Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #301
Haya twende kwenye bodaboda napo faida zakeYawezekana lakini hebu ngoja....
Mwalimu anafanya kazi masaa 7 kwa siku tano kwa wiki.... Boda akifanya kazi kwa masaa hayo hapindui
Mwalimu ana likizo ya mwaka.... Boda akienda likizo kaumia
Mwalimu akiugua mshahara uko palepale.... Boda akiugua kaumia
Mwalimu akipata dharura bado mpunga unaingia.....
Na kikubwa zaidi, mwalimu anaweza kumiliki na kuendesha bodaboda akitaka lakini boda hawezi kuwa mwalimu
Haya nayo mkayatazame
Au nasema uongo ndugu zangu?
Naongea government ndugu, walimu wa IST sio wabongo ni wahindi na wazunguHebu nenda pale International School of Tanganyika afu urudi hapa kufuta kauli yako....
Kuna wengine ni bodaboda wanamiliki pikipiki zao wenyeweMmiliki wa bodaboda na dereva wa bodaboda ni watu wawili yofauti kabisa.
Kipimo cha kuwa na maisha mazuriKwahiyo kuwa na nyumba, ni kipimo cha utajir au nini ?
Mkuu bodaboda siku hizi wamejanjaruka pia. WanajengaKipimo cha hoja yako yamkini ni dhaifu sana,hatuwezi kupima nani anazidi kipato mwingine kwa kuhesabu nani anapata pesa nyingi kwa mwezi....ila tunaweza kuangalia mambo anayofanya kwa kutumia pesa mfano kujenga, kulima, kufuga, biashara, usafiri, kusomesha, family standard nk....hapo si rahisi bodaboda kumkuta mwalimu labda atakuwa mwalimu wa enzi za kale lakini kwa sasa walimu si viwango vya bodaboda......
Upo sahihi kabisa mleta uzi amepooza kwenye ubongo wake,hao bodaboda kwanza wapo wengi mno ukipiga hatua 20 tu wapo kiufupi pikpiki ni nyingi mno kiasi kwamba mtu kupata elfu tatu ni kawaida kwasikumiaka ile ya 2000s , nilifanya biashara ya bodaboda nilikuwa nawapa vijana pikipiki za mikataba na wao wananipa pesa, miaka ya hivi karibuni bodaboda nimenunua tena hakupi marejesho na anakwama kulipa ,ukimuliza why majibu ni kazi ngumu pikipiki nyingi, upande wa pili ni mimi mwalimu ,niko tgts E, mara ya mwisho nilikopa milioni 12, sijui hapo ningenunua bodaboda ngapi nawahurimia sana vijana wanaofanya kazi ya bodaboda na nimeshudia wenye akili timamu wanacha bodaboda wanatafta kazi, kwa hiyo kufananisha ualimu na bodaboda unahitaji kuwa na kichaa na tanzania tuna tatizo la magonjwa ya akili so huenda mleta uzi ni mhanga
Noted ila mm sio mwalimu ushindweNimegungua mkuu wewe ni mwalimu umejaribubkutumia njia hii ya uwasilishaji.
Mimi enz zile tunasoma waliokuwa wa kwanza kiwilaya, kukata au tarafa(wale vipanga) walikwenda ualimu.
Mwisho wa siku vilevile waliishia kuishi maisha duni.
Hata Marais walioshika nchi, mawaziri walimu wameendelea kudharau ualimu.
Wakiambiwa suala ya kuwaongezea mishahara, mawaziri wanasingizia hata kada zingine wanastahili.
Binafsi niligundua kuanzia wathibiti ubora(quality assurer wengine ni empty vichwani. Nilishuhudia wakitoa pumba wakati flani. Hawa hapo zamani waliitwa wakaguzi.
Kuna walimu very intelligent huwezi kuamini. Lakini serikali yao inawaacha wafanye uzalendo miaka na miaka
Wataje walimu waliopiga hatua na hatua zipi wamepigaKuna watu waliikataa kuwa walimu enzi hizo kwa kejeli kuwa walimu ni maskini...leo hii nafsi inawauma sana sasa kila siku wanaanzisha nyuzi za kuwaponda walimu lakini hamna namna walimu wengi sana kwa sasa wamepiga hatua kubwa sana ki maendeleo, wamesalia walimu wachache sana ambao wako nyuma ki maendeleo
Walimu ni maboya wengi wao niwale waliofeliKifupi mwalimu na mshahara mdg anafanya mambo makubwa.. asilimia kubwa watoto wa walimu wanasoma shule Bora nchini.
Na wanachokosa walimu ni zile allowance sio kitu kingine. Kwa mfano.
House allowance
Transport allowance
Water bills
Electricity bills
Extra Duty allowance (hapa anafanya duty nyingi tu) Pamoja na teaching
Nk.
Serikali inasingizia kuwajengea nyumba kumbe ni kamba na fix miaka na miaka. Haiwez kuwajengea nyumba walimu wote nchini ni ndoto
Sawa mwalimu naona umejipaliliamiaka ile ya 2000s , nilifanya biashara ya bodaboda nilikuwa nawapa vijana pikipiki za mikataba na wao wananipa pesa, miaka ya hivi karibuni bodaboda nimenunua tena hakupi marejesho na anakwama kulipa ,ukimuliza why majibu ni kazi ngumu pikipiki nyingi, upande wa pili ni mimi mwalimu ,niko tgts E, mara ya mwisho nilikopa milioni 12, sijui hapo ningenunua bodaboda ngapi nawahurimia sana vijana wanaofanya kazi ya bodaboda na nimeshudia wenye akili timamu wanacha bodaboda wanatafta kazi, kwa hiyo kufananisha ualimu na bodaboda unahitaji kuwa na kichaa na tanzania tuna tatizo la magonjwa ya akili so huenda mleta uzi ni mhanga
Ili upate pesa ya kutosha ya bodaboda lazma uwe nje ya nidhamu, bodaboda ni kazi yenye mateso.
Bodaboda wanapata pesa sana ila tatizo ni nidhamu ya matumizi ya hiyo pesa.
Kwa kijana mwenye pikipiki yake binafsi, kwa mwezi anaingiza pesa nyingi sana, naona umewatolea mfano walimu lakini ukweli ni kwamba anaweza kumzidi mtu yoyote ambaye kwa mwezi mshahara wake ni chini ya laki saba.
Tatizo linarudi pale pale, nidhamu ya matumizi.
Acha dharau wwMilion mbili kwako hela?
Hao boda ni mji ganiKuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini. Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
Dar Es salaamHao boda ni mji gani
Hiyo ulikusudia kuandika laki 7 au milion 7 ?Sijazoea kubishana nina ndugu yangu ni mwalimu anakunja 700000 kwa mwezi ukishaondoa makato yote,mkewangu wa zamani anakunja 6400000 kwa mwezi ukishaondoa makato
Wapo ma ticha vijana tu wanavuta zaidi ya hyo 800K,, mna generalize walimu kumbuken Kuna certificate,diploma na.bachelor,,hao scale zao tofaut yaan mbingu na ArdhiKama boda boda pikipiki ni yake anamzidi . Sababu wastani hapo ni kama 16,000/ kwa siku. Mi Namjua dereva mmoja wa boda ya mkaa analipa kila siiku 15, kwa boss wake nae anapata ya kula na kuishi. Hata wanao uza maji tu wana hela ndefu kwa siku. Mwalimu anajazia tuiton na vi semina vinginevyo ananufaika na bima ya afya na pesheni akistaafu lakini kula nyama tu kwenye bucha inabidi achungulie mfukoni sababu kg1 ni 9000/= bila viungo shida sana ajira jamani. labda awe na mshahara wa laki 8 mbele hukoo
Mmetufikia tyr..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Nikajua ni waalimu tuMuosha magari anamzidi mshahara Engineer.