Ukweli ni kwamba kama Nchi tunahitaji watu kama Tundu Lissu na Hayati Magufuli walioboreshwa

Ukweli ni kwamba kama Nchi tunahitaji watu kama Tundu Lissu na Hayati Magufuli walioboreshwa

Tofauti ni kubwa Lisu haonei aibu mafisadi hivyo wezi watapata hukumu ya kweli kwa mujibu wa sheria ila chuma amelinda sana wezi na wahalifu hadi leo wanatamba ilikua labda utofautiane nae binafsi sasa huyo sio kiongozi
 
Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweli

Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .

Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .

JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .

2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui

3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .

Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
View attachment 2985467
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .

Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .​
Magufuli ni mkatili, Lisu ni mtu mwenyewe huruma.
 
Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweli

Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .

Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .

JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .

2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui

3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .

Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
View attachment 2985467
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .

Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .​
Ukiwapata wewe kwenye Nchi Yako inatosha sana,sie wengine hatutaki uchuro.
 
TL is visionary leader
Jpm alikuwa vizuri Ila alipambania cheo na madaraka na kusahau kuacha alama chanya.
 
Lissu hana uzalendo wowote ni mla rushwa na opportunist.

Watoto wake wote ni raia wa Marekani, anakuwaje anaipenda Tanzania?
Kalaghabhaho!!
Kama uliwahi mpa rushwa akapokea, weka ushahidi hadharani, vinginevyo wewe ni mtoto wa baba wa uongo.
 
Huwezi fuata sheria na still ukaweza leta maendeleo na kusimamia haki ,ndio maana nchi kama China ,Russia hawasaini mikataba ya kimataifa ya haki za Binadamu .
Kwa hiyo mifano yako ya nchi zenye maendeleo zisizosaini mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu ni mbili tu!!???
Je, nchi za Ulaya,Asia,Marekani ambazo zimesaini mikataba hiyo hazijaendelea!!??
Elimu
Elimu
Elimu
 
Back
Top Bottom