gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Milele unaijua wewe.toa utahira wako hapa.CCM MILELE HIO KAMA MLIWAZA KUTAWALA TAFUTENI NCHI NYINGINE MPELEKE UJINGA WENU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milele unaijua wewe.toa utahira wako hapa.CCM MILELE HIO KAMA MLIWAZA KUTAWALA TAFUTENI NCHI NYINGINE MPELEKE UJINGA WENU
Labda hizo ni zile zinazoitwa ‘ Chuki binafsi ‘ 😅🙏Mimi huwa nashangaa sana,CCM ni taasisi ambayo uwepo wake unategemea Wanachama wake ambao wana kadi za uanachama na wanazilipia kila mwaka.Sasa inakuaje Mwanachama kusema hamtaki Mwanachama mwengine kwasababu personal wala hazipo ata kwenye miongozo ya chama.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
alfa endi omega fatsMilele unaijua wewe.toa utahira wako hapa.
sawaKama Lowasa alikuwa mgombea wa chadema tena nafasi ya Urais, sasa wana ccm wamchukie Makonda kwa lipi?
Labda hizo ni zile zinazoitwa ‘ Chuki binafsi ‘ 😅🙏
TULIZA KIJAMBIO WEWE KENGE ...SUKUMA GANG TUNARUDI CHWAAA NA LEGACY YETU BADO SAMIA KUMPISHA POLEPOLE 2025 KUWA MGOMBEA PEKEE WA URAISKama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very influential wanasema hawajapendezewa, unawauliza mbona Sasa mko kimya? Wanakosa majibu!
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.
Duh 🙄 !TULIZA KIJAMBIO WEWE KENGE ...SUKUMA GANG TUNARUDI CHWAAA NA LEGACY YETU BADO SAMIA KUMPISHA POLEPOLE 2025 KUWA MGOMBEA PEKEE WA URAIS
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
At least KUMBE Mimi ni kenge, shukrani sana wewe mtoto wa NyokaTULIZA KIJAMBIO WEWE KENGE ...SUKUMA GANG TUNARUDI CHWAAA NA LEGACY YETU BADO SAMIA KUMPISHA POLEPOLE 2025 KUWA MGOMBEA PEKEE WA URAIS
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Uchaguzi Tanzania ni sarakasi tu ili tuonekane tuna demokrasi.Tambua tu kuwa viongozi wa nchi huchaguliwa na watu wasiozidi hata kumi. Hata raisi wa nchi huchaguliwa na watu wasiofika kumi