Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Tena huko utachimba kisima unapata maji yasiyo na chumvi.Kufuata mkumbo tu, hakuna cha zaidi, nataka niende vikindu nikanunue eneo la kutosha, nimechoka na dhahama za Bunju.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena huko utachimba kisima unapata maji yasiyo na chumvi.Kufuata mkumbo tu, hakuna cha zaidi, nataka niende vikindu nikanunue eneo la kutosha, nimechoka na dhahama za Bunju.
kijichi imesha jaa labda nyumba za kupanga sio viwanja vya kujengaNaishi Kijichi, karibuni very classic na tulivu!! Hakuna waswahili wala mafuriko...!!
Hatari ipo wapi hapo raha tupu, kachungulie uone, mwenyewe nina eneo pale town kisemvule.Daah kwa hiyo kujenga tu kisemvule umewazidi akili waliojenga Bunju hii hatari sana...
Uko sahihi kabisa mkuu! Juzi nimepita Kijichi looh, mbona kuzuri hivyo? Kimji kimepangwa barabara zake za mtaani nyingi zimepigwa lami! Udongo kichanga kabisa!
Hao wa Tegeta wanaamini Mbagala ndo kajamba nani korido of laifuBei ya Viwanja huko Tegeta, Bunju na Boko ni kubwa mno ukilinganisha na Mbagala, lakini linapokuja suala la Mvua Mbagala haina mafuriko kabisa kulinganisha na Tegeta, Bunju na Boko.
Sasa kinachowafanya wengi kukimbilia huko ni nini?
Tuseme ukweli raha ya ujenzi ni ujenge kwenye eneo la ekari moja+, uta enjoy sana, utafanya utakalo kwa raha.Daah kwa hiyo kujenga tu kisemvule umewazidi akili waliojenga Bunju hii hatari sana...
alieimba mwimbo huo, kipindi hicho akiishi tandale kwa mtogole, aliamua kutetea kwao kwa kuwasakizia maeneo ya wenzake. Uhalisia kwa Mtogole kuko ovyo ndio mana amepakimbiaTatizo la mbagala ni hapa nyuma mbele jalala🎶🎶
Furaha gani wewee acha kujifarijiIla ndio wilaya yenye watu wenye furaha kuliko wilaya zoote
Kisarawe haina maendeleo kwa sababu hiyo watu wanaoweza kuishi pale ni Waha kutoka Kigoma wengi wanapakimbia...Nakupa hadithi fupi kidogo, siku zote wachaga huogopa sana kabila za Pwani kwa hofu ya uchawi, same to Chanika, kapo ka imani Chanika huwezi jifugia ngombe wakastawi, ni lazima atakufa kitu ambacho si cha kweli, in short watu hukimbia sehemu wanazohisi zina uchawi na vijicho.
Mwaka 2022 nilinunua huko Vikindu. Ilibidi niuze tu.Kufuata mkumbo tu, hakuna cha zaidi, nataka niende vikindu nikanunue eneo la kutosha, nimechoka na dhahama za Bunju.
Kisarawe haina maendeleo kwa sababu hiyo watu wanaoweza kuishi pale ni Waha kutoka Kigoma wengi wanapakimbia...
Hahahaukiwa na watoto wa kike mbagala umeshawaza watazalishwa na akina nani ikiwa watakuwa vimalaya?
Watajua wenyewe mkuu...Kwamba Chanika ipo Kisarawe?
Chanika ipo Dar Es Salam.
Huko hakuna mafurikoKuna jamaa mmoja naye hujisifia kuwa anakaa along Morogoro road, nadhani Mbezi Magufuli au Chama njiapanda kwenda Mlongazila. Nikajisemea hiiiiiii, gete gete nyandaa!!
Ushawahi ishi bunju au tegeta wewe?Kuna maeneo huko vikindu Kuna mijengo mikali hiyo bunju YENU na tegeta ikasome.
Ushamba tuMbagala makazi holela hapajapangiliwa
Heri watu wakae penye status na mafuriko
Hivi Kijichi iko kwenye mkondo wa bahari? Dalali aliye na kiwanja huko anitafute fasta, kama nitaamua kuishi Dar mazima huko ndiko kumenivutia!Ongezea na mkondo wa bahari hahahaaaa
Hili la kupima viwanja futi 30 si lilipigwa marufuku na Lukuvi? Limerudi tena? Hii wizara haina akili sawasawa!Maeneo yanapimwa kwa futi, viwanja ni vidogo na vimesongamana; usafiri ni shida kutokea pande zote za Dar.
Kijichi ndio Oysterbay ya TemekeHivi Kijichi iko kwenye mkondo wa bahari? Dalali eliye na kiwanja huko anitafute fasta, kama nitamua kuishi Dar mazima huko ndiko kumenivutia!