Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Kuna wengine wanamiliki bodaboda zao sio ya boss
Sahihi, ongeza elfu 10 katika 10-15 yake so atakuwa anakusanya 15-25 elfu.

Hawezi kuwa sawa na mwalimu huyu anakusanya hiyo kidogo dogo, kuna maradhi, na vingine vingi vingi.

Mwalimu ana vijipesa uchwara kwa wazazi, bado ana bima ya afya magonjwa ya laki laki hayo hatoboki, anaweza pata mkopo sijui mpaka milioni 10+ huko, hizo fursa boda hana.
Rahisi kumkuta bodaboda ana nyumba na gari na shamba ikiwezekana, kuliko bodaboda.

Muajiriwa akituliza akili tu anatoboa.
 
Sijazoea kubishana nina ndugu yangu ni mwalimu anakunja 700000 kwa mwezi ukishaondoa makato yote,mkewangu wa zamani anakunja 6400000 kwa mwezi ukishaondoa makato
Sio kweli degree akikatwa akikatwa na loan board anapokea laki tano take home kama hakatwi loan board anapokea laki Sita
 

Bodaboda wanapata pesa sana ila tatizo ni nidhamu ya matumizi ya hiyo pesa.

Kwa kijana mwenye pikipiki yake binafsi, kwa mwezi anaingiza pesa nyingi sana, naona umewatolea mfano walimu lakini ukweli ni kwamba anaweza kumzidi mtu yoyote ambaye kwa mwezi mshahara wake ni chini ya laki saba.

Tatizo linarudi pale pale, nidhamu ya matumizi.

Kazi zenyewe zipoo, siku hizi bodaboda ni nyingi mno vijiweni, kuliko kazi.
Ukitaka kuona hili fanya biashara hiyo, wengi hawale hesabu inayotakiwa.
 
Siku bodaboda akinizidi kipato nijiua katikati ya barabara kwa kujinyonga pale kwa mfugale...awe bodaboda wa dar au mtambaswala....
 
Sahihi, ongeza elfu 10 katika 10-15 yake so atakuwa anakusanya 15-25 elfu.

Hawezi kuwa sawa na mwalimu huyu anakusanya hiyo kidogo dogo, kuna maradhi, na vingine vingi vingi.

Mwalimu ana vijipesa uchwara kwa wazazi, bado ana bima ya afya magonjwa ya laki laki hayo hatoboki, anaweza pata mkopo sijui mpaka milioni 10+ huko, hizo fursa boda hana.
Rahisi kumkuta bodaboda ana nyumba na gari na shamba ikiwezekana, kuliko bodaboda.

Muajiriwa akituliza akili tu anatoboa.
Akikopa tu hapo ndomaisha yanaanza kuwa magumu in addition bodaboda hazuiwi kukata Bima kwahiyo Kuna bodaboda wana Bima pia
 
Kazi za vyombo vya usafiri Tz ni laana! Na c tanzania pekee japo kwingine kuna afadhali kuliko Tz!

Yesu mwokozi aliyajua haya na ndio maana akaagiza punda tu japo kulikua na magari ya kukokota kwa punda na hapo ndipo alipo haramisha hivi vyombo!

Huo uwezo wa bodaboda kupata elfu50/dei haiwezekani na hata ikitokea sio kwa mahesabu hayo unayo piga na kadiri zinavyo zidi kua nyingi ndio mtihani wa kupata pesa unapo zidi kua mkubwa


Angalizo: breki za bodaboda ni HONI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi za vyombo vya usafiri Tz ni laana! Na c tanzania pekee japo kwingine kuna afadhali kuliko Tz!

Yesu mwokozi aliyajua haya na ndio maana akaagiza punda tu japo kulikua na magari ya kukokota kwa punda na hapo ndipo alipo haramisha hivi vyombo!

Huo uwezo wa bodaboda kupata elfu50/dei haiwezekani na hata ikitokea sio kwa mahesabu hayo unayo piga na kadiri zinavyo zidi kua nyingi ndio mtihani wa kupata pesa unapo zidi kua mkubwa


Angalizo: breki za bodaboda ni HONI

Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahi kuwa bodaboda?
 
Kazi zenyewe zipoo, siku hizi bodaboda ni nyingi mno vijiweni, kuliko kazi.
Ukitaka kuona hili fanya biashara hiyo, wengi hawale hesabu inayotakiwa.
Ni kweli mkuu, ila hii makadirio yangu ni kwa wale wenye wateja wao wa uhakika.
 
Ukifanya utafiti, bodaboda wanamiliki makazi yao wenyewe ni wachache kuliko wanaopanga.
Nyumba anayopanga bodaboda ni ya chumba 25,000 banda uani, bodaboda anapata pesa, ila Wanaishi maisha magumu.
Sio kweli mm Mara ya kwanza dar nilipanga mwananyamala mmliki ni bodaboda
 
Back
Top Bottom