Ukweli mtamu ila mchungu kwenye mahusiano

Ukweli mtamu ila mchungu kwenye mahusiano

Utapata Kuna mtu anataka kusettle😅jinga kabisa
Usettle kwa mwanamke ili iweje wewe siku ya kwanza mnaonana moyoni hesabu huyu nimepita tayari, akianza visa ushaondoka kitambo unamwachia maumivu kidogo aishi nayo awe anakukumbuka Tu , hakuna muda wa kuwekeza kwa mtu uliyemuona ukubwani
 
Usettle kwa mwanamke ili iweje wewe siku ya kwanza mnaonana moyoni hesabu huyu nimepita tayari, akianza visa ushaondoka kitambo unamwachia maumivu kidogo aishi nayo awe anakukumbuka Tu , hakuna muda wa kuwekeza kwa mtu uliyemuona ukubwani
Mmepitia mengi huku nje😅turudini kwa Mungu sasa
 
1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke

2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela..

3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi bila wewe"ataweza kuishi bila wewe na atakuacha ...

4.Wanawake wenye mvuto..kama sura ..shepu ...nyash ... siku zote wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa

5.Wanaume wenye pesa siku zote huchukilia mapenzi kama mchezo TU.

6.Waliozama katika dimbwi la mapenzi watapuuza haya adi watapokuja kupigwa tukio.... shauri lao
Well said.
 
1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke

2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela..

3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi bila wewe"ataweza kuishi bila wewe na atakuacha ...

4.Wanawake wenye mvuto..kama sura ..shepu ...nyash ... siku zote wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa

5.Wanaume wenye pesa siku zote huchukilia mapenzi kama mchezo TU.

6.Waliozama katika dimbwi la mapenzi watapuuza haya adi watapokuja kupigwa tukio.... shauri lao
1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke

2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela..

3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi bila wewe"ataweza kuishi bila wewe na atakuacha ...

4.Wanawake wenye mvuto..kama sura ..shepu ...nyash ... siku zote wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa

5.Wanaume wenye pesa siku zote huchukilia mapenzi kama mchezo TU.

6.Waliozama katika dimbwi la mapenzi watapuuza haya adi watapokuja kupigwa tukio.... shauri lao
Katika uongo mkubwa ni hiyo kauli.

"Siwezi ishi bila wewe" ni utapeli.
 
1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke

2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela..

3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi bila wewe"ataweza kuishi bila wewe na atakuacha ...

4.Wanawake wenye mvuto..kama sura ..shepu ...nyash ... siku zote wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa

5.Wanaume wenye pesa siku zote huchukilia mapenzi kama mchezo TU.

6.Waliozama katika dimbwi la mapenzi watapuuza haya adi watapokuja kupigwa tukio.... shauri lao
Umekopi mahali nimeiona hii 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom