The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Watanzania wenzangu ifike mahali tuwe tunafuatilia mambo Kwa kina na tusiwe benderea fuata upepo.
Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.
Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.
Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko chini kabisaa.
Sasa leo hii tunapoongea haukuna mkulima anayeuza mazao Kwa 3000 kilo ya mchele.
Anayenufaika ni Dalali aliyenunua mazao bei ikiwa chini kabisaa.
Amini usiamini mkulima yuleyule sasa Analía njaa na kuhangaika kununua tena chakula.
Je, ushawahi kujiuliza serikali ikitoa chakula cha msaada huwa inapeleka mjini au kijijini?
Ukipata jibu hapo juu ndo utaelewa Nini kinaendelea.
MWISHO.
Serikali Makini lazima ilinde usalama wa chakula wa watu wake Lazima kucontrol inflation.
Ndo maana Mataifa yaliyoendelea watu kuingia barabarani Kisa mfumuko wa bei ni Jambo la kawaida sana..
Mfumuko wa bei kwa lugha ya kitaalamu ni kudorola Kwa Uchumi huo ndo ukweli wenyewe japo watu wanajificha nyumba ya kumsaidia mkulima.
Tukisema Kila mtu afe na chake huyo mkulima bidhaa Za viwandani vikipanda bei mara dufu na huduma nyingine Za kijamii atatoboa?
Nasema serikali Lazima i control inflation kulinda purchasing power ya Tanzania Shilings/ Thamani ya pesa Yetu.
Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.
Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.
Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko chini kabisaa.
Sasa leo hii tunapoongea haukuna mkulima anayeuza mazao Kwa 3000 kilo ya mchele.
Anayenufaika ni Dalali aliyenunua mazao bei ikiwa chini kabisaa.
Amini usiamini mkulima yuleyule sasa Analía njaa na kuhangaika kununua tena chakula.
Je, ushawahi kujiuliza serikali ikitoa chakula cha msaada huwa inapeleka mjini au kijijini?
Ukipata jibu hapo juu ndo utaelewa Nini kinaendelea.
MWISHO.
Serikali Makini lazima ilinde usalama wa chakula wa watu wake Lazima kucontrol inflation.
Ndo maana Mataifa yaliyoendelea watu kuingia barabarani Kisa mfumuko wa bei ni Jambo la kawaida sana..
Mfumuko wa bei kwa lugha ya kitaalamu ni kudorola Kwa Uchumi huo ndo ukweli wenyewe japo watu wanajificha nyumba ya kumsaidia mkulima.
Tukisema Kila mtu afe na chake huyo mkulima bidhaa Za viwandani vikipanda bei mara dufu na huduma nyingine Za kijamii atatoboa?
Nasema serikali Lazima i control inflation kulinda purchasing power ya Tanzania Shilings/ Thamani ya pesa Yetu.