Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Kijichi ndio Oysterbay ya Temeke
Kweli kabisa mkuu! Nafikri baada ya Oyster bay na Mikocheni inayofuata kwa uzuri wa mitaa sasa ni Kijichi! Kunduchi beach haoni ndani! Atakazidi maghorofa tu lakini siyo uzuri wa mitaa! Aliyeipanga Kijichi apewe sifa yake!
 
Temeke ukiiondoa Kijichi, kwingine naona pagumu sana kuishi. Sijawahi kupapenda
Duh, hata mimi nilikuwa sijawahi kuvutiwa na Temeke tangu nafika mara ya kwanza Dar miaka ya 80's lakini juzi nimeingia ndani ndani huko ndipo nakutana na Kijichi, looh! Pazuri bwana!
 
Hili la kupima viwanja futi 30 si lilipigwa marufuku na Lukuvi? Limerudi tena? Hii wizara haina akili sawasawa!
Kuanzia Chanika, Mvuti, Mbagala Wilaya yote ya Mkuranga, Mkoa wa Lindi, Mtwara na Zanzibar ni mwendo wa futi 50x40 ambazo ni sawa na mita 17x13.

Ajabu ni kwamba kuna kampuni mbili ninazifahamu ambazo zina sites Kibaha na Bagamoyo ambapo huko hupima kwa mita, ila sites zao za Homboza, Mvuti, Chanika na Mkuranga hupima kwa futi.

Ninadhani ni utamaduni wa huko!
 
Kuanzia Chanika, Mvuti, Mbagala Wilaya yote ya Mkuranga, Mkoa wa Lindi, Mtwara na Zanzibar ni mwendo wa futi 50x40 ambazo ni sawa na mita 17x13.

Ajabu ni kwamba kuna kampuni mbili ninazifahamu ambazo zina sites Kibaha na Bagamoyo ambapo huko hupima kwa mita, ila sites zao za Homboza, Mvuti, Chanika na Mkuranga hupima kwa futi.

Ninadhani ni utamaduni wa huko!
Ni aibu sana! Unajenga nyumba halafu huna hata kipande cha kuweka mboga mboga! Ukitaka kufuga kuku wa kitoweo labda uishi nao ndani! Hovyo kabisa!
 
Bei ya Viwanja huko Tegeta, Bunju na Boko ni kubwa mno ukilinganisha na Mbagala, lakini linapokuja suala la Mvua Mbagala haina mafuriko kabisa kulinganisha na Tegeta, Bunju na Boko.

Sasa kinachowafanya wengi kukimbilia huko ni nini?
Mkondo wa maji ndio tatizo hapa, sio uzuri au ubaya wa ardhi.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
IMG-20240121-WA0038.jpg
 
Back
Top Bottom