Tatizo la kusoma madesa unadhani hata kwenye maisha ni kama kujibu mtihani wa desa.
Hivi hao unaowaita wakulima wa irrigation scheme ndio kama akina Mbowe na matajiri wanaolima kwa starehe?
Ni irrigation scheme ngapi zipo nchini?
Sisi ndio tunataka serikali iwekeze huko ili watu wa chini pia wapate nafasi ya kujiinua kiuchumi wafaidi ruzuku za pembejeo kutoka serikalini.
Kwa sasa pembejeo zinatolewa kwa kodi ya umma,wanaofaidi ni watu wachache ambao ni madalali wa mazao.
Kibaya zaidi kuna waganda wakati wa mavuno wananunua mzigo ukiwa bado shambani na hivyo wanafaidika sana na hiyo ruzuku inayotolewa na serikali.
Usimamizi mbaya wa Sera za fedha ni tatizo nchi hii
Sent from my Infinix X626 using
JamiiForums mobile app