Ni uongo, Imani yenu imejngwa ndani ya miaka 23 TU, Biblia imeandikwa maika zaidi ya 2,700-4,000 na watu wengi sana zaidi ya 40 ukilinganisha na Imani ya kiislam imeandikwa ma watu 4.
Watu wanne walikusanya uongo kuaminisha mamilioni alafu unasema ni Imani safi.
Biblia imeandikwa katika mabara zaidi ya 3, watu maelefu na katika vitabu na historia za nchi nyingi wakiwemo wahindi, Budha, ethiopia, Misri, Babylon, Syria, Italy, Turkey, India na hata nyie waIslam mnakiri uwepo wa mwana wa Mungu kuwepo.