Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
- Thread starter
- #141
Mimi nimesema hivi.Pesa zipo hata zile zilizotolewa kwa ajili ya athari za covid19 zilifika bara .
Nchi ngapi ndogo zinajiendesha? Hapa Tz wenyewe bajeti inatoka nje..Sio fikra duni maana hata TZ inategemea wahisani kwani TZ ina deni la shIling ngapi? 😛 😛
Unakataa hoja ya mikopo wakati nchi yako Tz inakopa daily hata kenya wana dEni kubwa , umesoma kweli au shule ndio tatizo. sukari inatoka nje watu wanagawana , je unajua biashara zinazofanyIKa bandari bubu ya Tongoni TANGA na zanzibar , huku tonnes za vyakula zinapita .
Fursa ipi ya kibiashara ? still vipingamizi vya kodi ni vile vile , toa mazao peleka zenji kama ni bure ...Wanaona soko ndio wanapeleka zenji kwa kufauta taratibu zote .
Tatizo lako ni uelewa !
Hicho unachosema ni misaada mara zote ni mikopo (utapaswa kulipa) na kina mtego (kuna masharti). Je, Zanzibar tunakopesheka kirahisi?
Na je tuna uwezo wa kulipa?
Wakopeshaji hawaji bure bure, wanaweza kuja kuikopesha SMZ ili mwisho wa siku Zanzibar ishindwe kulipa na visiwa vipigwe bei.
Mwisho kabisa, fahamu Serikali ya muungano ni moja ya taasisi inayoongoza kuikopesha pesa SMZ, na mara nyingi SMZ wanashindwa kulipa na serikali ya muungano inapotezea kisiasa kwa kusema ni ruzuku, pesa ya maendeleo au kuingizwa kwenye kasma ya bajeti ya mambo ya muungano.