Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Bodaboda anamzidi ticha mara 5Go straight to point Kati ya ticha na bodaboda Nani anamzidi mwenzake kipato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodaboda anamzidi ticha mara 5Go straight to point Kati ya ticha na bodaboda Nani anamzidi mwenzake kipato
Hamna akili ndio maana mnadharaulika na kila mtu. Mmekua hovyo sana humu jfKwahiyo kuna watu humu watamaliza maneno kubishana na huyu yaani........watazama mpaka kwenye salary slips kwa ajili ya huyu, watachukua data zote walizonazo kwa ajili ya huyu yaani. Dah!
Nilikuwa namiliki pikipiki nikawapa vijana waendeshe kwasiku mtu amezidi 30000 na hapo katumia wese la 10000 ni stress tupu,siku nyingine anatoka kijiweni na elfu 3Umewahi kumiliki pikipiki ili hukuwa bodaboda
Hapa naona kama kuna ushabiki wa kuwaponda waalimu tu.Yupo jamayangu, kazi zake huanza saa 11 jioni hadi 11 Alfajiri, mimi nyumbani kwakua natoka saa 10 alfajiri, humtumia huyu kinipeleka barabarani, ili nipande Daladala.
Pamoja na kukesha havikishi 30,000 siku akipata hela nyingi labda akodiwe kwenye kazi maalumu.
Nishamiliki boda aseee jamaa hakuwaikukosa kuleta ile 75k kwa wiki...Umewahi kuwa bodaboda au hata kumiliki tu pikpiki ukampa kijana aendeshe bodaboda? Munaongea nadharia mno
Siku bodaboda akinizidi kipato nijiua katikati ya barabara kwa kujinyonga pale kwa mfugale...awe bodaboda wa dar au mtambaswala....
Ukweli huu, boda aliyesmart kabisa anaingiza kingi mno. Dar hapa mtaani kuna boda smart sana wengi wanapendaa kumtumia, jamaa kwa siku naamini anazidi laki 1Teachers status has been deminished to the ground level [emoji23]
Ngoja na Mimi nichangie;
Boda anaemiliki pikipiki yake mwenyewe bila kipande Cha Boss ni kweli anamzidi kipato Mwalimu Rose.
Hao Ni wale machokoraa na wanyoa viduku.Nilikuwa namiliki pikipiki nikawapa vijana waendeshe kwasiku mtu amezidi 30000 na hapo katumia wese la 10000 ni stress tupu,siku nyingine anatoka kijiweni na elfu 3
Gonga tanoBodaboda anamzidi ticha mara 5
For sureUkweli huu, boda aliyesmart kabisa anaingiza kingi mno. Dar hapa mtaani kuna boda smart sana wengi wanapendaa kumtumia, jamaa kwa siku naamini anazidi laki 1
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamna akili ndio maana mnadharaulika na kila mtu. Mmekua hovyo sana humu jf
Walikuwa wanakuzunguka tu we silofaNilikuwa namiliki pikipiki nikawapa vijana waendeshe kwasiku mtu amezidi 30000 na hapo katumia wese la 10000 ni stress tupu,siku nyingine anatoka kijiweni na elfu 3
Mimi ni wakiume mkuuSiku moja atokee mwalimu mmoja akutie mimba kisha walimu wote tukuite wifi faler we
Hawaelewi HawaNishamiliki boda aseee jamaa hakuwaikukosa kuleta ile 75k kwa wiki...
Hawa jamaa wanashika hela sema management zero kama makonda wa daladala tu hela wanashika bit zile tumia ndogo ndogo za hapa na pale zinawatoa nje ya mstari....
Boda anaejilewa hakosi 30k per day hapo 10 ya boss ishapatikana...
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Kwani mshahara mrefu ni kuanzia shingapi?
Weka gharama za wese, matengenezo madogomadogo break n.k, oil matibabu n.k anabaki na ngapi?. Kila mmoja ana eneo anafaidi na kuathirika pia hivyo hakuna bora hapo. Tupambane tupate viongozi bora nchini ili kila mtu afaidi keki ya taifa kwa kumtegemea mwenzake.Kuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini. Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
na hiki ndio kinamfanya atengeneze pesa kwa speed kubwa .Mmoja ana tafta pesheni yake haraka kabla ajawa kilema kama sio kukata moto