Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaweza kumwacha handsome man. Utamkwaza atakaa pembeni lakini baada ya muda mfupi atakuhitaji tena.

Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaweza kumwacha handsome man. Utamkwaza atakaa pembeni lakini baada ya muda mfupi atakuhitaji tena.

Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Walio wengi mwaume handsome ni yule mwenye pesa
 
Utoto raha sana...
Sawa handsome man tumekusikia!
Sema mahendsome ni watamu kwenye mizagamuo ila hawana maana kabisa.

Wanawake wengi wanawapenda mahandsome ila uhalisia wa maisha unawafanya waolewe na wanaume ambao ni wawajibikaji bila kujali ni mahandsome au wana mashavu kama Mizengwe Pinda.

Mahandsome huwa ni vibenten. Na wanajua kusugua papuchi kweRi kweRi.

Mwanamke mwenye akili hawezi kuolewa na handsome, atatafuta JIBABA lake la kumtunza na kumpa mimba, lakini nje ana kahendsome boy cha kula nae uroda.

Cc Extrovert
 
Hiyo handsome ni ugali unaoshibisha tumbo? Utakula handsome?

Handsome inapeleka watoto shule?

Handsome inalipa ada?

Handsome inafua mashuka?

Handsome inanunua mabakuli?

Cc Lamomy cocastic Extrovert
Sisi tusio mahendisamu tupo chocho tunaparangana maana mionekano yetu ni lazma tupambane sana kuishi.
 
Imagine mwanaume anajisifia handsome
Hehehehee. Huyo hana uhandsome wowote.

Wanaume mahendsome kwanza waga hawajijui kuwa ni mahandsome.

Watu wanaojiita mahandsome huwa wana sura mbaya sana, na wanatamani kuwa mahendsome ila wanashindwa wanaishia kuji-project tu psychologically.

Mahandsome hawajijui wapo wapo tu. Hata ukiwaita handsome wanakushangaa 🥰🥰😍😍
 
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Huyu nae atajiita mwanaume mbele ya wanaume?
 
Back
Top Bottom