Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Shida ni majirani wanaokuzunguka. Wana mwamko wa maendeleo? Elimu? Au ndo full kupiga nyanga 365days a year.
Kuna mtu aliwahi kuniambia ukitaka kununua sehemu kwa ajili ya kuishi angalia majirani zako. Nami nikajiongeza huwa naangalia na maduka ya dawa za asili. Nikiona yako mengi nakimbia kama Usain bolt.
Naam... Ndugu yangu kahama Chamazi, uswahili mwingi 🤣🤣🤣🤣
 
Kusema kweli Sehemu ya maana Dar ni zilizojengwa na mkoloni tu kama Masaki na Obey na posta Kwingine kote ni Mbagala iliyochangamka tu.
 
Leo nimeangalia video moja ya baba askofu Gwajima akituhadai wapiga kura wake nimecheka sana
 
Tatizo ni mipango miji
Yaani kutoa viwanja holela unauziwa kiangazi na masika nyumba inabadilika kuwa meli iliyopaki
Wa kuwalaumu ni hao wasiokuwa na maono unagawaje viwanja kwenye mikondo ya maji
Hata kama kuna mkondo na maji yanapita yaheshimiwe maana yana nguvu kutuzidi sio kila mahali ni kujenga tu

Wenzetu Holland ukipaona wao kwa ujenzi nawakubali duniani
Wameamua sehemu zingine kuweka maji na nyumba za kuelea hakuna magari badsla yake ni maboti yanapita juu ya maji
Kwa sisi ni ngumu kufikia huko maana nawaza kama ya Nigeria kwa uchafu
Legos kinyaa
 
Hakunaga mafuriko kabisa, ila mipango miji maeneo yenye miinuko kama kimara, bonyokwa, mbezi hadi kibamba walipakosea sana. Hayo maeneo yangepimwa na mipango miji yangependeza sana, ila hakuko vibaya sababu wauzaji na wanunuzi walijiongeza wenyewe

Hapa nakuunga mkono.
 
Bunju hakuna mafuriko acha uwongo, hii mvua ya leo Bunju imenyesha kidogo sana wala hatujatikisika, kwa ukanda huu majanga yapo Tegeta, Mbezi beach (njia panda ya Goba), Njia panda ya Wazo, Kunduchi Mtongani, Bahari beach, Ununio Mbweni, Boko Basi haya, huko ndiko kumeathirika. Bunju kupo shwari kabisa
Mkuu kiwanja ni bei gani huko?
 
Tatizo ni mipango miji
Yaani kutoa viwanja holela unauziwa kiangazi na masika nyumba inabadilika kuwa meli iliyopaki
Wa kuwalaumu ni hao wasiokuwa na maono unagawaje viwanja kwenye mikondo ya maji
Hata kama kuna mkondo na maji yanapita yaheshimiwe maana yana nguvu kutuzidi sio kila mahali ni kujenga tu

Wenzetu Holland ukipaona wao kwa ujenzi nawakubali duniani
Wameamua sehemu zingine kuweka maji na nyumba za kuelea hakuna magari badsla yake ni maboti yanapita juu ya maji
Kwa sisi ni ngumu kufikia huko maana nawaza kama ya Nigeria kwa uchafu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom