Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Tatizo la mbagala ni hapa nyuma mbele jalala[emoji445][emoji445]
Siku moja nimetoka mwandege huko kufika Mbagala kuna mdaladala DCM ( umechoka mbaya) bila kujali ulipita na bampa kirahisi tu na uzuri kulikuwa na foleni na nipo upande wangu yeye ndio anachepuka!

Abiria wote wanaona niwaache waende tu bahati mbaya [emoji1787] , alitokea mama mmoja mwenye hekima akanifata akaninongoneza " kaka wasamehe tu, nakuelewa sana ila huku? " hapo nikakumbuka nipo maeneo gani.

Dereva alipiga honi nimpishè kama msafara alivyoona sijapisha akapita na bampa kibabe! Sasa huu ukanda wa bagamoyo road pamoja na changamoto za daladala hakuna akili hizi wala daladala zenye akili za namna hii.

Kwa ufupi kuna level ya utaratibu ukizoea ukaenda mitaa iliyojaa uswahili itakupa tabu sana. Ndio maana mtu akipata vijifedha kidogo anaenda kujibanza usawa wa bagamoyo road.
 
Siku moja nimetoka mwandege huko kufika Mbagala kuna mdaladala DCM ( umechoka mbaya) bila kujali ulipita na bampa kirahisi tu na uzuri kulikuwa na foleni na nipo upande wangu yeye ndio anachepuka!

Abiria wote wanaona niwaache waende tu bahati mbaya [emoji1787] , alitokea mama mmoja mwenye hekima akanifata akaninongoneza " kaka wasamehe tu, nakuelewa sana ila huku? " hapo nikakumbuka nipo maeneo gani.

Dereva alipiga honi nimpishè kama msafara alivyoona sijapisha akapita na bampa kibabe! Sasa huu ukanda wa bagamoyo road pamoja na changamoto za daladala hakuna akili hizi wala daladala zenye akili za namna hii.

Kwa ufupi kuna level ya utaratibu ukizoea ukaenda mitaa iliyojaa uswahili itakupa tabu sana. Ndio maana mtu akipata vijifedha kidogo anaenda kujibanza usawa wa bagamoyo road.
Kuna jamaa mmoja naye hujisifia kuwa anakaa along Morogoro road, nadhani Mbezi Magufuli au Chama njiapanda kwenda Mlongazila. Nikajisemea hiiiiiii, gete gete nyandaa!!
 
Nafikiri watu wengi hawapendelei kujenga Mbagala kwa ssb sehemu kubwa ya mji haujapangiliwa. Pia tamaduni za watu wa Pwani kwa mtu ambaye sio mzawa sio rahisi kuendana nazo hasa hasa mambo kama vishughuli shughuli vinavyofanyika mtaani. Mbagala maeneo mazuri kuishi labda Mtoni Kijichi pamoja na Mgeni Nani.
 
Tatizo ni miundombinu mibovu tu

Viongozi wakajifunze holland jinsi ya kuishi na maji bila athari
 
Bunju hakuna mafuriko acha uwongo, hii mvua ya leo Bunju imenyesha kidogo sana wala hatujatikisika, kwa ukanda huu majanga yapo Tegeta, Mbezi beach (njia panda ya Goba), Njia panda ya Wazo, Kunduchi Mtongani, Bahari beach, Ununio Mbweni, Boko Basi haya, huko ndiko kumeathirika. Bunju kupo shwari kabisa
 
Bei ya Viwanja huko Tegeta, Bunju na Boko ni kubwa mno ukilinganisha na Mbagala, lakini linapokuja suala la Mvua Mbagala haina mafuriko kabisa kulinganisha na Tegeta, Bunju na Boko.

Sasa kinachowafanya wengi kukimbilia huko ni nini?
Mpangilio wa makazi Mbagala ni wa hovyo sana
 
Kuna jamaa mmoja naye hujisifia kuwa anakaa along Morogoro road, nadhani Mbezi Magufuli au Chama njiapanda kwenda Mlongazila. Nikajisemea hiiiiiii, gete gete nyandaa!!
Kwan mbezi/morogoro road kuna shda gan?
 
Mbagala udongo wake kichanga kama kigamboni
Mbezi bunju mbweni boko nk
Dongo mfinyanzi

Ova
Alafu haelewi mbagara wakati wa mvua maji yanaondoka na mchanga so nyumba nyingi zinabaki kuwa magorofa yaliyoshikwa na mchanga chini.

Kuna jamaa yangu alijenga mwaka 2000 leo barabara imekuwa ni mtaro sababu mvua zikinyesha zinachimba na kuondoka na mchanga.

Lakini pia ujenzi holela mbagara ndiyo sehemu yake hasa, kule bunju ni mipango adirifu imekosekana kila mtu anasukuma maji kwa mwenzake so yanakosa njia na kujaa sehemu yenye bonde.
 
Wilaya pekee ambayo haijawahi kuwa na mafuriko-Kigamboni
 
Shida ni kwamba toka awali mbagala na ndugu zake, yalionekana ni maeneo ya uswahilini(na ndio uhalisia) so watu wanakimbia hilo, wanafata status huko kwingine.
 
Shida ni majirani wanaokuzunguka. Wana mwamko wa maendeleo? Elimu? Au ndo full kupiga nyanga 365days a year.
Kuna mtu aliwahi kuniambia ukitaka kununua sehemu kwa ajili ya kuishi angalia majirani zako. Nami nikajiongeza huwa naangalia na maduka ya dawa za asili. Nikiona yako mengi nakimbia kama Usain bolt.
 
Back
Top Bottom