Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

NIMEFURAHI UMEKUWA MKWELI NA MUWAZI HASA!
-POSSIBLY ENDAPO TUTATENGANA ZANZIBAR WAKAVURUGANA IKAWA DHAHMA KUBWA!, MANAKE KILA MTU MJUAJI.
 
Kwani wakiwa koloni la mtu wewe unapata shida gani? Mbona kisiwa kimoja cha Ngazija cha Mayotte walikataa uhuru wakataka kuwa chini ya France mpaka leo mbona wanaishi tena vizuri kuliko sie
 
Mkuu huo ndoyo ukweli wenyewe, lakini hao "chogo bapa" hawapendi kabisa kuusikia.
 
Ni sawa na kusema Tanzania bila ya misaada ya Ulaya isinge toboa.

Hivi kuna kisiwa duniani hakiwezi jiendesha wenyewe?.
Kisiwa hakijiendeshi, ni watu huendesha maisha yao wenyewe.
Hata hivyo, kwa Afrika, fikra za kutoweza kujiendesha binafsi ndiyo changamoto.
Kuanzia viongozi hadi raia hawaamini kuweza zaidi ya kutegemea watu wa nje (msingi wa utumwa na umasikini).
Fikra na vitendo vya ukombozi (Uhuru) zipo kwa wachache na wanazidiwa na wengi wasiojielewa.
 
Kwani wakiwa koloni la mtu wewe unapata shida gani? Mbona kisiwa kimoja cha Ngazija cha Mayotte walikataa uhuru wakataka kuwa chini ya France mpaka leo mbona wanaishi tena vizuri kuliko sie
Kwani kuku, ng,ombe, mbuzi, nguruwe,.... wanapofugwa na mwishowe wakachinjwa kuna shida kwao?
 
Na Wazanzibari wakumbuke nje ya Muungano hakuna Uzanzibari;Kuna taifa la Unguja na Pemba!
 
Huijui Zanzibar. Ungetulia tu.
 
Sasa mbona mzanzibar hawaleti Dipi wedi kuboresha bandari huko?
 
Wewe mchaga kutoka machame upo Zanzibar kuuza vinyago toka lini umekua Mzanzibari ?
 
Na Wazanzibari wakumbuke nje ya Muungano hakuna Uzanzibari;Kuna taifa la Unguja na Pemba!
Uunguja na upemba utawasumbua sana, jamaa hawapatani kabisa, wanaishi kinafiki sana... ila ukikaa nao utasikia "mpemba sio mtu kabisa, sio ndugu zetu wale"
 
Labda kama tutaanza kuchimba mafuta, lakini tukianza tu basi mfaransa, muingereza, mmarekani, mchina au mrusi ataweka kambi na huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa sisi waswahili pale Zenji.
Kwa hili nakubaliana nawe.
 
Mwarabu anatamani leo au kesho arudi Zanzibar, na wanaamini sehemu kubwa ya Zanzibar ni mali yao... Na wanamiliki ardhi kubwa Zanzibar... Kazi kwenu, nchi inaweza pata viongozi wehu na wakaamua kuuvunja huu muungano, ndugu zetu watateseka sana tena sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…