cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahukiwa na watoto wa kike mbagala umeshawaza watazalishwa na akina nani ikiwa watakuwa vimalaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahukiwa na watoto wa kike mbagala umeshawaza watazalishwa na akina nani ikiwa watakuwa vimalaya?
Don't worry imewekwa mitaro mikubwa sana kama mito, ilikuwa ni project kubwa sana, ni salama sasa.Mbweni kule mvua ikinyesha Kuna mitaa nyumba zinaonekana kama visiwa vya ukerewe
Tatizo la mbagala ni hapa nyuma mbele jalala🎶🎶
Zaidi ya 70% ya wakazi wa Lagos hawana maji masafi na kuchafu sanaLegos kinyaa
Mashariki mwa DAR ni bahari ya HindiKusini ya dar na mashariki mwa dar ardhi iko nzuri kuliko maeneo mengine yote ya mji.
Nakuelewa Mkuu, Ila demand and supply ndio inaamua thamani ya eneo. Miundombinu, Rasilimali chini ya ardhi, proximity to the CBD, logistics, Milima yenye ukijani na fukwe ni baadhi vichocheo vya demand. Na hii siyo Tanzania tu bali dunia nzima. Kuna miji ambayo ina maafa ya kila aina ikiwemo mafuriko na vimbunga lakini ndiyo yenye mvuto kwa watu kila mtu anataka kuishi huko: Amsterdam, London, Valencia, Lake Geneva coast, Santa Monica, Santa Barbara, San Diego, the Saigon City, Capetown n.k.Bei ya Viwanja huko Tegeta, Bunju na Boko ni kubwa mno ukilinganisha na Mbagala, lakini linapokuja suala la Mvua Mbagala haina mafuriko kabisa kulinganisha na Tegeta, Bunju na Boko.
Sasa kinachowafanya wengi kukimbilia huko ni nini?
Hivi kweli utafananisha Mbweni na Mbagala?Hakuna hadhi yeyoye Ile pengine ni ushamba wa maeneo tu
Mkuu pale wenye taaluma zao wanajenga bila kuvuruga mkondo wa maji chini sasa sisi tuna kauli ya kipuuzi eti maji yanakimbia watu ndio maana unaona watu wanajenga hata Viongozi kukemea wanashindwa mimi tu sio mtaalamu wa ujenzi nilishangaa kuona sehemu ya ma bus pale yaani magari yapo mtoni maana miaka yote tunaona mkondo wa maji ukiongezeka...Lakini pia ni elimu yao imewafikisha hapo wana wataalamu wa uhakika
Sisi sehemu korofi ndio tunajenga kama pale waliweka mabasi ya mwendokasi unaniambia walikuwa hawajui kuwa maji ndio njia yake hapo
Ila ndio wilaya yenye watu wenye furaha kuliko wilaya zootePakijaa watakuja tu, japo haipingwi kuwa kwa wilaya zenye top class citizens ni Kinondoni ikifuatiwa na Ilala huku Temeke ikishika mkia kwa kuwa na idadi kubwa ya pangu pakavu
Nakupa hadithi fupi kidogo, siku zote wachaga huogopa sana kabila za Pwani kwa hofu ya uchawi, same to Chanika, kapo ka imani Chanika huwezi jifugia ngombe wakastawi, ni lazima atakufa kitu ambacho si cha kweli, in short watu hukimbia sehemu wanazohisi zina uchawi na vijicho.Nchi ipo huko! Ukiona elites na senior citizens wanakimbilia kujenga sehemu acha kujiuliza maswali mengi kajibanze huko fasta.
Akili mtu wangu .... Huu ukanda kuanzia Goba/Makongo juu, Mbezi beach, Salasala, tegeta, boko, ununio, mbweni, Bunju ndio top class Bongo!
Kijichi bei zake hazikamatiki.Uko sahihi kabisa mkuu! Juzi nimepita Kijichi looh, mbona kuzuri hivyo? Kimji kimepangwa barabara zake za mtaani nyingi zimepigwa lami! Udongo kichanga kabisa!
Kigamboni ni wapi kule?Mashariki mwa DAR ni bahari ya Hindi
Hata huko mbagala wakianza kujenga mahekalu kama bunju mafuriiko hayaepukikiBei ya Viwanja huko Tegeta, Bunju na Boko ni kubwa mno ukilinganisha na Mbagala, lakini linapokuja suala la Mvua Mbagala haina mafuriko kabisa kulinganisha na Tegeta, Bunju na Boko.
Sasa kinachowafanya wengi kukimbilia huko ni nini?
Pwani karibia yote ni ardhi ya waswahili kwa asiliKwanini sasa mliruhusu waswahili wawahi kwenye ardhi nzuri wakawaachia hayo mabonde huko?
Naishi Kijichi, karibuni very classic na tulivu!! Hakuna waswahili wala mafuriko...!!Nafikiri watu wengi hawapendelei kujenga Mbagala kwa ssb sehemu kubwa ya mji haujapangiliwa. Pia tamaduni za watu wa Pwani kwa mtu ambaye sio mzawa sio rahisi kuendana nazo hasa hasa mambo kama vishughuli shughuli vinavyofanyika mtaani. Mbagala maeneo mazuri kuishi labda Mtoni Kijichi pamoja na Mgeni Nani.
Daah kwa hiyo kujenga tu kisemvule umewazidi akili waliojenga Bunju hii hatari sana...Wabongo wajinga tu,hakuna sehemu ardhi ni nzuri kama kisemvule,nilikuwa na kiwanja bagamoyo nikakiuzilia mbali,baada ya kuona tabu wanayopata majirani zangu,uko job mvua ilianza tu,ni mashaka matupu,kisemvule nimetulia nainjoy mvua ,siiogopi tena,kama sasa hivi hapa naangalia mabata yangu yanaogelea