Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Uzuri wa Waalimu wakistaafu wanachukua pensheni zao za NSSF mahela kama yote.

Boda boda akifikia uzee anakuwa na srress nyingi maisha Magumu.

Pia tukumbuke huyu bodaboda mnayemzungumzia anapopata hizo ela sijui kwa mwezi inabidi itumike kwa mambo kama

-kufanyia Service pikipiki
  • Ikiharibika inakaa kwa fundi wiki ( hapo anakuwa haingizi ela.
  • Alipe kodi ya nyumba
-Asomeshe watoto
-Ale chakula na familia yake
-Na majukumu mengine mengi tu.

Ukweli ni kwamba Bodaboda anaweza akapata pesa kiasi na hiyo pesa pia inatakiwa itumike pia, hata akisave inakuwa kidogo sana, kiasi cha kwamba anaweza akawa sawa na mwalimu au hata akazidiwa na Mwalimu.
 
Teachers status has been deminished to the ground level [emoji23]
Ngoja na Mimi nichangie;
Boda anaemiliki pikipiki yake mwenyewe bila kipande Cha Boss ni kweli anamzidi kipato Mwalimu Rose.
Sure [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Uzuri wa Waalimu wakistaafu wanachukua pensheni zao za NSSF mahela kama yote.

Boda boda akifikia uzee anakuwa na srress nyingi maisha Magumu.

Pia tukumbuke huyu bodaboda mnayemzungumzia anapopata hizo ela sijui kwa mwezi inabidi itumike kwa mambo kama

-kufanyia Service pikipiki
  • Ikiharibika inakaa kwa fundi wiki ( hapo anakuwa haingizi ela.
  • Alipe kodi ya nyumba
-Asomeshe watoto
-Ale chakula na familia yake
-Na majukumu mengine mengi tu.

Ukweli ni kwamba Bodaboda anaweza akapata pesa kiasi na hiyo pesa pia inatakiwa itumike pia, hata akisave inakuwa kidogo sana, kiasi cha kwamba anaweza akawa sawa na mwalimu au hata akazidiwa na Mwalimu.
Sio kweli
 
Hii ndio point watu wengi hatuna nidhan ya pesa kama inaingia kidogo kidogo kwa siku tunashindwa ku manage ndipo wanapokwama wengi hapa wanao hustle nje ya ajira sio boda tu..

Mtu deile anaingiza efu 30 net kwa kuwa deile ipo anapiga bia, anagongea wake za watu by the of the month saving haifiki laki tano...

Na mademu wanalijua hili ndio mana wanashobokea boda boda pesa ipo...

Ukikuta boda anajielewa anakua na maendeleo sana anakua anacheza ligi moja na wanaolamba net 1.5 milion kwa mwezi

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Umewahi kuwa bodaboda au hata kumiliki tu pikpiki ukampa kijana aendeshe bodaboda? Munaongea nadharia mno
 
Uzuri wa Waalimu wakistaafu wanachukua pensheni zao za NSSF mahela kama yote.

Boda boda akifikia uzee anakuwa na srress nyingi maisha Magumu.

Pia tukumbuke huyu bodaboda mnayemzungumzia anapopata hizo ela sijui kwa mwezi inabidi itumike kwa mambo kama

-kufanyia Service pikipiki
  • Ikiharibika inakaa kwa fundi wiki ( hapo anakuwa haingizi ela.
  • Alipe kodi ya nyumba
-Asomeshe watoto
-Ale chakula na familia yake
-Na majukumu mengine mengi tu.

Ukweli ni kwamba Bodaboda anaweza akapata pesa kiasi na hiyo pesa pia inatakiwa itumike pia, hata akisave inakuwa kidogo sana, kiasi cha kwamba anaweza akawa sawa na mwalimu au hata akazidiwa na Mwalimu.
Wengi watakuambia kakunja 30000 ila hawajui mafuta ya shiling ngapi yametumika
 
Mjadala mzuri huu na ukweli mtupu. Sio kipato tu hata akili, walimu hawa wa sasa wamekuwa watu wa hovyo mno. Pitia comments zao na post zao utaelewa
Go straight to point Kati ya ticha na bodaboda Nani anamzidi mwenzake kipato
 
Kwahiyo kuna watu humu watamaliza maneno kubishana na huyu yaani........watazama mpaka kwenye salary slips kwa ajili ya huyu, watachukua data zote walizonazo kwa ajili ya huyu yaani. Dah!
Lete fact sio statements zakukwepa malumbano
 
Back
Top Bottom