Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Hao WA namna hyo ni asilimia ngapi ya wote? Yaan bdbda wanachomwa juá unakuta anakaa massa 4 ndo wanagombania buku aje amzidi mwalimu? Hebu acha futuhi,waalimu wengi ndio wamenunua hizo boda na kuwaajiri
Kuwa mwelewa wewe kila lisaa hakosa buku tano
 
Haelewi huyu jamaa...bajaji tu zenyewe kupata hesabu ya elfu ishirini kazi sembuse boda boda.
 
Safi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…