CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,784
RUKUKU BOY nimekuelewa, watu wanatuharibia sana chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini mwaka Jana ilikuwa too muchIngekuwa vyema vyama vya upinzani vikaacha kabisa kujihusisha na masuala ya uchaguzi mpaka hapo katiba mpya na tume huru vitakapopatikana. Vinginevyo hujaandika kipya kwa sababu hizi kelele zilianza tangu 1995 kisa tume huru na sasa katiba mpya havipo.
Acha tu mkuu CCM hatukushida majimbo AyaYaani Daniel Wa Karatu Hajui Hata Kujieleza Leo Hii Eti Kashinda Ubunge. Jambo Hili Limewatia Aibu Ccm Mpaka Wanatembea
Wanaona Aibu
Eti Tumeshinda Kwa Kishindo Kazi Wizi
NEC,Msajiri Ndiyo Mbeleko Ya Ccm
Acha tu mkuuRUKUKU BOY nimekuelewa, watu wanatuharibia sana chama
Kwa lugha unayotumia moja moja wewe unaonekana siyo upande unao tushawishi upo.Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.
Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile.
Ni hivi kila mwaka CCM tunaibaga kura Ila kiakili, mfano tunaiba baadhi ya majimbo, Ila kwenye stronghold za upinzani tunawaachia.
Kilichotokea mwaka Jana ni upumbavu wa hali ya juu, niwaambie kuwa CCM wanaitaji Sana upinzani bungeni, kina Magufuli, Bashiru, polepole na Tiss walivyoshtuka kuwa bunge lazima liwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ndo wakaja kununua hao Covid-19, lakini ilikuwa too late, yaani kwa wizi ule walijipaka kinyesi usoni.
Na watu wengi wa CCM hatukupenda ushenzi ule,, na matokeo yanaonekana wapinzani wamekuwa very strong, wanajenga ofisi nchi nzima na wizi wa mwaka Jana umekuja ku-backfire na Sasa vuguvugu la katiba mpya linazidi kuwa kubwa.
Viongizi wa CCM najua mmejifuza, kutumia manguvu, kununua upinzani na kuiba uchaguzi ni hatari si kwa taifa Bali kwa chama pia
Mbwa mwizi hata ukimpa pilau ataenda kwenye makombo aliyozoea!Kumbe miaka mingine hamjawahi kuibiwa ila 2020 tu ndo mkaibiwa kihalali ee?
Nyumbu ni nyumbu tu
Nasikia eti bacteria na minyoo walisusa!Ndio tunafuraha anaoza huko minyoo inafaidi kula protein ya dikiteta
Mnachangia kama Tanzania ina wananchi wa aina mbili. Nchi ikikombolewa chini ya CCM ni sawa ni kakombolewa pia. Sio lazima wawe wengine wakombozi, hakuna nchi mbili Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?.Mungu kama alivyotukomboa watanzania kwa alivyomwondoa Magufuli kwa mkono wake wa nguvu, kama alivyowakomboa waisrael nchini Misri, ndivyo atakavyokuja kutukomboa watanzania chini ya CCM. Na wao hawatoamini Kama ambavyo hawajaamini mpaka leo kuondolewa kwa jiwe duniani. " Nitawapigania nanyi mtanyamaza kimya".. Kutoka 14:14
Mbwa mwizi hata ukimpa pilau ataenda kwenye makombo aliyozoea!
Nzi makazi yake chooni! biriani hajazoea!
Mwizi mbobezi akikosa cha kuiba hata kujiibia ruksa.
Akina halima walipelekwa kuapishwa chini ya mtutu wa bunduki! Hadi leo wanalindwa wasitoke bungeni!
Kwani hukuona kazi na uongozi wa magufuli jinsi ulivyowagusa waliyo wengi? Yaani watu wa kawaida. Pia hukuona kampeni ya magufuli na ccm? Mbona wenye akili walijua chadema haipati kitu.Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.
Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile
Na mungu alivyokuwa hachelewi kumuhukumu mtu anaedhulumu tumeona hatua alizowachukulia wale waliokuwa mstari wa mbele katika dhulma ile kubwa lao ndio kachukuliwa mzima mzima bashiru chini na pole pole wake ni aibu tupu.Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.
Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile...
Hata nyuzi rahisi namna hi bado mtu huzielewi halafu mama ndio achague ma RC na ma DC kutoka kwenye kundi lenu? Khaa, ngumu sana aise.
Pumbavu tu wala hujui kitu. Kwani hukuona kazi na uongozi wa magufuli jinsi ulivyowagusa waliyo wengi? Yaani watu wa kawaida. Pia hukuona kampeni ya magufuli na ccm? Mbona wenye akili walijua chadema haipati kitu. Hivi ile kampeni ya lissu ndio mlitegemea chadema ishinde? Wewe ni ccm tangu 2011 kama ni kweli. Mimi ni ccm tangu tanu. Ni mtu pragmatic sio mfuata mkumbo...nakwambia chadema ishukuru hata kupata kiti kimoja.
mkuu hata kama unawashwa matako usitangaze hadharani,jadili hoja kama msomi.Hata kura za Rais wajanja wanaiba kati ya 5- 10% tu, lakini Magufuli alivyokuwa mpumbavu akaiba 50%.
Utamdanganya nani kwa Tanzania ya Leo kuwa eti Magufuli kashinda kwa 82%. HAIWEZEKANI
na alifanya jambo la maana sana,maana tofauti na kutumia matako kufikiri sijui mngetumia nini kingine.Kazi zote alizo fanya JPM naziheshimu ila alipo anza kupambana na upinznai na kuiba uchaguzi..niliona huyu na mjinga..na mpumbafu kati ya wote bora Muumba aliingilia kati angeipeleka nchi pabaya sana dikteta uchwara yule.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa, bila shaka hukuyaona kwa macho bali ni ya kuambiwa kwa vile kwa jinsbi nomjuavyo, sioni utamwibiaje Mbowe au Sugu au Lema, ni watoto wa mjini wale, wahuni wa kupindukia. Can you imagine uibe kura ya Padri Msigwa? Mlishindwa tu, loud and clear, ni matusi ya tundulissu ndo yaliwaharibia mvuto wenu wote. Ndo maana tundulissu alipowaamuru kina Heche waingie barabarani siku ile mezakuu kwenye press conference, wote walimwangalia kwa jicho la huzuni in disbelief.Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.
Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile.
Ni hivi kila mwaka CCM tunaibaga kura Ila kiakili, mfano tunaiba baadhi ya majimbo, Ila kwenye stronghold za upinzani tunawaachia.
Kilichotokea mwaka Jana ni upumbavu wa hali ya juu, niwaambie kuwa CCM wanaitaji Sana upinzani bungeni, kina Magufuli, Bashiru, polepole na Tiss walivyoshtuka kuwa bunge lazima liwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ndo wakaja kununua hao Covid-19, lakini ilikuwa too late, yaani kwa wizi ule walijipaka kinyesi usoni.
Na watu wengi wa CCM hatukupenda ushenzi ule,, na matokeo yanaonekana wapinzani wamekuwa very strong, wanajenga ofisi nchi nzima na wizi wa mwaka Jana umekuja ku-backfire na Sasa vuguvugu la katiba mpya linazidi kuwa kubwa.
Viongizi wa CCM najua mmejifuza, kutumia manguvu, kununua upinzani na kuiba uchaguzi ni hatari si kwa taifa Bali kwa chama pia