Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Kwahiyo kuna watu humu watamaliza maneno kubishana na huyu yaani........watazama mpaka kwenye salary slips kwa ajili ya huyu, watachukua data zote walizonazo kwa ajili ya huyu yaani. Dah!
Hamna akili ndio maana mnadharaulika na kila mtu. Mmekua hovyo sana humu jf
 
Yupo jamayangu, kazi zake huanza saa 11 jioni hadi 11 Alfajiri, mimi nyumbani kwakua natoka saa 10 alfajiri, humtumia huyu kinipeleka barabarani, ili nipande Daladala.
Pamoja na kukesha havikishi 30,000 siku akipata hela nyingi labda akodiwe kwenye kazi maalumu.
Hapa naona kama kuna ushabiki wa kuwaponda waalimu tu.
 
Umewahi kuwa bodaboda au hata kumiliki tu pikpiki ukampa kijana aendeshe bodaboda? Munaongea nadharia mno
Nishamiliki boda aseee jamaa hakuwaikukosa kuleta ile 75k kwa wiki...

Hawa jamaa wanashika hela sema management zero kama makonda wa daladala tu hela wanashika bit zile tumia ndogo ndogo za hapa na pale zinawatoa nje ya mstari....

Boda anaejilewa hakosi 30k per day hapo 10 ya boss ishapatikana...


Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Teachers status has been deminished to the ground level [emoji23]
Ngoja na Mimi nichangie;
Boda anaemiliki pikipiki yake mwenyewe bila kipande Cha Boss ni kweli anamzidi kipato Mwalimu Rose.
Ukweli huu, boda aliyesmart kabisa anaingiza kingi mno. Dar hapa mtaani kuna boda smart sana wengi wanapendaa kumtumia, jamaa kwa siku naamini anazidi laki 1
 
Nishamiliki boda aseee jamaa hakuwaikukosa kuleta ile 75k kwa wiki...

Hawa jamaa wanashika hela sema management zero kama makonda wa daladala tu hela wanashika bit zile tumia ndogo ndogo za hapa na pale zinawatoa nje ya mstari....

Boda anaejilewa hakosi 30k per day hapo 10 ya boss ishapatikana...


Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Hawaelewi Hawa
 
Kuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini. Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
Weka gharama za wese, matengenezo madogomadogo break n.k, oil matibabu n.k anabaki na ngapi?. Kila mmoja ana eneo anafaidi na kuathirika pia hivyo hakuna bora hapo. Tupambane tupate viongozi bora nchini ili kila mtu afaidi keki ya taifa kwa kumtegemea mwenzake.
 
Mmoja ana tafta pesheni yake haraka kabla ajawa kilema kama sio kukata moto
na hiki ndio kinamfanya atengeneze pesa kwa speed kubwa .

ila boss siku ukipanda bodaboda yangu jiandae kuvunjika kiuno
 

Attachments

  • 1666774709770.jpg
    1666774709770.jpg
    67.8 KB · Views: 12
Back
Top Bottom