Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Tanzania hakuna bodaboda aliyejenga nyumba ya kisasa
Ila wapo wanao panga za angalau vyumba viwili akijitahid 3
Mwishooooooooo

Kifupi ni watu wa mageton
Sio kweli. Mbagala asilimia kubwa huko ndowamejenga
 
Mbona mgumu kuelewa, madeni sio mazuri. Akikopa anakuwa fukara wa kutupwa mshahara chini ya moja ya Tatu unaishi maisha magumu kama shoe shine
Sasa ndugu yangu aliyekuambia walimu wote waliokopa wana Maisha magumu Nani? Na pili bodaboda wote wanavipato vizuri Nani? Kila kitu kina risk factors wapo bodaboda waliouliwa kwa kazi hiyo, waliofungwa, waliopata ajali na wasitimize hayo unayosema
 
Kuwa na hela usalama itategemea kitengo ulichopo wapo wafagiaji mshahara wa kifagiaji wapo manes usalama mshahara wa kines
Wapo watendaji
Mshahara wa kitendaji
Mwenye kitengo cha chini analipwa sio chini ya million tano
 
Milion mbili kwako hela?
Kabisa mkuu sio million mbili. Million moja tu Kwa mwalimu shida ndio mana kwenye benki mshahara ukitoka tu nivurugu tupu hewa inakuwa nzito pananuka wamebanana na masulupwete Yao kama malofa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…