Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Yawezekana lakini hebu ngoja....

Mwalimu anafanya kazi masaa 7 kwa siku tano kwa wiki.... Boda akifanya kazi kwa masaa hayo hapindui

Mwalimu ana likizo ya mwaka.... Boda akienda likizo kaumia

Mwalimu akiugua mshahara uko palepale.... Boda akiugua kaumia

Mwalimu akipata dharura bado mpunga unaingia.....

Na kikubwa zaidi, mwalimu anaweza kumiliki na kuendesha bodaboda akitaka lakini boda hawezi kuwa mwalimu

Haya nayo mkayatazame

Au nasema uongo ndugu zangu?
Haya twende kwenye bodaboda napo faida zake
 
miaka ile ya 2000s , nilifanya biashara ya bodaboda nilikuwa nawapa vijana pikipiki za mikataba na wao wananipa pesa, miaka ya hivi karibuni bodaboda nimenunua tena hakupi marejesho na anakwama kulipa ,ukimuliza why majibu ni kazi ngumu pikipiki nyingi, upande wa pili ni mimi mwalimu ,niko tgts E, mara ya mwisho nilikopa milioni 12, sijui hapo ningenunua bodaboda ngapi nawahurimia sana vijana wanaofanya kazi ya bodaboda na nimeshudia wenye akili timamu wanacha bodaboda wanatafta kazi, kwa hiyo kufananisha ualimu na bodaboda unahitaji kuwa na kichaa na tanzania tuna tatizo la magonjwa ya akili so huenda mleta uzi ni mhanga
 
Kipimo cha hoja yako yamkini ni dhaifu sana,hatuwezi kupima nani anazidi kipato mwingine kwa kuhesabu nani anapata pesa nyingi kwa mwezi....ila tunaweza kuangalia mambo anayofanya kwa kutumia pesa mfano kujenga, kulima, kufuga, biashara, usafiri, kusomesha, family standard nk....hapo si rahisi bodaboda kumkuta mwalimu labda atakuwa mwalimu wa enzi za kale lakini kwa sasa walimu si viwango vya bodaboda......
Mkuu bodaboda siku hizi wamejanjaruka pia. Wanajenga
 
miaka ile ya 2000s , nilifanya biashara ya bodaboda nilikuwa nawapa vijana pikipiki za mikataba na wao wananipa pesa, miaka ya hivi karibuni bodaboda nimenunua tena hakupi marejesho na anakwama kulipa ,ukimuliza why majibu ni kazi ngumu pikipiki nyingi, upande wa pili ni mimi mwalimu ,niko tgts E, mara ya mwisho nilikopa milioni 12, sijui hapo ningenunua bodaboda ngapi nawahurimia sana vijana wanaofanya kazi ya bodaboda na nimeshudia wenye akili timamu wanacha bodaboda wanatafta kazi, kwa hiyo kufananisha ualimu na bodaboda unahitaji kuwa na kichaa na tanzania tuna tatizo la magonjwa ya akili so huenda mleta uzi ni mhanga
Upo sahihi kabisa mleta uzi amepooza kwenye ubongo wake,hao bodaboda kwanza wapo wengi mno ukipiga hatua 20 tu wapo kiufupi pikpiki ni nyingi mno kiasi kwamba mtu kupata elfu tatu ni kawaida kwasiku
 
Nimegungua mkuu wewe ni mwalimu umejaribubkutumia njia hii ya uwasilishaji.

Mimi enz zile tunasoma waliokuwa wa kwanza kiwilaya, kukata au tarafa(wale vipanga) walikwenda ualimu.

Mwisho wa siku vilevile waliishia kuishi maisha duni.


Hata Marais walioshika nchi, mawaziri walimu wameendelea kudharau ualimu.

Wakiambiwa suala ya kuwaongezea mishahara, mawaziri wanasingizia hata kada zingine wanastahili.

Binafsi niligundua kuanzia wathibiti ubora(quality assurer wengine ni empty vichwani. Nilishuhudia wakitoa pumba wakati flani. Hawa hapo zamani waliitwa wakaguzi.

Kuna walimu very intelligent huwezi kuamini. Lakini serikali yao inawaacha wafanye uzalendo miaka na miaka
Noted ila mm sio mwalimu ushindwe
 
Kuna watu waliikataa kuwa walimu enzi hizo kwa kejeli kuwa walimu ni maskini...leo hii nafsi inawauma sana sasa kila siku wanaanzisha nyuzi za kuwaponda walimu lakini hamna namna walimu wengi sana kwa sasa wamepiga hatua kubwa sana ki maendeleo, wamesalia walimu wachache sana ambao wako nyuma ki maendeleo
Wataje walimu waliopiga hatua na hatua zipi wamepiga
 
Kifupi mwalimu na mshahara mdg anafanya mambo makubwa.. asilimia kubwa watoto wa walimu wanasoma shule Bora nchini.

Na wanachokosa walimu ni zile allowance sio kitu kingine. Kwa mfano.

House allowance

Transport allowance

Water bills

Electricity bills

Extra Duty allowance (hapa anafanya duty nyingi tu) Pamoja na teaching

Nk.

Serikali inasingizia kuwajengea nyumba kumbe ni kamba na fix miaka na miaka. Haiwez kuwajengea nyumba walimu wote nchini ni ndoto
Walimu ni maboya wengi wao niwale waliofeli
 
miaka ile ya 2000s , nilifanya biashara ya bodaboda nilikuwa nawapa vijana pikipiki za mikataba na wao wananipa pesa, miaka ya hivi karibuni bodaboda nimenunua tena hakupi marejesho na anakwama kulipa ,ukimuliza why majibu ni kazi ngumu pikipiki nyingi, upande wa pili ni mimi mwalimu ,niko tgts E, mara ya mwisho nilikopa milioni 12, sijui hapo ningenunua bodaboda ngapi nawahurimia sana vijana wanaofanya kazi ya bodaboda na nimeshudia wenye akili timamu wanacha bodaboda wanatafta kazi, kwa hiyo kufananisha ualimu na bodaboda unahitaji kuwa na kichaa na tanzania tuna tatizo la magonjwa ya akili so huenda mleta uzi ni mhanga
Sawa mwalimu naona umejipalilia
 

Bodaboda wanapata pesa sana ila tatizo ni nidhamu ya matumizi ya hiyo pesa.

Kwa kijana mwenye pikipiki yake binafsi, kwa mwezi anaingiza pesa nyingi sana, naona umewatolea mfano walimu lakini ukweli ni kwamba anaweza kumzidi mtu yoyote ambaye kwa mwezi mshahara wake ni chini ya laki saba.

Tatizo linarudi pale pale, nidhamu ya matumizi.

Ili upate pesa ya kutosha ya bodaboda lazma uwe nje ya nidhamu, bodaboda ni kazi yenye mateso.
 
Kuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini. Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
Hao boda ni mji gani
 
Tatizo mmekalilishwa ujinga!.. nikusanuae tu siku hizi tuna kopa B.O.T direct mtu unavuta Hadi 40M kulingana na scale yako!.. bachelor holder Kama hudaiwi na loan board unakunja 600K ukiwa unaa Anza sisi wakongwe tusha fika 1.2M na age inasoma 33,, wee endelea kukalili,,hao bodaa boda wanatutumikia sisi
 
Kama boda boda pikipiki ni yake anamzidi . Sababu wastani hapo ni kama 16,000/ kwa siku. Mi Namjua dereva mmoja wa boda ya mkaa analipa kila siiku 15, kwa boss wake nae anapata ya kula na kuishi. Hata wanao uza maji tu wana hela ndefu kwa siku. Mwalimu anajazia tuiton na vi semina vinginevyo ananufaika na bima ya afya na pesheni akistaafu lakini kula nyama tu kwenye bucha inabidi achungulie mfukoni sababu kg1 ni 9000/= bila viungo shida sana ajira jamani. labda awe na mshahara wa laki 8 mbele hukoo
Wapo ma ticha vijana tu wanavuta zaidi ya hyo 800K,, mna generalize walimu kumbuken Kuna certificate,diploma na.bachelor,,hao scale zao tofaut yaan mbingu na Ardhi
 
Back
Top Bottom