Ukweli mtamu ila mchungu kwenye mahusiano

Qashy Lilith

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2024
Posts
1,508
Reaction score
2,965
1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke

2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela..

3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi bila wewe"ataweza kuishi bila wewe na atakuacha ...

4.Wanawake wenye mvuto..kama sura ..shepu ...nyash ... siku zote wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa

5.Wanaume wenye pesa siku zote huchukilia mapenzi kama mchezo TU.

6.Waliozama katika dimbwi la mapenzi watapuuza haya adi watapokuja kupigwa tukio.... shauri lao
 
yansh ni?
 
Kosa kubwa mwanaume utakalofanya ni kumpenda mwanamke mmoja ! Na kuweka hisia zako kwa mwanamke mmoja, jitahidi ubalance uwe na faraja zaidi ya moja tena kwa usawa na ukihisi kuna mwanamke unampenda Sana jitahidi kupunguza upendo hata kwa visa ili akija kustuka kumbe ulishamwacha kitambo
 
Kuliko kupunguza upendo Bora aoe kabisa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…