toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Hawez kukujibu mkuuNilimuhoji mtu mmoja jana kwamba "hiv huko ccm hakunaga watu wenye uwezo tofauti na hi teuzi zinazojirudia miaka nenda rud kupokezana vijiti, hakuna watu wenginse wanaopikwa"? Hakunipa jibu
kama namuona alivyokutana kimoyomoyoNilimuhoji mtu mmoja jana kwamba "hiv huko ccm hakunaga watu wenye uwezo tofauti na hi teuzi zinazojirudia miaka nenda rud kupokezana vijiti, hakuna watu wenginse wanaopikwa"? Hakunipa jibu
Nilimuhoji mtu mmoja jana kwamba "hiv huko ccm hakunaga watu wenye uwezo tofauti na hi teuzi zinazojirudia miaka nenda rud kupokezana vijiti, hakuna watu wenginse wanaopikwa"? Hakunipa jibu
Ungenipa jibu ungekua umefanya vyema sana kuliko kupoteza muda wako?Kwenu kuna wapya?
Kingwagwala alisema CCM hawaruhusiwi kuhoji maamuzi ya Mwenyekiti wao.Kama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very influential wanasema hawajapendezewa, unawauliza mbona Sasa mko kimya? Wanakosa majibu!
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.
Makonda ni mshirikina haswaNi kulipa fadhila !!
Alimpendekeza kwenye namba two Office ya Nchi !!
Huenda by that time aliropoka tu lakini luckily lile jambo likafanikiwa na likatekelezwa !
Jamaa ana bahati ya mtende !! 😅🙏
Makonda ni mshirikina haswa
Bashite ni hatari sn usishangae akawa Katibu Mkuu wa CCMWalidhani Yuko kimya kumbe alikuwa anaenda Misungwi kimyakimya kuloga na kupikwa upya kwenye mapipa.
Hawa wote wanahitajina. Makonda anaihitjai sana CCM, na CCM pia inamhitjai MakondaKama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very influential wanasema hawajapendezewa, unawauliza mbona Sasa mko kimya? Wanakosa majibu!
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.
Unauhakika? Mbona sisi tumefurahi sana tuuuuuuKama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very influential wanasema hawajapendezewa, unawauliza mbona Sasa mko kimya? Wanakosa majibu!
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.
Atapiga jalamba mpaka msamba umchanike.....teh teh teh.Chawa Lucas mwashambwa anahema juu juu tu. Inabidi aanze kutunga tena nyimbo za kumsifu Makonda. Yeye anapiga jalamba muda wote ila uwanjani wanaingia wengine kucheza.
Duh!Kama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very influential wanasema hawajapendezewa, unawauliza mbona Sasa mko kimya? Wanakosa majibu!
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.
Kwakweli. !!Makonda ni mshirikina haswa
Ngoja tuone !!Hahahaha wanaishi kwa maumivu makali sana na hawawezi kusema
ndio maana ni new memberUnauhakika? Mbona sisi tumefurahi sana tuuuuuu
Hatari snKwakweli. !!
Ona hii takataka haina hata nguvu za kuandikaWasio na furaha ni chadema