Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Bei ya Viwanja huko Tegeta, Bunju na Boko ni kubwa mno ukilinganisha na Mbagala, lakini linapokuja suala la Mvua Mbagala haina mafuriko kabisa kulinganisha na Tegeta, Bunju na Boko.

Sasa kinachowafanya wengi kukimbilia huko ni nini?
Hao wa Tegeta wanaamini Mbagala ndo kajamba nani korido of laifu
 
Nakupa hadithi fupi kidogo, siku zote wachaga huogopa sana kabila za Pwani kwa hofu ya uchawi, same to Chanika, kapo ka imani Chanika huwezi jifugia ngombe wakastawi, ni lazima atakufa kitu ambacho si cha kweli, in short watu hukimbia sehemu wanazohisi zina uchawi na vijicho.
Kisarawe haina maendeleo kwa sababu hiyo watu wanaoweza kuishi pale ni Waha kutoka Kigoma wengi wanapakimbia...
 
Kufuata mkumbo tu, hakuna cha zaidi, nataka niende vikindu nikanunue eneo la kutosha, nimechoka na dhahama za Bunju.
Mwaka 2022 nilinunua huko Vikindu. Ilibidi niuze tu.

Maeneo yanapimwa kwa futi, viwanja ni vidogo na vimesongamana; usafiri ni shida kutokea pande zote za Dar.

Labda ukaishi huko na ukienda Dar uishie Mbagala Zakhem.

Viwanja vya kusini ni changamoto kwa mtu anayependa ustaarabu wa Kizungu
 
Back
Top Bottom