Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaweza kumwacha handsome man. Utamkwaza atakaa pembeni lakini baada ya muda mfupi atakuhitaji tena.

Hiyo ilikuwa miaka ya 80's kwa sasa mtu yoyote anaweza kuachwa bila kuangaliwa uhandsamu au pesa zake, wanawake wanataka uhuru usiowasaidia kitu
Kweli kabisa. Kaachwa Bill Gates! Selemani itakuwaje??
 
Kichwa cha uzi ungeandika mimi ni mwanaume hensam

Haya tutakuja kukutongoza mkuu
 
🎡🎡🎡🎡
Tell me what's is gonna be if
dis ain't what you want
I call it how I see it so
Dis ain't what you want
🎡🎡🎡🎡
 
Mkuu hilo linaenda na umri wa mwanamke husika.

Mahitaji ya mwanamke yana vary na umri na socioeconomic status / SMV yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…