Ukweli ni kwamba mkulima kijijini anaumia zaidi na Mfumuko wa Bei, tofauti na tunavyoaminishwa

Ukweli ni kwamba mkulima kijijini anaumia zaidi na Mfumuko wa Bei, tofauti na tunavyoaminishwa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Watanzania wenzangu ifike mahali tuwe tunafuatilia mambo Kwa kina na tusiwe benderea fuata upepo.

Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.

Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.

Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko chini kabisaa.

Sasa leo hii tunapoongea haukuna mkulima anayeuza mazao Kwa 3000 kilo ya mchele.

Anayenufaika ni Dalali aliyenunua mazao bei ikiwa chini kabisaa.

Amini usiamini mkulima yuleyule sasa Analía njaa na kuhangaika kununua tena chakula.

Je, ushawahi kujiuliza serikali ikitoa chakula cha msaada huwa inapeleka mjini au kijijini?

Ukipata jibu hapo juu ndo utaelewa Nini kinaendelea.

MWISHO.

Serikali Makini lazima ilinde usalama wa chakula wa watu wake Lazima kucontrol inflation.

Ndo maana Mataifa yaliyoendelea watu kuingia barabarani Kisa mfumuko wa bei ni Jambo la kawaida sana..

Mfumuko wa bei kwa lugha ya kitaalamu ni kudorola Kwa Uchumi huo ndo ukweli wenyewe japo watu wanajificha nyumba ya kumsaidia mkulima.

Tukisema Kila mtu afe na chake huyo mkulima bidhaa Za viwandani vikipanda bei mara dufu na huduma nyingine Za kijamii atatoboa?

Nasema serikali Lazima i control inflation kulinda purchasing power ya Tanzania Shilings/ Thamani ya pesa Yetu.
 
Ila waafrika huna ni watu tunao penda kudekezwa kama watoto.

Kwani hao wakulima huwa wanashikiwa bunduki kuuza hayo mazao yao kwa bei ndogo?

Je, hao wakulima ni watoto wadogo mpaka washinde kuweka akiba ya chakula mpaka wanauza chote?

Yaani mtu umeowa una mke na watoto unashindwa kujua kuwa ukivuna unatakiwa kuweka akiba ya chakula kwa ajili ya familia yako mpaka ukumbushwe na serikali? Mbona kuoa na kuzaa watoto haukiusubili serikali ukukumbushe?

Je, wafanya biashara unao waita madalali wao hawana haki ya kupata faida?
 
Rais mkwele alichagua baadhi ya mikoa kuwa ghara la chakula mikoa hiyo morogoro mbeya songwe songea sumbawnga wakulima walikuwa wakivuna serikali inanunua mahindi inaweka akiba.

Ikitokea njaa serikali inawazia kwa bei ilionunulia alipo kuja rasi mshezi akasema hakuna chakula cha bule asie fanya kazi asile akakimbilia kufunga mipaka huo ni ujinga.

Kilimo ni biashara kama zingine huwezi mzuiya mtu kuuza biashara yake atakako lamuhimu serikali iludishe mpango wa kununua mahindi mpunga.
 
Watanzania wenzangu ifike mahali tuwe tunafuatilia mambo Kwa kina na tusiwe benderea fuata upepo.

Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.

Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.

Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko chini kabisaa.

Sasa leo hii tunapoongea haukuna mkulima anayeuza mazao Kwa 3000 kilo ya mchele.

Anayenufaika ni Dalali aliyenunua mazao bei ikiwa chini kabisaa.

Amini usiamini mkulima yuleyule sasa Analía njaa na kuhangaika kununua tena chakula.

Je, ushawahi kujiuliza serikali ikitoa chakula cha msaada huwa inapeleka mjini au kijijini?

Ukipata jibu hapo juu ndo utaelewa Nini kinaendelea.

MWISHO.

Serikali Makini lazima ilinde usalama wa chakula wa watu wake Lazima kucontrol inflation.

Ndo maana Mataifa yaliyoendelea watu kuingia barabarani Kisa mfumuko wa bei ni Jambo la kawaida sana..

Mfumuko wa bei kwa lugha ya kitaalamu ni kudorola Kwa Uchumi huo ndo ukweli wenyewe japo watu wanajificha nyumba ya kumsaidia mkulima.

Tukisema Kila mtu afe na chake huyo mkulima bidhaa Za viwandani vikipanda bei mara dufu na huduma nyingine Za kijamii atatoboa?

Nasema serikali Lazima i control inflation kulinda purchasing power ya Tanzania Shilings/ Thamani ya pesa Yetu.
Hongera nyingi kwa Rais Hussein Ali Mwinyi wa Zanzibar. Baada ya kuligundua hilo tatizo, ameona alifanyie kazi.
 
Watanzania wenzangu ifike mahali tuwe tunafuatilia mambo Kwa kina na tusiwe benderea fuata upepo.

Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.

Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.

Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko chini kabisaa.

Sasa leo hii tunapoongea haukuna mkulima anayeuza mazao Kwa 3000 kilo ya mchele.

Anayenufaika ni Dalali aliyenunua mazao bei ikiwa chini kabisaa.

Amini usiamini mkulima yuleyule sasa Analía njaa na kuhangaika kununua tena chakula.

Je, ushawahi kujiuliza serikali ikitoa chakula cha msaada huwa inapeleka mjini au kijijini?

Ukipata jibu hapo juu ndo utaelewa Nini kinaendelea.

MWISHO.

Serikali Makini lazima ilinde usalama wa chakula wa watu wake Lazima kucontrol inflation.

Ndo maana Mataifa yaliyoendelea watu kuingia barabarani Kisa mfumuko wa bei ni Jambo la kawaida sana..

Mfumuko wa bei kwa lugha ya kitaalamu ni kudorola Kwa Uchumi huo ndo ukweli wenyewe japo watu wanajificha nyumba ya kumsaidia mkulima.

Tukisema Kila mtu afe na chake huyo mkulima bidhaa Za viwandani vikipanda bei mara dufu na huduma nyingine Za kijamii atatoboa?

Nasema serikali Lazima i control inflation kulinda purchasing power ya Tanzania Shilings/ Thamani ya pesa Yetu.
Kwanza mfumuko wa bei na kudorora kwa uchumi ni mambo mawili tofauti kabisa. Pili, kuonea wakulima ndiyo kumezaa hao madalali na walanguzi. Wakianza kuja watu kutoka Kenya , Uganda, SS, SA nk, hutaona hao madalali wana nguvu waliyonayo. Leo mkulima anaonewa na dalali kwa sababu hana pengine kwa kuuza.
 
Inafikirisha sana, mkulima anauza magunia ya mahindi apate pesa ya sukari na sabuni n.k halafu anakwenda kununua kilo moja ya sembe.
Anatakiwa afikirie mbele kuweka akiba kwa ajili ya matumizi kwa familia.

Sasa hiyo pia serikaali inatakiwa imuekee sheria mkulima ya kubakisha chakula kwa ajili ya familia?
 
Z
Hongera nyingi kwa Rais Hussein Ali Mwinyi wa Zanzibar. Baada ya kuligundua hilo tatizo, ameona alifanyie kazi.
Zanzibar wanalima nini!?..
 
Narudia tena kuandika inflation ni kudorola Kwa Uchumi. Unaporuhusu vitu kupanda bei hoyo hovyo maana Yake fedha Yako ya ndani unaipotezea Thamani.

Ili kulinda Thamani ya pesa kuna vitu vya kuzingatia kama huo mfumuko wa bei na kuongeza exports na kuthiflbiti un necessary imports.

Kenge wewe
Huyo mpumbavu achana nae
 
H utena kuandika inflation ni kudorola Kwa Uchumi. Unaporuhusu vitu kupanda bei hoyo hovyo maana Yake fedha Yako ya ndani unaipotezea Thamani.

Ili kulinda Thamani ya pesa kuna vitu vya kuzingatia kama huo mfumuko wa bei na kuongeza exports na kuthiflbiti un necessary imports.

Kenge wewe
Huna uelewa japo kiduchu wa uchumi na fedha, inflation ipo tu Bali tunapima rate,Kuna rate mbaya na Kuna rate za kawaida,chakula tz kupanda inatokana na kuuza nje ya nchi,ukiuza nje ya nchi kiuchumi pesa yako itahitajika Sana,hivyo itapanda thamani,ndiyo maana Sasa shilingi yetu imepanda kiasi tunabadilishana kwa sh 18 kwa shilingi moja ya Kenya badala ya 20 Kama ilivyokuwa huko nyuma,jifunze kabla ya kubwabwaja ewe beberu mwenye maziwa
 
Huna uelewa japo kiduchu wa uchumi na fedha, inflation ipo tu Bali tunapima rate,Kuna rate mbaya na Kuna rate za kawaida,chakula tz kupanda inatokana na kuuza nje ya nchi,ukiuza nje ya nchi kiuchumi pesa yako itahitajika Sana,hivyo itapanda thamani,ndiyo maana Sasa shilingi yetu imepanda kiasi tunabadilishana kwa sh 18 kwa shilingi moja ya Kenya badala ya 20 Kama ilivyokuwa huko nyuma,jifunze kabla ya kubwabwaja ewe beberu mwenye maziwa
Madalali kupeleka chakula kenya pesa inaongezeka thamani, hauko serious. do you know the exchange rate TZS vS dollar ilivyobadilika toka chief hangay aingie madarakani kaangalie kwanza ndo uje ujibu huo utumbo hapa..

By the way siko against na mkulima kupata pesa kupiti amazao yake, ,lakini lazima tuzingatie food security na kuzuia vitu kupanda bei bila utaratibu.
 
Madalali kupeleka chakula kenya pesa inaongezeka thamani, hauko serious. do you know the exchange rate TZS vS dollar ilivyobadilika toka chief hangay aingie madarakani kaangalie kwanza ndo uje ujibu huo utumbo hapa..

By the way siko against na mkulima kupata pesa kupiti amazao yake, ,lakini lazima tuzingatie food security na kuzuia vitu kupanda bei bila utaratibu.
Dola imekua stronger kipindi hiki,nimekwambia sh 1 ya Kenya ni 18 ya tz kwa Sasa,huko nyuma ilikua 20+..hukutaka kukubali Hilo,inaelekea hujui dalali ni nani,anayekuja chukua nafaka tz toka Kenya,rwanda, Uganda nk ni mfanyabiashara na si dalali
 
Dola imekua stronger kipindi hiki,nimekwambia sh 1 ya Kenya ni 18 ya tz kwa Sasa,huko nyuma ilikua 20+..hukutaka kukubali Hilo,inaelekea hujui dalali ni nani,anayekuja chukua nafaka tz toka Kenya,rwanda, Uganda nk ni mfanyabiashara na si dalali
Aise ngoja nikae kimya tonatofautiana mtazamo.
 
Walanguzi sasa hivi ndio wanatawala,wakulima washamaliza stock ya chakula zamani sana. Sasa hivi wanaandaa mashamba kwa ajili ya kuanza msimu mwengine.

Ndio yaleyale kwenye mafuta, mafuta yakishuka bei wanapewa mda wamalize stock ,ila yakitangazwa kupanda siku hiyo hiyo mafuta yana hadimika ikifika sita usiku mafuta yanaanza kuuzwa kwa bei mpya.

Nchi hii wahuni wengi, wakulima sasa hivi hawana chakula ,tunacheza ngoma za walanguzi, waziri hatuna maana awamu hii mawaziri wamekuwa wakali wakiulizwa maswali ya msingi, Mugulu jana kafoka kashindwa kujibu hoja, Mwezi wa kwanza alivyobanwa kuhusu bwa la Nyerere akadai wanamuonea.
 
Watanzania wenzangu ifike mahali tuwe tunafuatilia mambo Kwa kina na tusiwe benderea fuata upepo.

Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.

Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.

Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko chini kabisaa.

Sasa leo hii tunapoongea haukuna mkulima anayeuza mazao Kwa 3000 kilo ya mchele.

Anayenufaika ni Dalali aliyenunua mazao bei ikiwa chini kabisaa.

Amini usiamini mkulima yuleyule sasa Analía njaa na kuhangaika kununua tena chakula.

Je, ushawahi kujiuliza serikali ikitoa chakula cha msaada huwa inapeleka mjini au kijijini?

Ukipata jibu hapo juu ndo utaelewa Nini kinaendelea.

MWISHO.

Serikali Makini lazima ilinde usalama wa chakula wa watu wake Lazima kucontrol inflation.

Ndo maana Mataifa yaliyoendelea watu kuingia barabarani Kisa mfumuko wa bei ni Jambo la kawaida sana..

Mfumuko wa bei kwa lugha ya kitaalamu ni kudorola Kwa Uchumi huo ndo ukweli wenyewe japo watu wanajificha nyumba ya kumsaidia mkulima.

Tukisema Kila mtu afe na chake huyo mkulima bidhaa Za viwandani vikipanda bei mara dufu na huduma nyingine Za kijamii atatoboa?

Nasema serikali Lazima i control inflation kulinda purchasing power ya Tanzania Shilings/ Thamani ya pesa Yetu.
Huyo mkulima ndio alime na cha akiba.

Dalali hanunui bila makubaliano na mapatano.
 
Lakin kuna wakulima ambao nawajua, mwaka jana wamenufaika sana kwa kuuza bei nzuri mpunga wao,wengine walijenga, wengine hyo pesa waliwekeza kwenye biashara zao zingine.
Hakuna mkulima mdogo,ambao ndio 95% ya wakulima nchini,ambaye anauza sasa kwa bei kubwa.
Wanaouza ni wachuuzi ambao hawajui hata mpunga unavumwaje shambani.
Wakulima walushauza kitambo kwa bei ya njaa kwa sababu hata maghala ya kutunzia vyakula hawana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom