Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa. Kaachwa Bill Gates! Selemani itakuwaje??Hiyo ilikuwa miaka ya 80's kwa sasa mtu yoyote anaweza kuachwa bila kuangaliwa uhandsamu au pesa zake, wanawake wanataka uhuru usiowasaidia kitu
Wewe si uliachikaMada za watoto wa 2000 hizi, wanawake wenye akili zetu timamu hata msamiati handsome tulishausahau!
LabellaWaambie hao wizo 😂😂😂😂
Kazi gani tena 🤣🤣Kama hajui kazi ile, akafie mbele.
Bora hata angekuwa hamnazo Mimi kwa kumsoma haraka haraka namuona ana dalili za upinde.Maombi? We hamnazo kweli
Mau zinde fcBora hata angekuwa hamnazo Mimi kwa kumsoma haraka haraka namuona ana dalili za upinde.