Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Maombi? We hamnazo kweliFanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
π€£π€£π€£Shida ni pale anapo kutana na handsome + kakuzidi vigezo [emoji16]
Handsome alfu empty pocket πππjidanganyeHello morning π!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwaza na handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akajangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa π§ na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Wewe unamchagua yupi kati ya handsome na Mnyakyusa mwenye shekeliππ?Handsome alfu empty pocket πππjidanganye
πππniache kdgo basi πππWewe unamchagua yupi kati ya handsome na Mnyakyusa mwenye shekeliππ?
Hebu tuwekee picha za ma handsome hapa tuzione kabla hatujatoa jibuHello morning π!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa π§ na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Labda umwelekeze wewe mkuuβ¦.aseme tu kakutana na limbukeni basJidanganye
Mada za watoto wa 2000 hizi, wanawake wenye akili zetu timamu hata msamiati handsome tulishausahau!Hello morning π!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa π§ na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Sijui kwa lipi? Ameshangaza sanaHebu tuqekee picha za ma hqndsome hapa tuzione kabla hatujatoa jibu
Anyways, unampiga mtu matukio, unamsaliti, humuheshimu halafu useme eti hawezi kukuacha kisa handsome,unless huyo mwanamke hajui values zake
Ivo yaanMada za watoto wa 2000 hizi, wanawake wenye akili zetu timamu hata msamiati handsome tulishausahau!
Upeo wake umeishia hapoSijui kwa lipi? Ameshangaza sana
Hahahahaha..hao wadada wa 2000 tu hawana huo muda na handsomeMada za watoto wa 2000 hizi, wanawake wenye akili zetu timamu hata msamiati handsome tulishausahau!
Yeah,I think soUpeo wake umeishia hapo