muhammad s.a.w akiwa hai.

Pia kwa wanawake ni Aa’ishah, Hafsah, Umm Salamah n.k

Quran iliandikwa kwa kukusanywa kwa pamoja baada ya vita ya Al Yamaama. Maswahaba wengi waliyohifadhi Qur'an waliuliwa kwenye hii vita. Takribani maswhaba 70 waliyohifadhi Qur'an yote walikufa kwenye hii vita.

Madai ya kusema kuwa baada ya mtume kufariki ndipo wakaamua kukusanya kila mahali ilipo na walipomuendea Aisha awape baadhi ya sura alisema zililiwa na mbuzi huu ni uongo ndugu yangu.
Biblia imeandikwa Kwa kipindi Cha miaka zaidi ya miaka 2,700-4,000 na mabara manne yametajwa kwenye biblia na vitabu vimepatikana mabara tofauti tofauti yote yakieleza kuhusu huyu Mungu mkuu.

Quran imekuja miaka 500 Baada ya Ukristo na imeandikwa ndani ya miaka 23 TU. Taarifa nyingi zimeibwa kutoka Imani tofauti tofauti na hata practices za uislam nyingi ni za kipagani (Nyota na Mwezi ilikua ya uturuki na miungu yao, Kaaba lile jiwe wapagani walikua wakiliabudu limeingizwa kwenye uislam. Mungu wenu hajawahi kuwajibu, haongei, haponyi, mahubiri yenu ni kuambizana kuhusu kifo, lakini nakuambia Leo Mungu wetu huzungumza kuhusu uhai wa milele. Hata Quran inakiri Yesu anauwezo wa kumpa mtu uhai, inakiri kua yeye ndie atarudi kuhukumu ulimwengu, inakiri hakuzaliwa Kwa mbegu za nwanaume lakini Bado mpo gizani tu.
 

Attachments

  • images (11).jpeg
    images (11).jpeg
    28.1 KB · Views: 4
  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    39.8 KB · Views: 3
Huna akili, halafu mnajifanya mnajua sana habari za Ukristo huku hamyajui maandiko yenu ya Kiarabu.
Marko (Mar) 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.
Sisi ni watu wa Kristo kwakifupi ni Wakristo.
Watu wa Afrika wanaitwa Waafrika.
Kichwani ni Zero brain.
Ukristo umeanzishwa na paulo , maneno yake ndio anawaambia wagalatia , wakorintho sio maneno ya yesu .

Rudia kusoma vizuri kijana 😀 😀

Wakorintho 1:1
''Paulo, aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Sosthene ndugu yetu''

Hapo ni salamu ya paulo sio Yesu alikuwa kashaondoka
 
Tunaposema ilishuka ni maneno ndio Qur an sio kitabu yaani yale maneno alikuwa anaambiwa mtume , sio kitabu kwamba kilishuka 😀 😀

Qur an ni yale maneno sio makaratasi .
Ushahidi unasema mtume wenu alikua anaongea na makini na si Mungu, Torati mnayo, someni na mumjue Mungu mkuu na msome Quran yenu mtuambie kua ni mungu mmoja. Huyo ni shetani akijaribu kuondoa watu katika kumjua Kristo. Hata Edeni aliwadanganya binadamu Kwa maneno Yale Yale aliosemq Mungu mwanzo "Eti ni kweli Alisema mkila tundra haya mtakufa, mtakua kama yeye", lakini awali Mungu alishamfanya Mwanadamu Kwa mfano wake.

Qurani yenu inakuja na uongo, eti "Yesu hakufa, Bali mwanafunzi wake ndio aliuliwa wakidhania ni Yesu".
 
Ushahidi unasema mtume wenu alikua anaongea na makini na si Mungu, Torati mnayo, someni na mumjue Mungu mkuu na msome Quran yenu mtuambie kua ni mungu mmoja. Huyo ni shetani akijaribu kuondoa watu katika kumjua Kristo. Hata Edeni aliwadanganya binadamu Kwa maneno Yale Yale aliosemq Mungu mwanzo "Eti ni kweli Alisema mkila tundra haya mtakufa, mtakua kama yeye", lakini awali Mungu alishamfanya Mwanadamu Kwa mfano wake.

Qurani yenu inakuja na uongo, eti "Yesu hakufa, Bali mwanafunzi wake ndio aliuliwa wakidhania ni Yesu".
😀Unajitahidi sana mpakwa mafuta ila wapi , Alipewa ujumbe na malaika ....Mussa ndio alikuwa akribu zaidi ya Mungu sio Yesu
 
Ukristo umeanzishwa na paulo , maneno yake ndio anawaambia wagalatia , wakorintho sio maneno ya yesu .

Rudia kusoma vizuri kijana 😀 😀

Wakorintho 1:1
''Paulo, aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Sosthene ndugu yetu''

Hapo ni salamu ya paulo sio Yesu alikuwa kashaondoka
Kuna maeneo aliongozwa na roho, kumbuka Mungu hutumia watu. Kuna maeneo kwenye Biblia Paulo alishauri kama yeye na Kuna maeneo kama Sheria. Paulo hakuanzisha Ukristo, na Kwa ufupi Ukristo sio dini ni uhusiano na Mungu. Kutembea nae, kuishi nae na baada ya kifo kuishi nae Mbinguni
 
Njaaa kali ngurue sio haramu nimegundua Mudy alikuwa anatupangaa ili ale yeye peke ake tu
 
Sisi waisilamu historia yetu ni safi na imenyooka wala haina shaka, si tu according na waisilamu hata wasio waisilamu, msahafu wa kwanza toka kipindi cha mtume upo Museum ya Birmingham upo Exactly sawa na msahafu unaotumika leo nothing changed nothing added, je unaweza uka sema hili kwa dini nyengine? Biblia ya leo Yesu anaijua? Tora ya leo Musa anaijua?
Baba mwajuma kama unadhani hakukuwahi kuwepo various different versions of the quran bac my brother you're ignorant.

Najua unamjua Zayd Ibn Thabit na najua unamjua Caliph Uthman, swali kwako sasa je, baba mwajuma hawa watu wawili walifanya nn kuhusu different versions of the Quran??(kama hujui tumia hata google)

Baba mwajuma, Usiseme tena quran ilikuwa haina different versions kwa sababu kitu alichofanya Caliph Uthman ni historic fact, sio mambo ya kutunga hata baadhi ya Islamic scholars wanakiri alichofanya ni kweli.
 
Back
Top Bottom