jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Vijana hawawezi kuvutiwa na umasikiniMbona wewe ukipokea mshahara wako na kwenda Bar kumwagilia moyo au kumhonga Mwajuma ndala ndefu mshahara wote na kuacha familia haina kitu hakuna mahala serikali inakuingilia? Yaani serikali ifunge mipaka ili mazao ya wakulima yaozee shambani? Haya ni mawazo gani wajameni? Badala ya kufurahia ili kilimo kivutie vijana wetu waache kubeti na kuchana mikeka , ambayo ni sawa na kuwachangia matajiri wachache, wakimbilie shambani wakalime wapate mapesa wanunue matrekta, mafuso nk ili kupanua kilimo nyie mna mawazo ya kuzuia?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app