CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Kuleta maendeleoUpi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuleta maendeleoUpi?
Yapi?Kuleta maendeleo
Unayoyaona kijijini kwenu.Yapi?
inchi gani hiyo?Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweliView attachment 2985467
Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .
Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .
JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .
2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui
3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .
Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .
Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .
Bashiru hawez kua na akili ya kumshauri magufuli kias cha kutekeleza makubwa yale. Acha unafiki.Unayoyaona kijijini kwenu.
😆😆😆SawaKazia mkuu.
Sasa umeuliza nimekujibu,unaanza kuniita mnafiki,nimekunafikia nini?Bashiru hawez kua na akili ya kumshauri magufuli kias cha kutekeleza makubwa yale. Acha unafiki.
Akili ni nywele kila mtu ana zakeHuna akili kabisa.
Una ushaidi?inchi gani hiyo?
yaan Tz ndio inahitaji vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🙄🐒
HakikaAkili ni nywele kila mtu ana zake
Una uhakika Bashiru ana akili za kumshauri magufuli?Sasa umeuliza nimekujibu,unaanza kuniita mnafiki,nimekunafikia nini?
Hahaha,we bwana mdogo,wakati wa awamu ya tano nilikuwa karibu sana na hao watu,we kama huamini basi tulia.Una uhakika Bashiru ana akili za kumshauri magufuli?
Nyie ndio mnasumbuaga watu mitaani eti ni UsalamaHahaha,we bwana mdogo,wakati wa awamu ya tano nilikuwa karibu sana na hao watu,we kama huamini basi tulia.
SawaNyie ndio mnasumbuaga watu mitaani eti ni Usalama
ushahidi wa nini akati ni bayana na dhahiri kabisaa 🐒Una ushaidi?
Naona tofauti kwamba Magufuli aliamini kuwa anajua kila kitu wakati Lissu ni kinyume chake.Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweliView attachment 2985467
Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .
Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .
JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .
2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui
3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .
Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .
Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .
Tofauti: Lissu kwake utawala wa sheria ndio kila kitu. Hakuna aliye juu ya sheria na hakuna huruma katika kutekeleza sheria. Hakuna mtu kusamehewa hata kama kakosea kwa “nia njema”. No flexibility, no leniency, no double standards. Ni adhabu tu. Hapo ndipo ulipo udikteta wa Tundu Lissu.Binafsi sijawahi ona tofauti ya jpm na lissu zaidi ya Chama
Huu mstari hukutumia akili kabisa kuuandika. Utawezaje kulinganisha uchafu ule wa Magufuli na wa mtu mwingine yeyote? Hata huwezi kamwe kuulinganisha uchafu huo wa Maguful akiwa Rais, na Magufuli kabla ya kuukwa urais.Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa