Alishatangulia ila ni immortal mioyoni mwa watu na mambo mazuri aliyofanyaKwani bado yupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishatangulia ila ni immortal mioyoni mwa watu na mambo mazuri aliyofanyaKwani bado yupo?
Siezi amini wana CCM mimi, nimeamua hivyo.Hahaha,we bwana mdogo,wakati wa awamu ya tano nilikuwa karibu sana na hao watu,we kama huamini basi tulia.
Ccm hatuna ubaguzi,tunachukua hata mawazo ya chademaSiezi amini wana CCM mimi, nimeamua hivyo.
Hiyo RIP naamini umemaanisha Rot In Hell!RIP jpm
Magufuli ni mkatili, Lisu ni mtu mwenyewe huruma.Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweliView attachment 2985467
Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .
Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .
JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .
2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui
3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .
Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .
Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .
Hakuna ukweli na ushahidi wa huo ukatiliMagufuli ni mkatili, Lisu ni mtu mwenyewe huruma.
Ukiwapata wewe kwenye Nchi Yako inatosha sana,sie wengine hatutaki uchuro.Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweliView attachment 2985467
Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya ukiachana na matamshi ya TL kulingana na kuwa nje box .
Vivyo hivyo hakuna baya ambalo JPM alifanya TL hawezi fanya kama hatoboreshwa .
JPM pamoja kuwa Rais bora alihitaji maboresho yafuatayo ambayo hata TL anahitaji
1. Kupokea ushauri ,kuutafakari kama mzuri kuufanyia kazi .
2.Kukubari kukosolewa , yaani sio mtu akikosoa anakuwa adui
3.Kama binadamu huwezi kuwa sahihi muda wote ,hivyo ni vizuri kufikiri zaidi kabla ya kutenda au kusema .
Bado naamini TL ni presidential material aandaliwa .
Yaliyosemwa hapa hata TL angekuwa CCM kwa nafasi ya JPM yasingekuwa na Tofauti .
Ni mtazamo tu wana CDM na CCM muelewe .
Acha ujingaHiyo RIP naamini umemaanisha Rot In Hell!
Lisu na Magu tena duh!!!
Magufuli ni wa shetani na alirudi kwa shetani baada ya kumaliza unyama dhidi ya binadamu
Kalaghabhaho!!Lissu hana uzalendo wowote ni mla rushwa na opportunist.
Watoto wake wote ni raia wa Marekani, anakuwaje anaipenda Tanzania?
Kwa hiyo mifano yako ya nchi zenye maendeleo zisizosaini mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu ni mbili tu!!???Huwezi fuata sheria na still ukaweza leta maendeleo na kusimamia haki ,ndio maana nchi kama China ,Russia hawasaini mikataba ya kimataifa ya haki za Binadamu .
Kuliko mama yako aliyekuzaa?Acha ujinga